Basi lapinduka, laua 7 hifadhi ya Mikumi
WATU saba ambao wote ni wanaume wamekufa papo hapo na wengine 17 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Dar es Salaam kwenda mjini Ifakara, wilayani Kilombero mkoani Morogoro kupinduka ndani ya hifadhi ya Taifa ya Mikumi katika barabara kuu ya Morogoro – Iringa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Basi lapinduka, laua watano
9 years ago
Habarileo06 Dec
Fuso laua nyati 8 Mikumi
WANYAMA pori aina ya mbogo ‘ nyati’ wanane wenye thamani ya Sh milioni 32.6, wamekufa papo hapo kutokana na kugongwa na gari la mizigo, wakivuka barabara kuu ya Morogoro – Iringa.
9 years ago
Mwananchi04 Dec
Fusso laua nyati tisa Mikumi
10 years ago
Vijimambo12 Nov
BASI LA WIBONELA LAPINDUKA KAHAMA ASUBUHI YA LEO
Basi la Kampuni ya Wibonela lapinduka Asubuhi ya leo Huko Kahama,
WATU kadhaa wamepoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa asubuhi hii kwenye ajali ya basi la Wibonela lililokuwa likitoka Kahama kwenda Dar lililopinduka eneo la kona ya Phantom, Kahama.
Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi uliopelekea dereva wa basi kushindwa kulimudu lilipofika kwenye kona ya Phantom na kupelekea kuingia mtaroni na kupinduka.
Idadi kamili ya waliopoteza maisha na majeruhi kwenye ajali hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vVejlp6rwME/VBkJ76o2rXI/AAAAAAAAXRA/t5d6yJpjL80/s72-c/1.jpg)
WAREMBO MISS TANZANIA WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA MIKUMI
![](http://3.bp.blogspot.com/-vVejlp6rwME/VBkJ76o2rXI/AAAAAAAAXRA/t5d6yJpjL80/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-927JbBGXWT0/VBn5xXysPpI/AAAAAAAAXRg/8ffSb_jXDsI/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-l8SsnBEm604/VBn50sZQm8I/AAAAAAAAXRo/NR5GYJba9-w/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PTeTWDlVGk0/VBn53Ed3StI/AAAAAAAAXRw/RtiYbNYfm9U/s1600/4.jpg)
10 years ago
GPLWASHIRIKI MISS TANZANIA 2014 WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA MIKUMI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-BQ6xKqLJW-4/VQqwu0ER4BI/AAAAAAADc6I/sVbs7mDkJdQ/s72-c/9d121102f13723e0c6d67a4d472cddba.jpg)
AJALI NYINGINE YA BASI YATOKEA MIKUMI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-BQ6xKqLJW-4/VQqwu0ER4BI/AAAAAAADc6I/sVbs7mDkJdQ/s1600/9d121102f13723e0c6d67a4d472cddba.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HR17uISCu-g/VQqwuol192I/AAAAAAADc6A/1g3sgmMNA-E/s1600/95ad4c5234eabe082a7b799b316a4198.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cqhCQnThrEc/VQqwu9N46cI/AAAAAAADc6E/Jbk96v6f_PU/s1600/1013e9158825afb55db2653569f9242e.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XZrHtZM-Gck/VQqwve4ghMI/AAAAAAADc6Q/7uLF4LzQr7E/s1600/a28c424b866f8e111958970dfaca4ac6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uFIDrMYpYFk/VQqwvEze01I/AAAAAAADc6U/I8nFs9L3g28/s1600/a0511b398de67148da44db1aabbb7ebc.jpg)
11 years ago
Habarileo02 Feb
Basi laua polisi 5
ASKARI Polisi watano wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma wamekufa papo hapo baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso wa uso na basi la Kampuni ya Mohammed Trans. Ajali hiyo ilihusisha gari aina ya Toyota Corolla lenye namba ya usajili T 770 ABT lililotumiwa na polisi hao na basi aina ya Scania lenye namba za usajili T 997 AVW, mali ya Kampuni ya Mohammed Trans lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Dodoma.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJAMiXspl92E9XXph5bdRL*5U13L3sujBF-HkVh9Dk3m-Z-wK2g5gRs8Iu0sdsVvGldei3WhPyPo9vZl3rR0q7ib/1ajali2.jpg)
BASI LA PRINCESS MURO LAPATA AJALI MIKUMI MKOANI MORO