ajali mbaya eneo la Mikese, Morogoro, leo Asubuhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-OPUEFkeLFUM/UwnODUYUrgI/AAAAAAAFO_w/z1skdnl_4Hg/s72-c/unnamed+(12).jpg)
Ankle habari. Leo asubuhi eneo la Mikese, Morogoro, tumekutana na na ajali mbaya sana ya magari mawili, moja la mafuta, kugongana uso kwa uso na kutumbukia mtaroni na yote kushika moto. Inasadikiwa mtu mmoja ambaye ni dereva wa magari hayo kateketea kabisa kwa moto. Picha na Mdau Sixmund
Hakuna cha kufanyika kutokana na moto mkubwa na moshi mwingi wakati magari hayo yakiteketea
Mlipuko mkubwa wakati matenki ya mafuta yakilipuka
Askari wa kikosi cha zimamoto wakijaribu kuuzima moto...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLAJALI MBAYA ZILIZOTOKEA ASUBUHI YA LEO
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-2kx1r_deL3M/VRVF_KsqY4I/AAAAAAAARq0/E3ALjKJXons/s72-c/train_lory%2Bcolition.jpg)
AJALI YA ROLI KUGONGA TRENI ENEO LA KARUME JIJINI DAR LEO ASUBUHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-2kx1r_deL3M/VRVF_KsqY4I/AAAAAAAARq0/E3ALjKJXons/s640/train_lory%2Bcolition.jpg)
10 years ago
Vijimambo12 Nov
TASWILA KUTOKA ENEO LA AJALI KAHAMA BASI LA KAMPUNI YA WABONELA LILILOPINDUKA LEO ASUBUHI
![](https://2.bp.blogspot.com/-MKJ5wTAyQ6c/VGMbP4awraI/AAAAAAAARDk/5H12Zr89tZk/s640/2.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-IoiB2yiEEXY/VGMbQjhOrCI/AAAAAAAARDs/ZuuZ5204iQE/s640/3.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-vqs5hVWxQLw/VGMkqHYc1XI/AAAAAAAAqxU/Y_9BOn81xcE/s640/1.jpg)
Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi uliopelekea dereva wa basi kushindwa kulimudu lilipofika kwenye kona ya Phantom na kupelekea kuingia mtaroni na...
11 years ago
Dewji Blog12 Apr
Watu 2 wapoteza maisha kwenye ajali ya basi la Smart eneo la Lugoba leo asubuhi
Basi la Smart likiwa limepinduka eneo la Lugoba.
Mmoja wa majeruhi wa ajali hiyo akiwa amepoteza fahamu baada ya kupata mshtuko.
Watu wawili Wamefariki Dunia Kutokana na Ajali ya Basi la Smart Asubuhi ya leo.
Basi Hilo Lililokuwa likitokea Jijini dar es salaam Kuelekea Mombasa Nchini Kenya Limeacha Njia Na Kupinduka na Kusababisha Vifo vya watu Wawili pamoja na Kujeruhi abiria wanaokadiriwa kufika 20 .Ajali hiyo imetokea katika Eneo la Mkata na Lugoba Barabara Kuu ya Chalinze...
11 years ago
Michuzi17 Mar
YANGA YAPATA AJALI MIKESE MKOANI MOROGORO
![Image](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/pcpgK4AGpnUNIAYbEMApuErJlSgcky6lP6mm2bjgYKPGXrV2MWKOgSKgi7j83RzULELOcBvtFd5B0DoULC__UUL9Yza0eElCioIk_iqJEwgXD36OVGpp=s0-d-e1-ft#http://larrybway91.files.wordpress.com/2014/03/yanga11.jpeg?w=441)
Taarifa zinasema kwamba hakuna mchezaji au mtu yoyote aliyeumia katika ajali hiyo. Timu ya Yanga jana ilicheza na wakata miwa wa Mtibwa katika dimba la Jamhuri mjini Morogoro na matokeo kuwa suluhu ya 0-0.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QQYDC-p7-xg/UwolsnS-dNI/AAAAAAAFPH8/aG9VArAdxsk/s72-c/89a90f24db76215e88c7ed88c120e6db.jpg)
DKT. MAGUFULI ATEMBELEA LA MAGARI YALIYOTEKETEA KWA MOTO MIKESE, MOROGORO LEO
Ajali hiyo ambayo imetokea mapema leo ilifunga barabara yote ya Dar - Morogoro, takribani kwa masaa zaidi ya mawili na kusababisha foleni kubwa ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtHnKSRlAq8VmFMMDfmkp3oazB9j7Rm3ZBPy7-BVIJff*Pn*LiT7GnU9GeUuExKjsdaeSlk9*HMvDGZUd9ol-Y2L/AJALIMORO6.jpg)
AJALI MBAYA YA NOAH MOROGORO