KUSITISHWA KWA MUDA HUDUMA YA TRENI YA JIJI KUANZIA JUMATANO FEBRUARI 25, 2015 HADI JUMATATU MACHI 02, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-_J_NgJ258yY/VO4pYlWbh2I/AAAAAAAHF2w/wzD8sewVLIE/s72-c/download%2B(1).jpg)
Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania –TRL unasikitika kutangaza kusitishwa kwa muda huduma ya treni ya Jiji kuanzia leo Jumatano jioni Februari 25 hadi Jumatatu Machi 02, 2015 itakapoanza tena.
Kwa mujibu wa taarifa ya Uongozi wa TRL iliotolewa jioni leo Februari 25, 2015 uamuzi wa kusitisha huduma hiyo umesababishwa na vichwa viwili vya treni hiyo kuharibika na kuhitaji matengenezo makubwa katika Karakana Kuu ya Morogoro .Taarifa imefafanua kuwa kwa vile kimebaki kichwa kimoja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pETJMNgSito/U6HPPVmAjvI/AAAAAAAFrjc/3HMdpM37-0c/s72-c/download+(1).jpg)
Taarifa ya KUSITISHWA KWA MUDA HUDUMA YA TRENI YA JIJI KUANZIA KESHO JUNI 19, 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-pETJMNgSito/U6HPPVmAjvI/AAAAAAAFrjc/3HMdpM37-0c/s1600/download+(1).jpg)
Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania –TRL unasikitika kuwataarifu wananchi na wateja wake wa huduma ya treni ya Jiji kuwa hiyo imesitishwa kwa muda wa siku 3 kuanzia kesho Juni 19, 2014 hadi Jumammosi Juni 21, 2014. Aidha huduma hiyo itaanza tena hapo Jumatatu Juni 23, 2014 kwa kufuata ratiba yake ya kawaida. Uamuzi huo unatokana na sababu za kiufundi ikiwemo kufanyiwa matengenezo vichwa vyote vya viwili ambavyo vimekuwa vikihudumia treni hiyo ya Jiji. Vichwa hivyo vinapaswa...
10 years ago
Michuzi13 Nov
Huduma ya Treni ya Jiji yaahirishwa kuanzia leo hadi Jumatatu Novemba 17, 2014
Ufafanuzi wa sababu za kusitishwa huduma umeeleza kuwa kichwa kimojawapo ambacho hutoa huduma kimepelekwa Karakana Kuu ya Morogoro kwa ajili ya ukarabati maalum na kwamba kinatarajiwa kurejeshwa Dar es Salaam jioni ya siku ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s72-c/DSC07352.jpg)
ABIRIA WA TRENI MKOANI DODOMA KUTUMIKA KITUO KIDOGO CHA KATOSHO BADALA YA STESHENI YA TRENI YA KIGOMA KWA TRENI ZA ABIRIA KUANZIA FEBRUARI 18, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s1600/DSC07352.jpg)
Kwa mujibu wa wa taarifa ya Uongozi wa TRL lilitolewa Februari 16, 2015 uamuzi wa treni kutofika katika stesheni ya Kigoma unatokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mjini Kigoma na hivyo kuzoa mchanga ambao umefunika tuta la reli katika eneo la stesheni ya Kigoma.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo abiria wote...
11 years ago
MichuziKUSITISHWA KWA HUDUMA YA TRENI YA JIJI HAPO JUMAMOSI NA JUMAPILI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-34W8X8sIodE/U5dB_vWDqWI/AAAAAAAFpmM/tiyO0bRBvps/s72-c/TanzaniaTRCDar.jpg)
KUSITISHWA KWA MUDA HUDUMA YA TRENI YA ABIRIA KWENDA BARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-34W8X8sIodE/U5dB_vWDqWI/AAAAAAAFpmM/tiyO0bRBvps/s1600/TanzaniaTRCDar.jpg)
Tokea asubuhi ya leo Mkurugenzi Mtendaji wa TRL Mhandisi Kipallo Aman Kisamfu na Wahandisi waandamizi na Mafundi ujenzi walifika katika daraja hilo lililopo km 82/5 na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g7ffI9sue3Y/VVIaIOZ3DaI/AAAAAAAHW4A/6pz9zzB1Rc0/s72-c/unnamed%2B(53).jpg)
HUDUMA YA TRENI YA DELUXE KUSIMAMA KATIKA KITUO CHA NGURUKA KUANZIA TRENI ITAKAYOANDOKA DAR JUMAPILI IJAYO MEI 17, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-g7ffI9sue3Y/VVIaIOZ3DaI/AAAAAAAHW4A/6pz9zzB1Rc0/s640/unnamed%2B(53).jpg)
Kwa taarifa hii ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu na Wakazi wa maeneo yanayozunguka kituo cha Nguruka, shime wajitokeze kwa wingi kukata tiketi za safari kwa mujibu wa mahitaji yao . Halikadhalika safari za deluxe zitakuwa wiki...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yLU2uquS8Mw/VXbFOu4EqAI/AAAAAAAHdUs/FNyfyj6lEMY/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
Treni ya kwenda Bara yaahirishwa hadi kesho Jumatano Juni 10, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-yLU2uquS8Mw/VXbFOu4EqAI/AAAAAAAHdUs/FNyfyj6lEMY/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa safari hiyo ni ajali ya treni ya mizigo iliyotokea usiku wa kuamkia leo Jumanne Juni 09, 2015 maeneo ya Stesheni za Ngeta na Ruvu mkoani Pwani ambapo mabehewa matano yenye shehena ya sukari yameanguka...
9 years ago
Michuzi01 Nov
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Dq75gLB3mK0/VZRpQrxJWgI/AAAAAAAHmVA/-763h8m8pXE/s72-c/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
WARSHA YA KISAYANSI KUHUSU HUDUMA ZA HALI YA HEWA KUPITIA MODELI YA ‘PRECIS’, KUANZIA TAREHE 29 JUNI HADI 3 JULAI 2015, DAR ES SALAAM, TANZANIA.