TASWILA KUTOKA ENEO LA AJALI KAHAMA BASI LA KAMPUNI YA WABONELA LILILOPINDUKA LEO ASUBUHI
Wananchi wakishuhudia basi la Wibonela lililopinduka leo asubuhi huko Kahama.
Wananchi wakiwa eneo la ajali huku wengine wakijaribu kupata picha za hapa na pale
WATU kadhaa wamepoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa asubuhi hii kwenye ajali ya basi la Wibonela lililokuwa likitoka Kahama kwenda Dar lililopinduka eneo la kona ya Phantom, Kahama.
Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi uliopelekea dereva wa basi kushindwa kulimudu lilipofika kwenye kona ya Phantom na kupelekea kuingia mtaroni na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog12 Apr
Watu 2 wapoteza maisha kwenye ajali ya basi la Smart eneo la Lugoba leo asubuhi
Basi la Smart likiwa limepinduka eneo la Lugoba.
Mmoja wa majeruhi wa ajali hiyo akiwa amepoteza fahamu baada ya kupata mshtuko.
Watu wawili Wamefariki Dunia Kutokana na Ajali ya Basi la Smart Asubuhi ya leo.
Basi Hilo Lililokuwa likitokea Jijini dar es salaam Kuelekea Mombasa Nchini Kenya Limeacha Njia Na Kupinduka na Kusababisha Vifo vya watu Wawili pamoja na Kujeruhi abiria wanaokadiriwa kufika 20 .Ajali hiyo imetokea katika Eneo la Mkata na Lugoba Barabara Kuu ya Chalinze...
10 years ago
Vijimambo12 Nov
BASI LA WIBONELA LAPINDUKA KAHAMA ASUBUHI YA LEO
Basi la Kampuni ya Wibonela lapinduka Asubuhi ya leo Huko Kahama,
WATU kadhaa wamepoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa asubuhi hii kwenye ajali ya basi la Wibonela lililokuwa likitoka Kahama kwenda Dar lililopinduka eneo la kona ya Phantom, Kahama.
Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi uliopelekea dereva wa basi kushindwa kulimudu lilipofika kwenye kona ya Phantom na kupelekea kuingia mtaroni na kupinduka.
Idadi kamili ya waliopoteza maisha na majeruhi kwenye ajali hiyo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OPUEFkeLFUM/UwnODUYUrgI/AAAAAAAFO_w/z1skdnl_4Hg/s72-c/unnamed+(12).jpg)
ajali mbaya eneo la Mikese, Morogoro, leo Asubuhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-OPUEFkeLFUM/UwnODUYUrgI/AAAAAAAFO_w/z1skdnl_4Hg/s1600/unnamed+(12).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7ENufK_Znbc/UwnODm3WRsI/AAAAAAAFO_4/cQKAhtjRcWw/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YjmKlrMa2QI/UwnODnBCPzI/AAAAAAAFO_0/JJWrh-qZ394/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CVwC4cHKNO4/UwnOEBqTe1I/AAAAAAAFPAI/jIqRq_rRzPI/s1600/unnamed+(15).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-2kx1r_deL3M/VRVF_KsqY4I/AAAAAAAARq0/E3ALjKJXons/s72-c/train_lory%2Bcolition.jpg)
AJALI YA ROLI KUGONGA TRENI ENEO LA KARUME JIJINI DAR LEO ASUBUHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-2kx1r_deL3M/VRVF_KsqY4I/AAAAAAAARq0/E3ALjKJXons/s640/train_lory%2Bcolition.jpg)
10 years ago
Michuzi12 Nov
WATU WATANO WADAIWA KUPOTEZA MAISHA NA WENGINE KUJERUHIWA VIBAYA KUFUATIA AJALI YA BASI LA WIBONELA KUPINDUKA MJINI KAHAMA LEO
![](https://4.bp.blogspot.com/-4UdQLcd_cNw/VGM-Vk_59aI/AAAAAAAA8qU/fhtL_P02kQ0/s640/1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EsajbnapHXU/VnQHVEi-rhI/AAAAAAAINQA/h7Ni-gkVMI8/s72-c/IMG-20151218-WA0132.jpg)
NEWS ALERT: BASI LA KAMPUNI YA NEW FORCE LAPATA AJALI MBAYA MKOANI IRINGA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-EsajbnapHXU/VnQHVEi-rhI/AAAAAAAINQA/h7Ni-gkVMI8/s640/IMG-20151218-WA0132.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa,Peter Kakamba amethibitisha watu 12 kupoteza maisha katika ajali hiyo. Wanane ni wanae na wanne ni wanawake. Abiria 28 wamejeruhiwa wakiwemo madereva wa basi la lori na hali zao siyo nzuri.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa nane alasiri ambapo basi la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HwqJujqzkWgpbgkwXgPDJ0xDhwyfx29mxDwhjEg4uiCzYo0eXr0w9xaBFAXYQydZEeD5QpWpU8HzKxtUlRigc9Sxv9BvQ9z*/BREAKINGNEWS.gif)
WATU KADHAA WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI KAHAMA
10 years ago
Vijimambo13 Nov
PICHA ZINGINE ZA BASI WIBONELA LILILOPATA AJALI KAHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-UT11yZQPqpQ/VGNvws8O7_I/AAAAAAAANBw/X2rGy3C1PqA/s640/DSC_0024.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-hFKik7MjpW0/VGNyAzUmUNI/AAAAAAAANCE/UPxfQRJs4wU/s640/DSC_0053.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-mhX8buP-C-k/VGNy28brrWI/AAAAAAAANCc/3nyO3RgRP1M/s640/DSC_0073.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-qnDAFVxE8Qg/VGNy496VosI/AAAAAAAANCk/G0kpmIoreAM/s640/DSC_0063.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-cHw1x1s-epA/VGNzDMF-WhI/AAAAAAAANCs/zx2NQh23Otg/s640/DSC_0057.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-aagiGe6lrCo/VGNv_gZRisI/AAAAAAAANB4/KOhFM686G0g/s640/DSC_0032.jpg)