Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samsung, bidhaa zilizotengezwa kwa ajili ya Africa

Print

Ukuaji endelevu wa uchumi wa Tanzania umeona ongezeko la kampuni za nje zikiingia nchini zikiwa na nia ya kuzindua bidhaa au huduma zao kwa Watanzania walio wengi. Mafanikio kwa bidhaa na huduma hizi yanategemea mambo mengi kuanzia mazingira hadi uhitaji, kuonyesha kwamba zinakubalika katika soko.

Kampuni moja ambayo imeona mafanikio yaliotulia na kua mtoa huduma tegemezi kwa Watanzania, ni kampuni ya vifaa vya umeme ya Samsung. Kupitia bidhaa zao mbalimbali wameshuhudia mauzo ya zaidi ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Kampuni ya Chemicotex yaja na bidhaa ya Tressa kwa ajili kuboresha urembo wa nywele za Mtanzania

Baadhi ya wanamitindo wakionyesha umahili wao wakati wa uzinduzi wa bidhaa za TreSSa uliofanyika katika Hoteli ya Serena Dar es Salaam jana. Msanii wa nyimbo za kizazi kipya, Elias Barnabas akiimba huku akipiga gitaa wakati wa uzinduzi wa bidhaa za TreSSa.Uziduzi ulifanyika katika Hoteli ya Serena Dar es Salaam jana. Mkurugenzi wa Bendi ya Machozi, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’(kushoto) akiimba sambamba na waimbaji wake wakati wa uzinduzi wa bidhaa za TreSSa uliofanyika katika...

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA YONO AUCTION MART YAZINDUA MFUMO WA MNADA MTANDAONI KWA AJILI YA WAUZAJI, WANUNUZI BIDHAA MBALIMBALI

Mkurugenzi wa Yono Auction Mart Scolastica Kevela akifafanua jambo kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam wakati akizindua mfumo wa mnada mtandaoni. Mtalaam wa mifumo wa Kampuni ya Yono Auction Mart Jordan Mwaisango akielezea namna mfumo wa mnada mtandaoni unavyofanya kazi na hasa jinsi wanunuzi na wauzaji wanavyoweza kuutumia
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii


KAMPUNI ya udalali ya Yono Auction Mart imezindua mfumo wa mnada mtandao ambao ni maalum kwa ajili ya kuwawezesha ...

 

11 years ago

Mwananchi

Samsung yatangaza vita ya bidhaa bandia

>Kampuni ya simu za mkononi na vifaa vya umeme ya  Samsung Tanzania imetangaza kuendeleza vita dhidi ya bidhaa bandia zinavyoghushiwa, zilizoibwa na zisizokuwa na dhamana.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Samsung yatoa elimu kugundua bidhaa feki

KUTOKANA na kuongezeka kwa wimbi la bidhaa feki zinazoingizwa nchini, Kampuni ya vifaa vya kielektroniki ya Samsung imewataka wananchi wanaonunua bidhaa zake kuzisajili kwenye namba maalum itakayowawezesha kubaini kama bidhaa...

 

9 years ago

Michuzi

VOA AFRICA 54 YAFANYA MAHOJIANO NA MAMA SHUJAA WA CHAKULA , AMBAYE YUPO WASHINGTON DC KWA AJILI YA MKUTANO WA SIKU YA CHAKULA DUNIANI.

 Kushoto ni Mtangazaji Voice of America  wa Africa 54 Linord Moudou akiwa na Mama Shujaa wa Chakula 2014 msimu wa Tatu Bahati Muliga na Meneja Utetezi na Ushawishi kutoka Oxfam Eluka Kibona wakihojiwa kuhusiana na Shindano la Mama shujaa wa chakula na Jinsi linavyo wasaidia wakulima hasa wanawake.Bahati Muliga(Kushoto)  Mama Shujaa wa Chakula 2014 msimu wa tatu, shindano linaloandaliwa na Oxfam kupitia Kampeni yake ya Grow ambapo kauli mbiu yao ni Wekeza kwa Wakulima wadogo wadogo inalipa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Samsung goes ‘Beyond the Limit’ with its annual Africa Forum

samsung-1

Samsung Electronics (http://www.samsung.com/africa_e) is introducing a range of products to the African market at the sixth annual Africa Forum in Antalya, Turkey, as the company continues to contribute to the continent’s ongoing transformation in the consumer electronics space.

*Samsung Electronics showcases its commitment to the African market by introducing a range of products in the consumer electronics space

*The launch of Tizen-powered SUHD TVs, a new audio line-up and innovative...

 

10 years ago

Dewji Blog

Samsung Electronics Africa takes a ‘What If I Can’ step forward

samsung-1

The energy stored from shopper footfall will contribute towards benefiting underprivileged communities in Africa

Samsung Electronics Africa (http://www.samsung.com/africa_en) took a bold step forward on Saturday, 7 March, with the launch of the new brand campaign called ‘What If I Can’. The initiative is an attempt at shifting the mindsets of normal people to believing they can contribute towards the greater good because they have the power in their everyday routine to change people’s lives...

 

10 years ago

Dewji Blog

Samsung Galaxy Note 4- simu iliyosubiriwa na watu wengi yazinduliwa Africa

samsung galaxy note 4 black

Macho yaelekea kwenye uzinduzi nchini Tanzania!

Kampuni ya Samsung imezindua toleo jipya la simu zake za Galaxy Note 4 Jijini Berlin Nchini Ujerumani Septemba 2014.  Toleo hilo la teknolojia ya kisasa katika orodha za simu aina ya Note inazidi kuimarisha kampuni ya Samsung na kuzidi kufanya vizuri katika soko la simu duniani. Siku ya tarehe 17 Octoba, 2014 Kampuni ya Samsung ilifanya uzinduzi  Mjini wa Cape Town- Afrika Kusini katika ziara ya Galaxy Note 4 Barani Africa.

Watanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani