UWEKEZAJI KATIKA RASILIMALI WATU: GOOGLE KWA ELIMU (EDU) KUIPATIA TANZANIA NJIA MBADALA KWA AJILI YA KUBORESHA ELIMU KUPITIA TEKNOLOJIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-3DaUejesC5M/VGYeGmSZ4dI/AAAAAAAGxOQ/VPqsFsyGQcU/s72-c/TIC%2BADVERT%2BSWAHILI%2BVERSION.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yfrR6KD4V_I/VYhKKm7B1bI/AAAAAAAAVNk/o6xM1bVxPCI/s72-c/ACACIA_KILIMANJARO.jpg)
ACACIA KUKUSANYA DOLA 200,000 KWA AJILI YA UFADHILI WA ELIMU KWA WATOTO MASKINI, NI KUPITIA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-yfrR6KD4V_I/VYhKKm7B1bI/AAAAAAAAVNk/o6xM1bVxPCI/s640/ACACIA_KILIMANJARO.jpg)
Akizungumza muda mfupi kabla ya kuanza kwa safari ya kupanda mlima Kilimanjaro kwenye lango la Machame,iliyo shirikisha watu 21, Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XmV1O3U-xx4/VZHCv08teOI/AAAAAAAARks/WqTCs1Mx0vo/s72-c/E86A1886%2B%25281280x853%2529.jpg)
TIMU YA WATU 21 YA KAMPUNI YA KUCHIMBA DHAHABU YA ACACIA WASHUKA KUTOKA MLIMA KILIMANJARO,WACHANGISHA MILIONI 800 KWA AJILI YA ELIMU TANZANIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-XmV1O3U-xx4/VZHCv08teOI/AAAAAAAARks/WqTCs1Mx0vo/s640/E86A1886%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cCN8zZglqsg/VZHCwcMpjII/AAAAAAAARk0/Gy5SORXD49E/s640/E86A1893%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-N_fT-hj1aXo/VZHCxONJ9jI/AAAAAAAARk4/nViv3ApWAUU/s640/E86A1898%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oL1ZaEtiEBA/VZHC42LrgoI/AAAAAAAARlE/IgTbFcRJ7_0/s640/E86A1913%2B%25281280x853%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-duQwwehNgfs/VnOIV5L3roI/AAAAAAABluc/5sHRvxT_AQ8/s72-c/IMG-20151217-WA0033.jpg)
UTT AMIS YATOA ELIMU YA UWEKEZAJI WA PAMOJA KWA WAFANYAKAZI WA TAASISI ZA ELIMU MKOANI TANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-duQwwehNgfs/VnOIV5L3roI/AAAAAAABluc/5sHRvxT_AQ8/s640/IMG-20151217-WA0033.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B99AiZiI5Zw/VnOI1_L0E3I/AAAAAAABluk/tIlyS_lXpYo/s640/IMG-20151217-WA0031.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0stAYn98xlw/VnOJfkKsdeI/AAAAAAABlu0/fPNPbwMbK2Y/s640/IMG-20151217-WA0026.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VHyLUUR13iI/XomMUz9AdMI/AAAAAAALmC0/vr9nKJAF3UooaIYWdgkAws0LmZXRU_agQCLcBGAsYHQ/s72-c/UZINDUZI-1024x821.jpg)
Usomaji kwa njia ya kidijitali : Vodacom Instant Schools njia sahihi ya elimu kwa vitendo
![](https://1.bp.blogspot.com/-VHyLUUR13iI/XomMUz9AdMI/AAAAAAALmC0/vr9nKJAF3UooaIYWdgkAws0LmZXRU_agQCLcBGAsYHQ/s640/UZINDUZI-1024x821.jpg)
Wazo la usomaji kwa njia ya kidijitali linalenga kuongeza ufanisi na kuboresha mazingira ya usomaji kwa wahusika kutumia nyenzo za kisasa. Lengo siyo kuachana na mfumo wa mafunzo ya darasani bali kuuboresha kwa kuzingatia matumizi ya teknolojia.
Kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y14M7rReJeM/VjICn7OGmiI/AAAAAAAIDWE/60u8Dd9xRo0/s72-c/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
VETA YASHIRIKI MAONESHO YA ELIMU YA UFUNDI KATIKA MKUTANO WA KWANZA WA KAMATI YA WATAALAM WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA UNAOFANYIKA KATIKA OFISI ZA UMOJA WA AFRIKA JIJINI ADDIS ABABA, ETHIOPIA TAREHE 27 HADI 31 OKTOBA,2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y14M7rReJeM/VjICn7OGmiI/AAAAAAAIDWE/60u8Dd9xRo0/s640/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4PkxV6XZZaQ/VjICoBJ-4pI/AAAAAAAIDWM/bImrWxjTvWs/s640/New%2BPicture%2B%25282%2529.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IFgLUv0c7to/VjIColnyljI/AAAAAAAIDWI/iAkTWoQ-mGU/s640/New%2BPicture.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bfi3pz1IPaQ/XoRo9U-BhOI/AAAAAAALlwI/TRZXOIhORDobTgw9AFrNaysiQsL12hXcgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
BENKI YA DUNIA YAIDHINISHA KUTOA MKOPO WA DOLA ZA KIMAREKEANI MILIONI 500 KWA TANZANIA KUBORESHA SEKTA YA ELIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-bfi3pz1IPaQ/XoRo9U-BhOI/AAAAAAALlwI/TRZXOIhORDobTgw9AFrNaysiQsL12hXcgCLcBGAsYHQ/s640/index.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
BENKI ya dunia kupitia bodi ya wakurugenzi imeidhinisha kutolewa kwa mkopo wa dola za kimarekani milioni 500 (USD 500) kusaidia sekta ya elimu hasa kwa kuwawezesha vijana wa kitanzania kupata na kumaliza elimu ya Sekondari salama na katika mazingira bora.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Benki ya dunia imeelezwa kuwa pesa hizo zitawanufaisha wanafunzi milioni sita na nusu wa shule za sekondari kwa kuisaidia Serikali kuanzisha mifumo madhubuti kwa wanafunzi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Auj30Or7ogI/Xpx3d4HsXEI/AAAAAAAAQsM/epwUmpr-apQcn9lqqj_d7QtcbV9MkUwYgCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20200419-174919_1587308148794.jpg)
SERIKALI YAOMBWA KUTAFUTA NJIA MBADALA KUVIFIKIA VIJIJI VISIVYOFIKIKA ILI KUVIPATIA ELIMU JUU YA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-Auj30Or7ogI/Xpx3d4HsXEI/AAAAAAAAQsM/epwUmpr-apQcn9lqqj_d7QtcbV9MkUwYgCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot_20200419-174919_1587308148794.jpg)
Serikali imeombwa kuhakikisha kwamba inatafutanjia mbadala ,kwaajili ya kuwafikia wananchi waliopo maeneo ambayo hayafikikikiurahisi, kwaajili ya kuwapatia elimu ya kuepukana maambukizi ya homa kali yamapafu, inayosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19
Hayo yamesemwa na Mchungaji David Chikawe Katibu wa Kanisa la Mission to Unreaches Area nchini (MUAC),lililopo Kibaha mkoa...
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Serikali imefanikiwa kuboresha utendaji kazi wa utumishi wa umma kwa kuendesha mikutano kupitia njia ya video (TEHAMA)
Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma HAB Mkwizu wa kwanza kushoto mstari wa mbele akiongoza kikao kazi kupitia njia ya video kwa makatibu tawala wa mikoa na wasaidizi wao, wakurugenzi wa mamlaka za serikali za mitaa na wakuu wa idara za utawala na rasilimali watu katika mamlaka za serikali za mitaa kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Kagera, Tanga,Tabora,Manyara, Morogoro, Rukwa na Katavi kilichofanyika jana kwenye ukumbi wa Wakala wa Mafunzo kwa Mtandao iliyopo...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mtvGQMaGEL0/VlqYSW9M6SI/AAAAAAAII4U/eUoUCys3Nd8/s72-c/1.png)
Serikali yafuta rasmi ada kwa elimu ya sekondari kidato cha kwanza hadi cha nne na michango yote katika elimu ya msingi