Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMPUNI YA YONO AUCTION MART YAZINDUA MFUMO WA MNADA MTANDAONI KWA AJILI YA WAUZAJI, WANUNUZI BIDHAA MBALIMBALI

Mkurugenzi wa Yono Auction Mart Scolastica Kevela akifafanua jambo kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam wakati akizindua mfumo wa mnada mtandaoni. Mtalaam wa mifumo wa Kampuni ya Yono Auction Mart Jordan Mwaisango akielezea namna mfumo wa mnada mtandaoni unavyofanya kazi na hasa jinsi wanunuzi na wauzaji wanavyoweza kuutumia
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii


KAMPUNI ya udalali ya Yono Auction Mart imezindua mfumo wa mnada mtandao ambao ni maalum kwa ajili ya kuwawezesha ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MSAMA AUCTION MART KWA KUSHIRIKIANA NA JESHI LA POLISI WAKAMATA VIFAA MBALIMBALI VYA KUDURUFU KAZI ZA WASANII

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani), moja kati ya mashine 4 za  kurudufu CD  feki zilizokamatwa katika eneo la Kimara jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Ofisa wa Polisi, D/SSGT Daniel Gingo. (Picha na Francis Dande)
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani), wino unaotumika kunakshia makasha ya CD feki wanazozitengeneza
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Msama Auction Mart kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi wakamata vifaa mbalimbali vya Kkdurufu kazi za wasanii

Pg.21

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani), moja kati ya mashine 4 za  kurudufu CD  feki zilizokamatwa katika eneo la Kimara jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Ofisa wa Polisi, D/SSGT Daniel Gingo.

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani), wino unaotumika kunakshia makasha ya CD feki wanazozitengeneza.

2

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama...

 

10 years ago

GPL

MSAMA AUCTION MART KWA KUSHIRIKIANA NA JESHI LA POLISI WAKAMATA VIFAA MBALIMBALI VYA KUDURUFU KAZI ZA WASANII‏

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani), moja kati ya mashine 4 za  kurudufu CD  feki zilizokamatwa katika eneo la Kimara jijini Dar es Salaam. Kulia ni Ofisa wa Polisi, D/SSGT Daniel Gingo. Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama…

 

11 years ago

Michuzi

Kampuni ya Chemicotex yaja na bidhaa ya Tressa kwa ajili kuboresha urembo wa nywele za Mtanzania

Baadhi ya wanamitindo wakionyesha umahili wao wakati wa uzinduzi wa bidhaa za TreSSa uliofanyika katika Hoteli ya Serena Dar es Salaam jana. Msanii wa nyimbo za kizazi kipya, Elias Barnabas akiimba huku akipiga gitaa wakati wa uzinduzi wa bidhaa za TreSSa.Uziduzi ulifanyika katika Hoteli ya Serena Dar es Salaam jana. Mkurugenzi wa Bendi ya Machozi, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’(kushoto) akiimba sambamba na waimbaji wake wakati wa uzinduzi wa bidhaa za TreSSa uliofanyika katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tambaza Auction Mart yalalamikiwa

DHULUMA na ubabe unaodaiwa kufanywa na wafanyakazi wa Kampuni ya udalali ya Tambaza Auction Mart ya jijini Dar es Salaam, umelalamikiwa na baadhi ya wamiliki wa magari, hususan malori. Baadhi...

 

10 years ago

Michuzi

UNUNUAJI NA UUZAJI WA BIDHAA UMERAHISISHWA — KAMPUNI YA MASOKO KWA NJIA YA MTANDAO YAZINDUA “APP” YA SIMU ZA MKONONI TANZANIA


Mchakato wa uuzaji na ununuaji wa bidhaa umerahisishwa sana kwa kadri waendashaji wa makampuni ya biashara kwa njia ya intaneti wanavyozidi kuwa wabunifu na wagunduzi zaidi.

Kaymu Tanzania, kampuni inayoongoza kwa kuuza na kununua vitu kwa njia ya mtandao imejitanua zaidi baada ya kuzindua app (programu ya simu) yake Septemba 2014.

Kaymu Tanzania imezindua huduma zake za kwanza za programu ya simu nchini, hivyo kuwawezesha watumiaji wa Android kufanya manunuzi ya bidhaa na kuweka oda moja kwa...

 

10 years ago

RC

Scrap auction mart parking services


IPPmedia
Scrap auction mart parking services - RC
IPPmedia
Dar es Salaam Regional Commissioner Said Meck Sadiki has ordered the city's municipal councils to scrap parking services operations by Mwamkinga, Yono and Tambaza auction marts, saying the practice was causing intolerable chaos to road users.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nani wa kulaumiwa ubabe wa Tambaza Auction Mart?

HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam inastahili kubebeshwa lawama kuhusu dhuluma na ubabe wa wafanyakazi wa Kampuni ya udalali ya Tambaza Auction Mart, wanaolalamikiwa na wamiliki wa magari, hususan...

 

9 years ago

Dewji Blog

Cheki.co.tz tovuti ya wauzaji na wanunuzi wa magari kushehereka mwaka mmoja

11952038_1632390783667023_2411717754836153626_n

AUTOMeneja masoko wa Cheki Tanzania Limited Mori Bencus (kushoto) akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Vision Investments, Bw. Ally Nchahaga ambao ni waandaaji kwa mwaka wa nane, wa tamasha la magari Tanzania (Autofest), tukio linalotarajia kuanza kesho viwanja vya Biafra, Septemba 18-20.2015. 

Na Andrew Chale, modewjiblog

[Dar es Salaam-Tanzania] Kwa mara nyingine tena Cheki Tanzania Limited ambayo inameweza kutimiza mwaka mmoja tokea kuingia nchini inatarajia kushirikiana na wadau mbalimbali wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani