Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fuso laua nyati 8 Mikumi

WANYAMA pori aina ya mbogo ‘ nyati’ wanane wenye thamani ya Sh milioni 32.6, wamekufa papo hapo kutokana na kugongwa na gari la mizigo, wakivuka barabara kuu ya Morogoro – Iringa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Fusso laua nyati tisa Mikumi

Nyati tisa wa hifadhi ya taifa ya Mikumi wamegongwa na kufa papo hapo wakati wakivuka barabra ya Morogoro-Iringa na gari aina ya fuso iliyokuwa ikitokea Ifakara kwenda Chalinze.

 

9 years ago

Michuzi

NYATI WANANE WAMEKUFA KWA KUGONGWA NA FUSO

Wanyama aina ya Nyati wanane wakiwa wamekufa baada ya kugongwa na gari aina ya Fuso kwenye mbuga ya Wanyama ya Mikumi na kusababisha foleni ya magari. Tukio hili limetokea alfajiri ya leo tarehe 4 Desemba 2015.

 

11 years ago

GPL

FUSO LAUA WANNE TEMEKE

WATU wanne wamepoteza maisha wakati watatu wakijeruhiwa baada ya kugongwa na fuso lililokatika breki eneo la mto Mkokozi, Temeke jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo, fuso hilo lilikuwa limebeba mzigo wa kokoto likitokea Mjimwema, lilipofika daraja la mto Mkokozi, lilikatika breki kisha likaparamia bajaj mbili na kusababisha maafa hayo. Chanzo: Jamii Forum ...

 

10 years ago

GPL

FUSO LAUA MWENDESHA BAISKELI IFAKARA, MORO

Mwili wa marehemu ukiwa eneo la ajali. Pembeni ni baiskeli yake. Baiskeli ya marehemu ikipakiwa kwenye gari.…

 

10 years ago

Habarileo

Basi lapinduka, laua 7 hifadhi ya Mikumi

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard PauloWATU saba ambao wote ni wanaume wamekufa papo hapo na wengine 17 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Dar es Salaam kwenda mjini Ifakara, wilayani Kilombero mkoani Morogoro kupinduka ndani ya hifadhi ya Taifa ya Mikumi katika barabara kuu ya Morogoro – Iringa.

 

10 years ago

GPL

AJALI: BASI LA ABILIA LAGONGANA USO KWA USO NA FUSO LA NYANYA ENEO LA MIKUMI

Watu wawili wamefariki dunia papo hapo na wengine watatu kujerihiwa baada ya basi la FM Safari likitokea Dar es Salaam kwenda mkoani Mbeya kugongana uso kwa uso na Fuso iliyo sheheni nyanya katika eneo la hifadhi ya mikumi barabara ya Morogoro-Iringa. Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa basi kutaka kulipita gari lingine na hivyo kugongana uso kwa uso ambapo wametupia lawama baadhi ya abiria...

 

9 years ago

Michuzi

Diamond Motors rolls out the new Fuso FZ in ‘Ndiyo Fuso niFaida’ campaign

                         Transport sector is an important component of the economy and a common tool used for development because of its intensive use of infrastructures. This is even more so in Tanzania’s economy where economic opportunities are increasingly related to the mobility of people, goods and service. It is with this factors in mind that Diamond Motors (Hansa Group) has introduceda NewFuso heavy-duty truck range of Fuso FZ which offers more benefits in terms of efficiency,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Diamond Motors rolls out the new Fuso FZ in ‘Ndiyo Fuso ni Faida’ campaign

                

Transport sector is an important component of the economy and a common tool used for development because of its intensive use of infrastructures.

This is even more so in Tanzania’s economy where economic opportunities are increasingly related to the mobility of people, goods and service. It is with this factors in mind that Diamond

Motors (Hansa Group) has introduced NewFuso heavy-duty truck range of Fuso FZ which offers more benefits in terms of efficiency, operation...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani