Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANYAMA 380 WAMEKUFA KWA KUGONGWA NA MAGARI NDANI YA MWAKA MMOJA 2019


WANYAMA 380 wamekufa kwa kugongwa na magari  ndani ya mwaka mmoja 2019 katika eneo la mapito ya wanyama kuanzia Magugu wilayani Babati hadi Makuyuni wilayani Monduli ambayo husaidia wanyama kwenda hifadhi ya tarangire na hifadhi ya Manyara.

Mtafiti wa wanyamapori katika mradi wa Simba Tarangire, Dk Bernard Kissui alitoa taarifa hizo juz katika kikao cha kujadili kuokoa eneo la mapito ya wanyama kwa kuchinja hadi Mdori ambalo linaendelea kuvamiwa .

Dk Kissui alisema kati ya januari hadi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tuzo za wanyama pori wenye kuchekesha kwa mwaka 2019

Picha zilizotunukiwa tuzo mwaka huu baada ya mashindano

 

9 years ago

Michuzi

NYATI WANANE WAMEKUFA KWA KUGONGWA NA FUSO

Wanyama aina ya Nyati wanane wakiwa wamekufa baada ya kugongwa na gari aina ya Fuso kwenye mbuga ya Wanyama ya Mikumi na kusababisha foleni ya magari. Tukio hili limetokea alfajiri ya leo tarehe 4 Desemba 2015.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO CHA KUPITIA TAARIFA YA MPANGO WA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KWA MWAKA 2019/2020

Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, GeorgeSimbachawene (Watano kushoto) pamoja na baadhi ya Watendaji wa Wizara yake wakiwa katika Kikao Cha Kupitia Mpango na Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara hii kwa kipindi cha kuanzia Julai, 2019 hadi Februari, 2020. Kikao hicho kilifanyika katika Ofisi za Wizara hii Mtumba, JijiniDodoma leo.
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, GeorgeSimbachawene (Kushoto) akisisitiza jambo katika Kikao cha kupitia Taarifa ya Mpango na Utekelezaji wa Bajeti...

 

11 years ago

Michuzi

MTU MMOJA AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI WILAYANI MOMBA.

MTU MMOJA ALIYETAMBULIKA KWA JINA LA BAKARI DAMSON(27) MKAZI WA MAJENGO AMEFARIKI DUNIA PAPO HAPO BAADA YA KUGONGWA NA GARI LENYE NAMBA ZA USAJILI ADC 3671 AINA YA TOYOTA LAND CRUISER LILILOKUWA LIKIENDESHWA NA DEREVA FRANK MATHEW SIKONGA (29) MKAZI WA CHIPAKA.
TUKIO HILO LIMETOKEA MNAMO TAREHE 15.07.2014MAJIRA YA SAA 22:00 USIKU HUKO KATIKA MTAA WA MWAKA, KATA NA TARAFA YA TUNDUMA, WILAYA YA MOMBA, MKOA WA MBEYA. CHANZO CHA AJALI BADO KINACHUNGUZWA. MWILI WA MAREHEMU UMEHIFADHIWA KITUO CHA...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mgimwa: Niliahidi kuwatumikia wananchi wa kalenga nimefanikiwa kwa asilimia 99 ndani ya mwaka mmoja pekee

Mbunge  Mgimwa akitimiza ahadi yake  ya bati 50 kwa kituo cha yatima Tosamaganga

Mbunge Mgimwa katikati  akitazama nguzo  za umeme katika kata ya Mgama.

WAKATI   wabunge wakiwa  mbioni kumaliza muda wao mbunge wa jimbo la Kalenga Bw. Godfrey Mgimwa amesema kuwa kwa  kipindi chake cha mwaka mmoja kama mbunge wa jimbo hilo la Kalenga amesema anamshukuru Mungu katika  safari yake ya  kuwatumikia wananchi  wa  jimbo la Kalenga kwa kufanikisha  kutekeleza ahadi  zake kwa asilimia 99.9 ndani...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtoto wa mwaka mmoja afungiwa ndani kwa miezi sita huku akiteswa na kula magodoro Dar

 

SONY DSC

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillus Wambura.

Katika kile kinachoelezwa kitendo cha kikatili, dhidi ya watoto kushamiri, Mtoto wa mwaka mmoja na miezi sita (jina limehifadhiwa ),anadaiwa kuteswa na mama yake mzazi kwa kipindi cha miezi kumi akiwa amefungiwa ndani huku akila magodoro baada ya kubainika na majirani.

Kwa mujibu wa taarifa ya Neema Brian wa mtandao wa http://sautiyamnyonge.com alibainisha kuwa, Mtoto huyo ambaye amelazwa katika hospitali ya Mwananyamala, ambaye...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mtandao wa kwanza wa magari Tanzania cheki.co.tz watimiza mwaka mmoja


Mkurugenzi wa Uhamasishaji Biashara na Masoko wa Wizara ya Viwanda na Biashara Odilo Majengo ambaye alimwakilisha Waziri wa Viwanda na Biashara katika maonyesho ya magari  akisaini kwenye kitabu cha wageni katika banda la Cheki.co.tz mara baada ya kuwasili katika kiwanja cha Biafra jijini Dar wakati wa ufunguzi wa maonyesho ya magari na bidhaa shirikishi ya Auto Fest.

Tarehe 19 Mwezi wa septemba 2015 Mtandao wa magari unaoongoza  nchini Tanzania Cheki.co.tz umetimiza mwaka mmoja wa utoaji...

 

9 years ago

Dewji Blog

Cheki.co.tz tovuti ya wauzaji na wanunuzi wa magari kushehereka mwaka mmoja

11952038_1632390783667023_2411717754836153626_n

AUTOMeneja masoko wa Cheki Tanzania Limited Mori Bencus (kushoto) akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Vision Investments, Bw. Ally Nchahaga ambao ni waandaaji kwa mwaka wa nane, wa tamasha la magari Tanzania (Autofest), tukio linalotarajia kuanza kesho viwanja vya Biafra, Septemba 18-20.2015. 

Na Andrew Chale, modewjiblog

[Dar es Salaam-Tanzania] Kwa mara nyingine tena Cheki Tanzania Limited ambayo inameweza kutimiza mwaka mmoja tokea kuingia nchini inatarajia kushirikiana na wadau mbalimbali wa...

 

5 years ago

CCM Blog

TAARIFA YA HALI YA UCHUMI WA TAIFA KWA MWAKA 2019 NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2020/21 WAWASILISHWA BUNGENI, LEO

MUHTASARI WA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DK. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI TAARIFA YA HALI YA UCHUMI WA TAIFA KWAMWAKA 2019 NA MPANGO WA MAENDELEOWA TAIFA WA MWAKA 2020/21
UTANGULIZI
1.          Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu lipokee na kujadili Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2019 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2020/21. Pamoja na hotuba hii ninawasilisha vitabu vya Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani