NYATI WANANE WAMEKUFA KWA KUGONGWA NA FUSO
![](http://4.bp.blogspot.com/-zPiMKXqJx70/VmE9Dg9GRbI/AAAAAAAIKGU/CdHlKZVvn_E/s72-c/Al-xiNB3OME5EsJ8T06703pvKR2QT1q4QD_uJ_Mdi_Xw.jpg)
Wanyama aina ya Nyati wanane wakiwa wamekufa baada ya kugongwa na gari aina ya Fuso kwenye mbuga ya Wanyama ya Mikumi na kusababisha foleni ya magari. Tukio hili limetokea alfajiri ya leo tarehe 4 Desemba 2015.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://4.bp.blogspot.com/-zPiMKXqJx70/VmE9Dg9GRbI/AAAAAAAIKGU/CdHlKZVvn_E/s72-c/Al-xiNB3OME5EsJ8T06703pvKR2QT1q4QD_uJ_Mdi_Xw.jpg)
WANYAMA 380 WAMEKUFA KWA KUGONGWA NA MAGARI NDANI YA MWAKA MMOJA 2019
![](https://4.bp.blogspot.com/-zPiMKXqJx70/VmE9Dg9GRbI/AAAAAAAIKGU/CdHlKZVvn_E/s1600/Al-xiNB3OME5EsJ8T06703pvKR2QT1q4QD_uJ_Mdi_Xw.jpg)
WANYAMA 380 wamekufa kwa kugongwa na magari ndani ya mwaka mmoja 2019 katika eneo la mapito ya wanyama kuanzia Magugu wilayani Babati hadi Makuyuni wilayani Monduli ambayo husaidia wanyama kwenda hifadhi ya tarangire na hifadhi ya Manyara.
Mtafiti wa wanyamapori katika mradi wa Simba Tarangire, Dk Bernard Kissui alitoa taarifa hizo juz katika kikao cha kujadili kuokoa eneo la mapito ya wanyama kwa kuchinja hadi Mdori ambalo linaendelea kuvamiwa .
Dk Kissui alisema kati ya januari hadi...
9 years ago
Habarileo06 Dec
Fuso laua nyati 8 Mikumi
WANYAMA pori aina ya mbogo ‘ nyati’ wanane wenye thamani ya Sh milioni 32.6, wamekufa papo hapo kutokana na kugongwa na gari la mizigo, wakivuka barabara kuu ya Morogoro – Iringa.
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Watu wawili wafa papo hapo katika ajali mkoani Singida baada ya bajaj kugongwa na Fuso
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Na Nathaniel Limu, Singida
Watu wawili wamefariki dunia katika ajali mkoani Singida,baada ya bajaj waliokuwa wakisafiria kugongwa na gari aina mitsubishi fuso lenye namba za usajili T.641 AVA lililokuwa likiendeshwa na Modest Kisaka (27) mkazi wa Mughanga manispaa ya Singida.
Watu hao ni pamoja na derive wa bajaj hiyo yenye namba za usajili MC 866 ABW aina ya YVS, Thadei...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SNYlCr9yCVk/VdXUJ3l0m-I/AAAAAAAAHuI/_W6opbbkChc/s72-c/fuso.png)
Diamond Motors rolls out the new Fuso FZ in ‘Ndiyo Fuso niFaida’ campaign
![](http://4.bp.blogspot.com/-SNYlCr9yCVk/VdXUJ3l0m-I/AAAAAAAAHuI/_W6opbbkChc/s1600/fuso.png)
9 years ago
Dewji Blog20 Aug
Diamond Motors rolls out the new Fuso FZ in ‘Ndiyo Fuso ni Faida’ campaign
![](http://4.bp.blogspot.com/-SNYlCr9yCVk/VdXUJ3l0m-I/AAAAAAAAHuI/_W6opbbkChc/s1600/fuso.png)
Transport sector is an important component of the economy and a common tool used for development because of its intensive use of infrastructures.
This is even more so in Tanzania’s economy where economic opportunities are increasingly related to the mobility of people, goods and service. It is with this factors in mind that Diamond
Motors (Hansa Group) has introduced NewFuso heavy-duty truck range of Fuso FZ which offers more benefits in terms of efficiency, operation...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Afa kwa kugongwa na treni
MKAZI wa Kimara, jijini Dar es Salaam, Frenk Mtandi (32), amefariki dunia baada ya kugongwa na treni ya mizigo. Tukio hilo limetokea juzi katika eneo la Mabibo Bandari Kavu wakati...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL00Lnder1Z1FxpsybtcXa1IE97rw4ajlESliHGNxBkQPPEYFTAMN9Tzz4sMK8NMp7a-6quJCs2QUIYL8*sbBaQw/11.jpg?width=650)
MWANAMKE AJERUHIWA KWA KUGONGWA NA DALADALA URAFIKI, DAR
11 years ago
Michuzi16 Jul
MTU MMOJA AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI WILAYANI MOMBA.
TUKIO HILO LIMETOKEA MNAMO TAREHE 15.07.2014MAJIRA YA SAA 22:00 USIKU HUKO KATIKA MTAA WA MWAKA, KATA NA TARAFA YA TUNDUMA, WILAYA YA MOMBA, MKOA WA MBEYA. CHANZO CHA AJALI BADO KINACHUNGUZWA. MWILI WA MAREHEMU UMEHIFADHIWA KITUO CHA...
9 years ago
Vijimambo20 Sep
Diamond motors yaboresha usafiri wa masafa kwa matumizi ya Fuso.
![](http://www.startrucks.co.nz/assets/Uploads/OBO1029-1.jpg)