Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEWS ALERT: HODI, HODI ROCK CITY...TRENI YA DELUXE YAELEKEA MWANZA LEO JUMAPILI

  Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dk Shaban Mwinjaka akikata utepe kuzindua safari hiyo  Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dk Shaban Mwinjaka akiondoa treni kwa kupunga benderaUongozi wa Kampuni  ya Reli Tanzania  –TRL unachukua  fursa hii kuwataarifu wateja wetu wote na Watanzania kwa ujumla na hasa ukanda  wa ziwa kuwa hatimaye ile huduma iliyokuwa ikisubiriwa leo Aprili 12 , 2015 inaelekea Mwanza ‘Rock City’ Ziwa Victoria!

Safari hii ni ya pili kwa vile ya uzinduzi iliyofanyika Aprili...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Hodi Hodi Brazil 2014, kumekucha!

Michuano ya kombe la dunia inang'oa nanga Brazil Alhamsi. Sura ya nchi hiyo imebadilika na hivi ndivyo mambo yalivyo

 

11 years ago

BBCSwahili

Kombe la dunia labisha hodi hodi.

Mechi za kirafiki zaandaliwa katika maeneo mbali mbali duniani kwa maandalizi ya kombe la dunia litakaloandaliwa nchini Brazil.

 

9 years ago

Michuzi

MUDA WA KUONDOKA TRENI YA DELUXE KWENDA MWANZA JUMAPILI OKTOBA 25, 2015 WASOGEZWA MBELE

KAMPUNI YA RELI TANZANIA(TRL)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI (PRESS RELEASE)

 Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania TRL unachukua fursa  hii kuwaarifu abiria wa treni ya deluxe ya Jumapili Oktoba 25, 2015 kutoka Dar es Salaam kwenda  Mwanza kuwa muda wa kuondoka umesogezwa mbele kutoka saa 2 asubuhi hadi saa 2 usiku wa  siku hiyohiyo.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo uamuzi huo umechukuliwa maalum ili kuwapa fursa Abiria waliojiandikisha kupiga kura kutumia haki yao ya kikatiba kikamilifu.


Utaratibu huu...

 

10 years ago

Michuzi

HUDUMA YA TRENI YA DELUXE KUSIMAMA KATIKA KITUO CHA NGURUKA KUANZIA TRENI ITAKAYOANDOKA DAR JUMAPILI IJAYO MEI 17, 2015

Uongozi wa Kampuni  ya Reli Tanzania  –TRL unachukua  fursa hii kuwataarifu wateja wetu wote na Watanzania kwa ujumla na hasa maeneo ya kituo cha Reli cha Nguruka mkoani Kigoma, kuwa treni yetu maarufu ya Deluxe itasimama kituoni hapo kuteremsha na kupakia  abiria.
Kwa taarifa hii ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu na Wakazi wa maeneo yanayozunguka kituo cha  Nguruka, shime  wajitokeze kwa wingi kukata tiketi za safari kwa mujibu wa mahitaji yao . Halikadhalika safari za deluxe zitakuwa wiki...

 

11 years ago

Michuzi

NMB YAPIGA HODI KWA WAKAAZI WA BUZURUGA, MKOANI MWANZA

 NMB imezindua  rasmi tawi la jipya la Buzuruga mkoani Mwanza, likiwa ni tawi la tisa kuzinduliwa katika mkoa wa huo, huku NMB ikiendelea kuwa ndio benki yenye matawi mengi zaidi Tanzania. Akizungumza katika sherehe ya ufunguzi huo, Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Mh. Baraka Konisaga ameipongeza benki ya NMB kwa hatua nyingine iliyopiga kwa  kusogeza zaidi huduma kwa wateja  na kuitaka iendelee kuwa kinara wa huduma za kibenki nchini.  Aliwahamasisha wafanyabiashara, wakulima na wafanyakazi...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: WATU WANNE WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI NA TRENI MKOANI MOROGORO LEO ALFAJIRI

Watu wanne wamefariki dunia na 21 kujeruhiwa baada ya basi aina ya Isuzu  kugonga treni ya abiria iendayo bara katika  kilomita 276/0 kati ya Stesheni  za Kimamba na Kilosa mkoani Morogoro saa 11:25 asubuhi leo Julai 01, 2015. Wahanga walipakiwa katika  treni hiyo na kukimbizwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kilosa.Basi lilohusika ni lenye namba za usajili T837CTM Isuzu Coaster linalomilikiwa na Feisal  A. Khuwel wa Kilosa.Taarifa kutoka eneo la tukio  limefafanua kuwa waliofariki ni wanaume...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: NDEGE YA JWTZ YAPATA AJALI JIJINI MWANZA LEO

Ndegevita moja ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ikiteketea kwa moto huku jitihada za kuuzima zikiendelea katika ajali iliyotokea leo Februari 27, 2015 katika uwanja wa ndege wa kijeshi wa MwanzaJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linapenda kutoa taarifa ya ajali ya Ndegevita moja (1) iliyotokea leo tarehe 27 Februari 2015 katika uwanja wa ndege wa kijeshi wa Mwanza.
Ndegevita za JWTZ zilikuwa katika mazoezi ya kawaida ya kivita,  Wakati rubani wa ndegevita...

 

10 years ago

GPL

Hodi Simba

Wachezaji w aYanga wakishangilia goli. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge
HODI SIMBA!  Yanga imeanza kukaa sawa kwenye Ligi Kuu Bara lakini jana imetoa onyo kwa watani wao wa jadi, Simba, kuelekea mchezo wa Oktoba 18 kwa kuonyesha kandanda safi ilipoitungua JKT Ruvu 2-1.
Wakati Simba, ikisuasua kwenye ligi hiyo, Yanga wanazidi kuchanja mbunga. Yanga chini ya kocha Mbrazili, Marcio Maximo, ndiyo timu pekee kati ya zile...

 

11 years ago

Michuzi

UMATI- “KUPIGA HODI BUNGENI”

Chama cha uzazi na malezi bora nchini UMAT, Tanzania kimeazimia kwenda Bungeni Mjini Dodoma kwa ajili yakuwakilisha mambo mbali mbali yanayo kikabili chama hicho, ikiwapo kuongea na mlezi wao ambaye ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Akiongea na vyombo vya habari Jijini Mwanza mkurugenzi mtendaji wa UMAT Tanzania, Lulu Ng’wanakilala, alisema kama UMAT wanadhamiria kwenda Bungeni wakati Wizara zinazohusika na masuala ya uzazi na Malezi zitakapokuwa zikiwasilisha bajeti zao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani