NEWS ALERT: HODI, HODI ROCK CITY...TRENI YA DELUXE YAELEKEA MWANZA LEO JUMAPILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zng6VD7bzkw/VSqIkAk4AwI/AAAAAAAHQr4/GLipOMuUDbw/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dk Shaban Mwinjaka akikata utepe kuzindua safari hiyo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dk Shaban Mwinjaka akiondoa treni kwa kupunga bendera
Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania –TRL unachukua fursa hii kuwataarifu wateja wetu wote na Watanzania kwa ujumla na hasa ukanda wa ziwa kuwa hatimaye ile huduma iliyokuwa ikisubiriwa leo Aprili 12 , 2015 inaelekea Mwanza ‘Rock City’ Ziwa Victoria!
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Hodi Hodi Brazil 2014, kumekucha!
Michuano ya kombe la dunia inang'oa nanga Brazil Alhamsi. Sura ya nchi hiyo imebadilika na hivi ndivyo mambo yalivyo
11 years ago
BBCSwahili06 Mar
Kombe la dunia labisha hodi hodi.
Mechi za kirafiki zaandaliwa katika maeneo mbali mbali duniani kwa maandalizi ya kombe la dunia litakaloandaliwa nchini Brazil.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_cV-gX8ErGc/VifoLGkS48I/AAAAAAAIBjI/BOX4nnCS-Uk/s72-c/New%2BPicture.png)
MUDA WA KUONDOKA TRENI YA DELUXE KWENDA MWANZA JUMAPILI OKTOBA 25, 2015 WASOGEZWA MBELE
KAMPUNI YA RELI TANZANIA(TRL)![](http://4.bp.blogspot.com/-_cV-gX8ErGc/VifoLGkS48I/AAAAAAAIBjI/BOX4nnCS-Uk/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI (PRESS RELEASE) Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania TRL unachukua fursa hii kuwaarifu abiria wa treni ya deluxe ya Jumapili Oktoba 25, 2015 kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza kuwa muda wa kuondoka umesogezwa mbele kutoka saa 2 asubuhi hadi saa 2 usiku wa siku hiyohiyo.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo uamuzi huo umechukuliwa maalum ili kuwapa fursa Abiria waliojiandikisha kupiga kura kutumia haki yao ya kikatiba kikamilifu.
Utaratibu huu...
![](http://4.bp.blogspot.com/-_cV-gX8ErGc/VifoLGkS48I/AAAAAAAIBjI/BOX4nnCS-Uk/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI (PRESS RELEASE) Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania TRL unachukua fursa hii kuwaarifu abiria wa treni ya deluxe ya Jumapili Oktoba 25, 2015 kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza kuwa muda wa kuondoka umesogezwa mbele kutoka saa 2 asubuhi hadi saa 2 usiku wa siku hiyohiyo.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo uamuzi huo umechukuliwa maalum ili kuwapa fursa Abiria waliojiandikisha kupiga kura kutumia haki yao ya kikatiba kikamilifu.
Utaratibu huu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g7ffI9sue3Y/VVIaIOZ3DaI/AAAAAAAHW4A/6pz9zzB1Rc0/s72-c/unnamed%2B(53).jpg)
HUDUMA YA TRENI YA DELUXE KUSIMAMA KATIKA KITUO CHA NGURUKA KUANZIA TRENI ITAKAYOANDOKA DAR JUMAPILI IJAYO MEI 17, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-g7ffI9sue3Y/VVIaIOZ3DaI/AAAAAAAHW4A/6pz9zzB1Rc0/s640/unnamed%2B(53).jpg)
Kwa taarifa hii ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu na Wakazi wa maeneo yanayozunguka kituo cha Nguruka, shime wajitokeze kwa wingi kukata tiketi za safari kwa mujibu wa mahitaji yao . Halikadhalika safari za deluxe zitakuwa wiki...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fKWhSFdpW48/Ux2EcNHFZCI/AAAAAAAFSlk/qeDY2G2_h78/s72-c/3.jpg)
NMB YAPIGA HODI KWA WAKAAZI WA BUZURUGA, MKOANI MWANZA
NMB imezindua rasmi tawi la jipya la Buzuruga mkoani Mwanza, likiwa ni tawi la tisa kuzinduliwa katika mkoa wa huo, huku NMB ikiendelea kuwa ndio benki yenye matawi mengi zaidi Tanzania.
Akizungumza katika sherehe ya ufunguzi huo, Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Mh. Baraka Konisaga ameipongeza benki ya NMB kwa hatua nyingine iliyopiga kwa kusogeza zaidi huduma kwa wateja na kuitaka iendelee kuwa kinara wa huduma za kibenki nchini.
Aliwahamasisha wafanyabiashara, wakulima na wafanyakazi...
10 years ago
Michuzi01 Jul
NEWS ALERT: WATU WANNE WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI NA TRENI MKOANI MOROGORO LEO ALFAJIRI
Watu wanne wamefariki dunia na 21 kujeruhiwa baada ya basi aina ya Isuzu kugonga treni ya abiria iendayo bara katika kilomita 276/0 kati ya Stesheni za Kimamba na Kilosa mkoani Morogoro saa 11:25 asubuhi leo Julai 01, 2015. Wahanga walipakiwa katika treni hiyo na kukimbizwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kilosa.Basi lilohusika ni lenye namba za usajili T837CTM Isuzu Coaster linalomilikiwa na Feisal A. Khuwel wa Kilosa.Taarifa kutoka eneo la tukio limefafanua kuwa waliofariki ni wanaume...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Q8yl8I0FRWg/VPB3g2oRWcI/AAAAAAAHGQs/gm3vzlKdzN8/s72-c/IMG-20150227-WA0037.jpg)
NEWS ALERT: NDEGE YA JWTZ YAPATA AJALI JIJINI MWANZA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q8yl8I0FRWg/VPB3g2oRWcI/AAAAAAAHGQs/gm3vzlKdzN8/s1600/IMG-20150227-WA0037.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ODsiopK1HFA/VPB4-s7b8VI/AAAAAAAHGSA/yVB3lMyUmiw/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-27%2Bat%2B5.01.14%2BPM.png)
Ndegevita za JWTZ zilikuwa katika mazoezi ya kawaida ya kivita, Wakati rubani wa ndegevita...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVIhzAPGlSGJKvD0hvJiAb7aEwdDBHgvDctFy6WRwCg55ecmLam848CULY0Z1saS-BKcE27*7Sn2e1pNSXRGqIKm/hodi.jpg)
Hodi Simba
Wachezaji w aYanga wakishangilia goli. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge
HODI SIMBA! Yanga imeanza kukaa sawa kwenye Ligi Kuu Bara lakini jana imetoa onyo kwa watani wao wa jadi, Simba, kuelekea mchezo wa Oktoba 18 kwa kuonyesha kandanda safi ilipoitungua JKT Ruvu 2-1.
Wakati Simba, ikisuasua kwenye ligi hiyo, Yanga wanazidi kuchanja mbunga. Yanga chini ya kocha Mbrazili, Marcio Maximo, ndiyo timu pekee kati ya zile...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BIuHiTJVX7A/U338FTeG1zI/AAAAAAAFkeU/9cXwcL3p88w/s72-c/unnamed+(22).jpg)
UMATI- “KUPIGA HODI BUNGENI”
Chama cha uzazi na malezi bora nchini UMAT, Tanzania kimeazimia kwenda Bungeni Mjini Dodoma kwa ajili yakuwakilisha mambo mbali mbali yanayo kikabili chama hicho, ikiwapo kuongea na mlezi wao ambaye ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Akiongea na vyombo vya habari Jijini Mwanza mkurugenzi mtendaji wa UMAT Tanzania, Lulu Ng’wanakilala, alisema kama UMAT wanadhamiria kwenda Bungeni wakati Wizara zinazohusika na masuala ya uzazi na Malezi zitakapokuwa zikiwasilisha bajeti zao...
Akiongea na vyombo vya habari Jijini Mwanza mkurugenzi mtendaji wa UMAT Tanzania, Lulu Ng’wanakilala, alisema kama UMAT wanadhamiria kwenda Bungeni wakati Wizara zinazohusika na masuala ya uzazi na Malezi zitakapokuwa zikiwasilisha bajeti zao...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania