TRENI YA DELUIXE KUONDOKA DAR SAA 2 ASUBUHI KUANZIA JUNI 07, 2015
Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania – TRL unafuraha kuwatangazia abiria wote na wananchi kwa jumla kuwa kutokana na sababu za kiufundi ikiwemo maoni ya wadau na wateja treni ya deluxe itaondoka Dar es Salaam kila Jumapili saa 2 asubuhi badala ya saa 2 usiku.
Kwa kubadilisha muda wa kuondoka na kuwa saa 2 asubuhi abiria wa treni ya deluxe watalala njiani kwa usiku mmoja tu.Kwa vile treni hiyo itakuwa inawasili jioni kituo cha mwisho Kigoma au Mwanza hivyo basi nayo imepangiwa kuondoka siku...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi07 Dec
9 years ago
Michuzi29 Nov
9 years ago
Michuzi07 Dec
9 years ago
Michuzi10 Dec
9 years ago
Michuzi29 Dec
9 years ago
Michuzi24 Dec
9 years ago
Michuzi08 Dec
9 years ago
Michuzi01 Nov
10 years ago
Michuzi17 Jun