Majeruhi ajali ya basi na treni wasaidiwa
SERIKALI ya Mkoa wa Morogoro na wadau wengineo wametoa misaada mbalimbali zikiwemo fedha tasilimu kwa majeruhi wa ajali ya basi kugonga treni wanaotibiwa hospitali ya Mt. Francis wilayani hapa. Katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-4s8OgFPQ_FE/XuTyVMkS-AI/AAAAAAAC7fA/Ps5acyguOTwqNHhxqcwTRG1QNErj5P2HACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
AJALI YA GARI KUGONGA TRENI NA KUSABABISHA KIFO NA MAJERUHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4s8OgFPQ_FE/XuTyVMkS-AI/AAAAAAAC7fA/Ps5acyguOTwqNHhxqcwTRG1QNErj5P2HACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Waliokufa, majeruhi ajali ya basi waanza kutambuliwa
NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
MAITI mbili kati ya nne za ajali ya basi la kampuni ya Air Bus iliyotokea juzi wilayani Gairo, zimetambuliwa.
Basi hilo lilipata ajali likiwa safarini kutoka Dar es Salaam kwenda Tabora.
Aidha, majeruhi 30 wa ajali hiyo bado wamelazwa katika hospitali za Berega na ya rufani ya mkoa wa Morogoro, wakipatiwa matibabu.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paul, alisema jana ofisini kwake mjini hapa kuwa waliotambuliwa ni Amina Rashid (50), mkulima na mkazi wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcoQOEv6TkmINPuAK5m3lAGGA03liUFLnfjXwqQSM22ezIZfep0H6uNzMS6HZjZcG7a7GweJ1mTWbIdVyLu6kG*l/burudani3.jpg?width=650)
TASWIRA ZA MAJERUHI KATIKA AJALI YA BASI LA BURUDANI, KOROGWE
Hospitali ya wilaya ya Korogwe. Majeruhi wakipatiwa matibabu. Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo ( kushoto)…
10 years ago
Habarileo07 Nov
Ajali ya basi, treni yaua 12
MATUKIO ya ajali za barabarani nchini yameendelea kuteketeza maisha ya Watanzania, baada ya jana watu 12 kufa papo hapo katika ajali iliyohusisha basi na treni katika makutano ya reli eneo la Kiberege, wilaya Kilombero mkoani Morogoro.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPHM1HRabQ5DiKLmeJV4iLoI2TBPIEcDJ6jNRiJgxZc3Z9lvPx6ib8BMT437n2bqtojQxWamviLqyII3VMAToQya/Mtoto.gif?width=650)
MAAJABU AJALI YA BASI KUGONGA TRENI
Stori: Dustan Shekidele
NImaajabu ya Mungu! Nyuma ya tukio la ajali ya basi kugona treni iliyotokea hivi karibuni, yamebainika maajabu ya aina yake baada ya mtoto Alhaji Mdoe aliyekuwa amepakatwa na mama yake kukutwa akiwa hai wakati mama yake akiwa amefariki dunia. Soma zaid hapa====>http://bit.ly/1LMsk2c
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX1-ZZHL4rvF6VtM89S-qA2Q8lVcJLmxcQqVZmn1xeFjPoS7RlJwDplZ1ZpvgECZRl0eLCsbEdMme-nfInCuX041/2.jpg?width=650)
TASWIRA ZA MAJERUHI WA AJALI YA BASI LA LUHUYE WAKIWA HOSPITALI YA RUFAA BUGANDO, MWANZA
Baadhi ya majeruhi katika ajali ya Basi la Luhuye Express iliyotokea juzi Wilaya ya Busega mkoani Simiyu wakipelekwa chumba cha upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Mwanza. Mpaka sasa watu 16 wamepoteza maisha. Majeruhi wakiwa hospitalini Bgando.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DTAbWDo8Za-TKdf5u7nC50pItGoaIVF0-849UFxdnQ6BRoAxlUgYS-MtUOJWMaBJzVd9phZUNZoAfre0P8xNU1E/BREAKING.gif)
AJALI YA BASI NA TRENI YAUA 5 NA KUJERUHI 24 WILAYANI KILOSA
WATU watano wamepoteza maisha huku 24 wakijeruhiwa baada ya basi la abiria kuligonga treni lililokuwa linatoka Morogoro – Dodoma leo asubuhi katika eneo la Kibaoni, wilayani Kilosa mkoani Morogoro. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kueleza kuwa ajali hiyo imetokea leo majira ya saa 1 asubuhi na imetokana na uzembe wa dereva wa basi. Naye Mganga Mfawidhi wa Hospitali...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ZLP1O9SvAIg/VbY4AsLgLVI/AAAAAAABS1Y/p0WOjnfAdCY/s72-c/IMG-20150727-WA0010.jpg)
AJALI YATOKEA MKOANI TABORA BAADA YA BASI KUGONGA TRENI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZLP1O9SvAIg/VbY4AsLgLVI/AAAAAAABS1Y/p0WOjnfAdCY/s640/IMG-20150727-WA0010.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GPW5xqIj-Vc/VbY4A5x53DI/AAAAAAABS1c/AV7h2SIePMM/s640/IMG-20150727-WA0012.jpg)
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
10 years ago
GPLAJALI YA BASI LA SUPER ALJABIR KUGONGA TRENI IFAKARA, MAJINA YA MAREHEMU YATAJWA
Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro, Leonard L. Paulo-SACP akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania