Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampuni ya Chemicotex yaja na bidhaa ya Tressa kwa ajili kuboresha urembo wa nywele za Mtanzania

Baadhi ya wanamitindo wakionyesha umahili wao wakati wa uzinduzi wa bidhaa za TreSSa uliofanyika katika Hoteli ya Serena Dar es Salaam jana. Msanii wa nyimbo za kizazi kipya, Elias Barnabas akiimba huku akipiga gitaa wakati wa uzinduzi wa bidhaa za TreSSa.Uziduzi ulifanyika katika Hoteli ya Serena Dar es Salaam jana. Mkurugenzi wa Bendi ya Machozi, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’(kushoto) akiimba sambamba na waimbaji wake wakati wa uzinduzi wa bidhaa za TreSSa uliofanyika katika...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Kidoti kushirikiana na kampuni ya china kutengeneza nywele na bidhaa nyingine

MWANADADA ambaye ni mwanamitindo, mwanamuziki na mtangazaji, Jokate Mwegelo, jana amesaini makubaliano ya kushirikiana kibiashara  na Kampuni ya Rainbow Shell Craft ya China.

Kampuni hizo mbili zitashirikiana katika kuzalisha  baadhi ya bidhaa kama nywele (wigi) , ndala, sendozi nakadhalika.

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA YONO AUCTION MART YAZINDUA MFUMO WA MNADA MTANDAONI KWA AJILI YA WAUZAJI, WANUNUZI BIDHAA MBALIMBALI

Mkurugenzi wa Yono Auction Mart Scolastica Kevela akifafanua jambo kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam wakati akizindua mfumo wa mnada mtandaoni. Mtalaam wa mifumo wa Kampuni ya Yono Auction Mart Jordan Mwaisango akielezea namna mfumo wa mnada mtandaoni unavyofanya kazi na hasa jinsi wanunuzi na wauzaji wanavyoweza kuutumia
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii


KAMPUNI ya udalali ya Yono Auction Mart imezindua mfumo wa mnada mtandao ambao ni maalum kwa ajili ya kuwawezesha ...

 

11 years ago

Mwananchi

Chagua mtindo sahihi wa nywele kwa ajili ya harusi

Uchaguzi wa mambo mbalimbali yanayohusu harusi ni kitu kinachohitaji umakini mkubwa hasa kwa upande wa wanawake ambao wamekumbwa na changamoto kadhaa.

 

9 years ago

Michuzi

DStv YAJA NA CHANELI YA MAISHA MAGIC BONGO, KWA AJILI YA WATANZANIA

D3A_5097Mkurugenzi M-Net Kanda ya Afrika Magharibi, Wangi Mba-Uzoukwu akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kutoka nchi za Afrika waliokusanyika kwenye jukwaa kubwa la kuonesha vitu mbalimbali vinavyoburudisha katika chaneli za DStv na GoTv kupitia MultiChoice hivi karibuni nchini Mauritius.D3A_5116Mkurugenzi wa M-Net kwa nchi za Afrika Mashariki na SADC, Theo Erasmus akifurahi jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) kutoka nchi mbalimbali za Afrika.
Na Modewjiblog,...

 

11 years ago

Dewji Blog

Samsung, bidhaa zilizotengezwa kwa ajili ya Africa

Print

Ukuaji endelevu wa uchumi wa Tanzania umeona ongezeko la kampuni za nje zikiingia nchini zikiwa na nia ya kuzindua bidhaa au huduma zao kwa Watanzania walio wengi. Mafanikio kwa bidhaa na huduma hizi yanategemea mambo mengi kuanzia mazingira hadi uhitaji, kuonyesha kwamba zinakubalika katika soko.

Kampuni moja ambayo imeona mafanikio yaliotulia na kua mtoa huduma tegemezi kwa Watanzania, ni kampuni ya vifaa vya umeme ya Samsung. Kupitia bidhaa zao mbalimbali wameshuhudia mauzo ya zaidi ya...

 

9 years ago

GPL

DSTV YAJA NA CHANELI YA MAISHA MAGIC BONGO, KWA AJILI YA WATANZANIA‏

Mkurugenzi M-Net Kanda ya Afrika Magharibi, Wangi Mba-Uzoukwu akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kutoka nchi za Afrika waliokusanyika kwenye jukwaa kubwa la kuonesha vitu mbalimbali vinavyoburudisha katika chaneli za DStv na GoTv kupitia MultiChoice hivi karibuni nchini Mauritius. Mkurugenzi wa M-Net kwa nchi za Afrika Mashariki na SADC, Theo Erasmus akifurahi jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari...

 

9 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA UREMBO YA MARY KAY, YATOA DARASA KWA WAFANYAKAZI WA KIKE WA VODACOM KUHUSU MATUMIZI YA VIPODOZI

Mshauri wa kitaalamu wa kampuni ya kimataifa inayojishughulisha na masuala ya urembo ya (Mary Kay) Jacqueline Macha(kulia)akimremba Mkuu wa kitengo cha Rasilimali watu , Vodacom Tanzania,Joan Makwai,wakati wa mafunzo mafupi ya jinsi ya kutumia vipodozi vya kampuni hiyo yaliyoandaliwa na Idara ya Rasilimali watu ya Vodacom Tanzania,mahususi kwa wafanyakazi wake jijini Dar es Salaam.Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakichagua vipodozi mbalimbali vya kampuni ya kimataifa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

HP yaja na teknolojia kudhibiti bidhaa bandia

WATU wengi hawana ufahamu wa kutosha kuhusu ununuzi wa bidhaa zilizotengenezwa chini ya kiwango. Watanzania wamekuwa wateja wakubwa wa bidhaa hizo kutokana na kuangalia unafuu wa bei. Licha ya mamlaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani