Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cheki.co.tz tovuti ya wauzaji na wanunuzi wa magari kushehereka mwaka mmoja

11952038_1632390783667023_2411717754836153626_n

AUTOMeneja masoko wa Cheki Tanzania Limited Mori Bencus (kushoto) akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Vision Investments, Bw. Ally Nchahaga ambao ni waandaaji kwa mwaka wa nane, wa tamasha la magari Tanzania (Autofest), tukio linalotarajia kuanza kesho viwanja vya Biafra, Septemba 18-20.2015. 

Na Andrew Chale, modewjiblog

[Dar es Salaam-Tanzania] Kwa mara nyingine tena Cheki Tanzania Limited ambayo inameweza kutimiza mwaka mmoja tokea kuingia nchini inatarajia kushirikiana na wadau mbalimbali wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Mtandao wa kwanza wa magari Tanzania cheki.co.tz watimiza mwaka mmoja


Mkurugenzi wa Uhamasishaji Biashara na Masoko wa Wizara ya Viwanda na Biashara Odilo Majengo ambaye alimwakilisha Waziri wa Viwanda na Biashara katika maonyesho ya magari  akisaini kwenye kitabu cha wageni katika banda la Cheki.co.tz mara baada ya kuwasili katika kiwanja cha Biafra jijini Dar wakati wa ufunguzi wa maonyesho ya magari na bidhaa shirikishi ya Auto Fest.

Tarehe 19 Mwezi wa septemba 2015 Mtandao wa magari unaoongoza  nchini Tanzania Cheki.co.tz umetimiza mwaka mmoja wa utoaji...

 

5 years ago

Michuzi

WANYAMA 380 WAMEKUFA KWA KUGONGWA NA MAGARI NDANI YA MWAKA MMOJA 2019


WANYAMA 380 wamekufa kwa kugongwa na magari  ndani ya mwaka mmoja 2019 katika eneo la mapito ya wanyama kuanzia Magugu wilayani Babati hadi Makuyuni wilayani Monduli ambayo husaidia wanyama kwenda hifadhi ya tarangire na hifadhi ya Manyara.

Mtafiti wa wanyamapori katika mradi wa Simba Tarangire, Dk Bernard Kissui alitoa taarifa hizo juz katika kikao cha kujadili kuokoa eneo la mapito ya wanyama kwa kuchinja hadi Mdori ambalo linaendelea kuvamiwa .

Dk Kissui alisema kati ya januari hadi...

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA YONO AUCTION MART YAZINDUA MFUMO WA MNADA MTANDAONI KWA AJILI YA WAUZAJI, WANUNUZI BIDHAA MBALIMBALI

Mkurugenzi wa Yono Auction Mart Scolastica Kevela akifafanua jambo kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam wakati akizindua mfumo wa mnada mtandaoni. Mtalaam wa mifumo wa Kampuni ya Yono Auction Mart Jordan Mwaisango akielezea namna mfumo wa mnada mtandaoni unavyofanya kazi na hasa jinsi wanunuzi na wauzaji wanavyoweza kuutumia
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii


KAMPUNI ya udalali ya Yono Auction Mart imezindua mfumo wa mnada mtandao ambao ni maalum kwa ajili ya kuwawezesha ...

 

5 years ago

Michuzi

HATUTAKI MANENO TUNATAKA WANUNUZI WENYE FEDHA, RC KAGERA AWATAKA WANUNUZI WA KAHAWA KUINGIA SOKONI

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti akisisitiza jambo wakati akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Kahawa Ofisini kwake Mjini Bukoba, leo tarehe 4 Juni 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti akisisitiza jambo wakati akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Kahawa Ofisini kwake Mjini Bukoba, leo tarehe 4 Juni 2020. Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Kahawa Tanzania Prof Jamal Adam akiteta jambo na Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

GPL

STORI 10 ZILIZOBAMBA KUTOKA TOVUTI YA GLOBAL PUBLISHERS MWAKA 2014

Stori: Gladness Mallya
KABANG! Picha za staa wa sinema na Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole Kiuno’ zinazomuonesha live akiwa chumbani tena kitandani kimahaba na mwandani wake, Nuh Mziwanda zimevuja, Risasi Jumammosi linazo kwenye makabrasha yake. KUSOMA ZAIDI INGIA HAPA: SHILOLE LIVE CHUMBANI
Stori: Erick Evarist na Imelda Mtema
NYOTA wa Nyimbo za Injili Bongo, Rose Mhando… ...

 

11 years ago

Michuzi

Waziri Nyalandu azindua tovuti ya Kongamano la Kwanza la Ufugaji Nyuki Afrika mwaka 2014

 Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu, akijisajili kushirikia kwenye tovuti ya Kongamano la Kwanza la Ufugaji Nyuki Afrika mwaka 2014, kama ishara ya kuzindua tovuti hiyo, shughuli iliyofanyika  kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julias Nyerere jijini Dar es Salaam leo.Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Maimuna Tarishi na Msemaji wa Wizara Nurdin Chamuya.
 Baadhi ya washiriki wa uzinduzi huo Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu akizungumza na hadhiri wakati...

 

10 years ago

GPL

FLORA MVUNGI: MVUNGI NDOA MWAKA MMOJA, MTOTO MMOJA

ELIMU
Dada nakukubali sana, vipi kuhusu kiwango chako cha elimu? Fura, Hedaru, 0714403227
FLORA: Nina elimu ya kidato cha sita na Diploma ya Uandishi wa habari. Msanii wa Bongo Muvi na muziki Bongo, Flora Mvungi akiwa na mwanaye Tanzanite. NDOA NA UIGIZAJI
Hivi dada Flora unawezaje kuitumikia ndoa yako kikamilifu huku ukijishughulisha na uigizaji? Amiri Salumu, Dar, 0653252416
FLORA: Ni kujipanga tu, yote yanawezekana....

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio list ya magoli 10 bora yaliofungwa kwa mwaka 2015, Cheki video hapa …

Mtu wangu wa nguvu hongera na kheri ya mwaka mpya, licha ya kuanza kwa mwaka 2016 ila mwaka 2015 ulikuwa na mambo mengi ya kukumbukwa katika kila kitu. ila mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TOP 10 ya magoli 10 bora yaliofungwa kwa mwaka 2015. Stori kutoka 101greatgoals.com hii ndio list ya magoli yenye mvuto na […]

The post Hii ndio list ya magoli 10 bora yaliofungwa kwa mwaka 2015, Cheki video hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Ndege zimetelekezwa airport mwaka mzima, mwenye nazo hajulikani ?!! Cheki na hii ya ndege tatu..

Eti ndege zimetelekezwa na mwenyewe hafahamiki ??!! Kichwa cha habari huenda kikakushtua lakini ndio hivyo, na ndege zenyewe zimekaa airport mwaka mzima uwanja wa Kuala Lumpur, Malaysia. Baada ya ndege hizo kutekelezwa uwanjani hapo kwa zaidi ya mwaka mmoja, ilibidi uongozi wa uwanja huo wapeleke matangazo magazetini kutaarifu kwamba kwa mmiliki wa ndege hizo ajitokeze […]

The post Ndege zimetelekezwa airport mwaka mzima, mwenye nazo hajulikani ?!! Cheki na hii ya ndege tatu.. appeared first...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani