BASI LA WIBONELA LAPINDUKA KAHAMA ASUBUHI YA LEO
Picha sio basi husika
Basi la Kampuni ya Wibonela lapinduka Asubuhi ya leo Huko Kahama,
WATU kadhaa wamepoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa asubuhi hii kwenye ajali ya basi la Wibonela lililokuwa likitoka Kahama kwenda Dar lililopinduka eneo la kona ya Phantom, Kahama.
Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi uliopelekea dereva wa basi kushindwa kulimudu lilipofika kwenye kona ya Phantom na kupelekea kuingia mtaroni na kupinduka.
Idadi kamili ya waliopoteza maisha na majeruhi kwenye ajali hiyo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi12 Nov
WATU WATANO WADAIWA KUPOTEZA MAISHA NA WENGINE KUJERUHIWA VIBAYA KUFUATIA AJALI YA BASI LA WIBONELA KUPINDUKA MJINI KAHAMA LEO
![](https://4.bp.blogspot.com/-4UdQLcd_cNw/VGM-Vk_59aI/AAAAAAAA8qU/fhtL_P02kQ0/s640/1.jpg)
10 years ago
Vijimambo13 Nov
PICHA ZINGINE ZA BASI WIBONELA LILILOPATA AJALI KAHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-UT11yZQPqpQ/VGNvws8O7_I/AAAAAAAANBw/X2rGy3C1PqA/s640/DSC_0024.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-hFKik7MjpW0/VGNyAzUmUNI/AAAAAAAANCE/UPxfQRJs4wU/s640/DSC_0053.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-mhX8buP-C-k/VGNy28brrWI/AAAAAAAANCc/3nyO3RgRP1M/s640/DSC_0073.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-qnDAFVxE8Qg/VGNy496VosI/AAAAAAAANCk/G0kpmIoreAM/s640/DSC_0063.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-cHw1x1s-epA/VGNzDMF-WhI/AAAAAAAANCs/zx2NQh23Otg/s640/DSC_0057.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-aagiGe6lrCo/VGNv_gZRisI/AAAAAAAANB4/KOhFM686G0g/s640/DSC_0032.jpg)
10 years ago
Vijimambo12 Nov
TASWILA KUTOKA ENEO LA AJALI KAHAMA BASI LA KAMPUNI YA WABONELA LILILOPINDUKA LEO ASUBUHI
![](https://2.bp.blogspot.com/-MKJ5wTAyQ6c/VGMbP4awraI/AAAAAAAARDk/5H12Zr89tZk/s640/2.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-IoiB2yiEEXY/VGMbQjhOrCI/AAAAAAAARDs/ZuuZ5204iQE/s640/3.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-vqs5hVWxQLw/VGMkqHYc1XI/AAAAAAAAqxU/Y_9BOn81xcE/s640/1.jpg)
Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi uliopelekea dereva wa basi kushindwa kulimudu lilipofika kwenye kona ya Phantom na kupelekea kuingia mtaroni na...
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Basi lapinduka, laua watano
10 years ago
Michuzi12 Nov
Basi lapiga mweleka huko Kahama leo,watu watano wadaiwa kupoteza maisha
![](https://4.bp.blogspot.com/-4UdQLcd_cNw/VGM-Vk_59aI/AAAAAAAA8qU/fhtL_P02kQ0/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JIHyBFJkBAU/VGM-V4MPouI/AAAAAAAA8qk/ZPrm0zpqXHY/s640/2.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/--RWJGfcRy28/VGM-Yxf5GaI/AAAAAAAA8qs/IMnLokrzGuU/s640/4.jpg)
11 years ago
Dewji Blog12 Apr
Watu 2 wapoteza maisha kwenye ajali ya basi la Smart eneo la Lugoba leo asubuhi
Basi la Smart likiwa limepinduka eneo la Lugoba.
Mmoja wa majeruhi wa ajali hiyo akiwa amepoteza fahamu baada ya kupata mshtuko.
Watu wawili Wamefariki Dunia Kutokana na Ajali ya Basi la Smart Asubuhi ya leo.
Basi Hilo Lililokuwa likitokea Jijini dar es salaam Kuelekea Mombasa Nchini Kenya Limeacha Njia Na Kupinduka na Kusababisha Vifo vya watu Wawili pamoja na Kujeruhi abiria wanaokadiriwa kufika 20 .Ajali hiyo imetokea katika Eneo la Mkata na Lugoba Barabara Kuu ya Chalinze...
10 years ago
Habarileo20 Mar
Basi lapinduka, laua 7 hifadhi ya Mikumi
WATU saba ambao wote ni wanaume wamekufa papo hapo na wengine 17 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Dar es Salaam kwenda mjini Ifakara, wilayani Kilombero mkoani Morogoro kupinduka ndani ya hifadhi ya Taifa ya Mikumi katika barabara kuu ya Morogoro – Iringa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HwqJujqzkWgpbgkwXgPDJ0xDhwyfx29mxDwhjEg4uiCzYo0eXr0w9xaBFAXYQydZEeD5QpWpU8HzKxtUlRigc9Sxv9BvQ9z*/BREAKINGNEWS.gif)
WATU KADHAA WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI KAHAMA