Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AJALI YA GARI KUGONGA TRENI NA KUSABABISHA KIFO NA MAJERUHI

Mnamo Tarehe 12.6.2020 majira ya saa 17.20hrs huko maeneo ya Mwakanga kwenye makutano ya njia ya reli na barabara itokayo Chanika kwenda Pugu wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam, treni ya abiria iliyokuwa ikitokea Stesheni ya TAZARA Dar es Salaam kuelekea Mbeya ikiendeshwa na Judith Lupenzi na Rita Mduma iligongwa na Gari aina ya daladala no T503 CMZ aina ya EICHER lililokuwa likitokea Chanika kwenda Buguruni na kusababisha kifo Cha abiria mmoja mwanaume aliyejulikana kwa jina la Salehe...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAAJABU AJALI YA BASI KUGONGA TRENI

Stori: Dustan Shekidele NImaajabu ya Mungu! Nyuma ya tukio la ajali ya basi kugona treni iliyotokea hivi karibuni, yamebainika maajabu ya aina yake baada ya mtoto Alhaji Mdoe aliyekuwa amepakatwa na mama yake kukutwa akiwa hai wakati mama yake akiwa amefariki dunia. Soma zaid hapa====>http://bit.ly/1LMsk2c

 

10 years ago

Vijimambo

AJALI YATOKEA MKOANI TABORA BAADA YA BASI KUGONGA TRENI

 Ajali imetokea barabara ya kwenda Urambo eneo la Mororo,Tabora ikihusisha treni na basi la abiria. Inasemekana kuna watu wamepoteza maisha kwenye eneo la tukio baada ya gari la abiria kugongana na treni la mizigo, watu waliofariki bado hajafahamika idadi yao kamili waliotambuliwa ni wawili mmoja ni Samweli mkazi wa kata ya Ufuruma wilayani Uyui na Mwingine ni Issa.
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi

 

10 years ago

GPL

AJALI YA BASI LA SUPER ALJABIR KUGONGA TRENI IFAKARA, MAJINA YA MAREHEMU YATAJWA


Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro, Leonard L. Paulo-SACP akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo.…

 

10 years ago

Vijimambo

AJALI YA ROLI KUGONGA TRENI ENEO LA KARUME JIJINI DAR LEO ASUBUHI


Injini ya treni almaarufu kama kichwa cha treni kikiwa nje ya njia yake (reli), jirani na machinga complex, barabara ya Kawawa jijini Dar es Salaam leo Ijumaa Machi 27, 2015, baada ya kulibamiza lori lililokuwa na shehena ya ngano mali ya kampuni ya Nyati. Dhahma hiyo ilitokea mapema asubuhi, lakini hadi inafika saa nane mchana, bado shughuli ya kukirejesha kichwa hicho kwenye nia yake ilikuwa pevu ambapo muda wote huo barabara ya Kawawa kutoka machinga compelex hadi kwenye mataa ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Majeruhi ajali ya basi na treni wasaidiwa

SERIKALI ya Mkoa wa Morogoro na wadau wengineo wametoa misaada mbalimbali zikiwemo fedha tasilimu kwa majeruhi wa ajali ya basi kugonga treni wanaotibiwa hospitali ya Mt. Francis wilayani hapa. Katika...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Balozi Seif awafariji majeruhi wa ajali ya gari

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi akimfariji Said Ali Juma mkazi wa Sogea, Unguja aliyelazwa chumba cha wagonjwa mahututi katika Hospitali ya Mnazimmoja, aliyepata ajali ya gari wakati akirejea kwenye mkutano […]

The post Balozi Seif awafariji majeruhi wa ajali ya gari appeared first on Mzalendo.net.

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LAMSHIKILIA DEREVA WA LORI MALI YA TEXAS HARDWARE KWA KUSABABISHA AJALI ILIYOPELEKEA VIFO VYA WATU 8 NA MAJERUHI 5 WILAYA YA MAGU




TAREHE 10.06.2020 MAJIRA YA 19:45HRS KATIKA BARABARA YA MWANZA – MUSOMA, ENEO LA IHAYABUYAGA, KATA YA BUKANDWE, TARAFA YA SANJO, WILAYA YA MAGU – MWANZA, DEREVA AITWAE BONIPHACE CLIPHORD @TUJU MIAKA 37, MJITA, MKAZI WA MWANZA-NERA AKIENDESHA GARI NA T.322 DCB TRAILER T.1351 DCA AINA YA SCANIA LIKITOKEA WILAYA YA BUSEGA KWENDA MWANZA MALI YA KAMPUNI YA TEXAS HARDWARE, ILIGONGA TELA YA TRAKTA KWA NYUMA AMBAYO ILIKUWA HAINA TAA ZA NYUMA YENYE NAMBA ZA USAJILI T.952 DGW, BAADA YA KULIGONGA...

 

11 years ago

GPL

BASI LA AM COACH LAPATA AJALI IPULI NA KUSABABISHA KIFO CHA MWANAFUNZI MMOJA

Umati mkubwa wa watu ambao ulifiika kushuhudia ajali hiyo.
Askari Polisi Kitengo cha usalama barabarani wakiuchukua mwili wa mtoto…

 

11 years ago

Michuzi

MTU MMOJA ANASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA KWA KUSABABISHA AJALI NA KIFO

Na Sylvester Onesmo  wa Jeshi la Polisi Dodoma.   Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Jackson s/o Venance, umri miaka 33, kabila Mhaya, mfanyakazi wa NSSF Bukoba aliyekuwa akitembea kwa miguu pembeni mwa barabara ya Nyerere maeneo ya TRA Dodoma katika Manispaa na Mkoa wa Dodoma amefariki dunia alipokuwa akitibiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma baada ya kugongwa na gari lenye namba za usajili T.399 CWG aina ya NISSAN iliyokuwa ikiendeshwa na Dotto d/o Onesmo, umri miaka 25, kabila...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani