AJALI YA ROLI KUGONGA TRENI ENEO LA KARUME JIJINI DAR LEO ASUBUHI

Injini ya treni almaarufu kama kichwa cha treni kikiwa nje ya njia yake (reli), jirani na machinga complex, barabara ya Kawawa jijini Dar es Salaam leo Ijumaa Machi 27, 2015, baada ya kulibamiza lori lililokuwa na shehena ya ngano mali ya kampuni ya Nyati. Dhahma hiyo ilitokea mapema asubuhi, lakini hadi inafika saa nane mchana, bado shughuli ya kukirejesha kichwa hicho kwenye nia yake ilikuwa pevu ambapo muda wote huo barabara ya Kawawa kutoka machinga compelex hadi kwenye mataa ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLTRENI YAGONGWA NA GARI ENEO LA KARUME JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi
AJALI YA ROLI SINZA MORI LEO JIJINI DAR ES SALAAM



11 years ago
Michuzi
AJALI ILIYOTOKEA ENEO LA MOROCO-POSTA LEO JIJINI DAR



10 years ago
GPL
MAAJABU AJALI YA BASI KUGONGA TRENI
11 years ago
Michuzi.jpg)
ajali mbaya eneo la Mikese, Morogoro, leo Asubuhi
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
5 years ago
CCM Blog
AJALI YA GARI KUGONGA TRENI NA KUSABABISHA KIFO NA MAJERUHI

10 years ago
Vijimambo
AJALI YATOKEA MKOANI TABORA BAADA YA BASI KUGONGA TRENI


Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
10 years ago
Vijimambo12 Nov
TASWILA KUTOKA ENEO LA AJALI KAHAMA BASI LA KAMPUNI YA WABONELA LILILOPINDUKA LEO ASUBUHI



Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi uliopelekea dereva wa basi kushindwa kulimudu lilipofika kwenye kona ya Phantom na kupelekea kuingia mtaroni na...
11 years ago
Dewji Blog12 Apr
Watu 2 wapoteza maisha kwenye ajali ya basi la Smart eneo la Lugoba leo asubuhi
Basi la Smart likiwa limepinduka eneo la Lugoba.
Mmoja wa majeruhi wa ajali hiyo akiwa amepoteza fahamu baada ya kupata mshtuko.
Watu wawili Wamefariki Dunia Kutokana na Ajali ya Basi la Smart Asubuhi ya leo.
Basi Hilo Lililokuwa likitokea Jijini dar es salaam Kuelekea Mombasa Nchini Kenya Limeacha Njia Na Kupinduka na Kusababisha Vifo vya watu Wawili pamoja na Kujeruhi abiria wanaokadiriwa kufika 20 .Ajali hiyo imetokea katika Eneo la Mkata na Lugoba Barabara Kuu ya Chalinze...