Samsung, bidhaa zilizotengezwa kwa ajili ya Africa
Ukuaji endelevu wa uchumi wa Tanzania umeona ongezeko la kampuni za nje zikiingia nchini zikiwa na nia ya kuzindua bidhaa au huduma zao kwa Watanzania walio wengi. Mafanikio kwa bidhaa na huduma hizi yanategemea mambo mengi kuanzia mazingira hadi uhitaji, kuonyesha kwamba zinakubalika katika soko.
Kampuni moja ambayo imeona mafanikio yaliotulia na kua mtoa huduma tegemezi kwa Watanzania, ni kampuni ya vifaa vya umeme ya Samsung. Kupitia bidhaa zao mbalimbali wameshuhudia mauzo ya zaidi ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WDOPeBlr6Mo/UvoAWB5L8FI/AAAAAAAAdhw/S4qkRNMsOkw/s72-c/unnamed1.jpg)
Kampuni ya Chemicotex yaja na bidhaa ya Tressa kwa ajili kuboresha urembo wa nywele za Mtanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-WDOPeBlr6Mo/UvoAWB5L8FI/AAAAAAAAdhw/S4qkRNMsOkw/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6bK2bJHOQeE/UvoAXj-U-dI/AAAAAAAAdiA/4MVYLByvMes/s1600/unnamed3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YQQboACTops/UvoAZH94J0I/AAAAAAAAdiI/Dm6SwCuAC3U/s1600/unnamed4.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FJjBJ1s4THM/Xm_RFG9QouI/AAAAAAALj_Q/aj7LhNG6_hYqje7kHGfm-0dSwqRBhfObACLcBGAsYHQ/s72-c/a63befa7-0c22-4907-beb2-3f212ad464c1.jpg)
KAMPUNI YA YONO AUCTION MART YAZINDUA MFUMO WA MNADA MTANDAONI KWA AJILI YA WAUZAJI, WANUNUZI BIDHAA MBALIMBALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-FJjBJ1s4THM/Xm_RFG9QouI/AAAAAAALj_Q/aj7LhNG6_hYqje7kHGfm-0dSwqRBhfObACLcBGAsYHQ/s640/a63befa7-0c22-4907-beb2-3f212ad464c1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-t7vJFDIgAIM/Xm_RFDLMUjI/AAAAAAALj_M/1Lw17-B5uSMcM0-Go6EYeKG-f-VRrNxUwCLcBGAsYHQ/s640/64acf0f9-18d0-4abd-950d-aa3e0acab5ef.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii
KAMPUNI ya udalali ya Yono Auction Mart imezindua mfumo wa mnada mtandao ambao ni maalum kwa ajili ya kuwawezesha ...
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Samsung yatangaza vita ya bidhaa bandia
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Samsung yatoa elimu kugundua bidhaa feki
KUTOKANA na kuongezeka kwa wimbi la bidhaa feki zinazoingizwa nchini, Kampuni ya vifaa vya kielektroniki ya Samsung imewataka wananchi wanaonunua bidhaa zake kuzisajili kwenye namba maalum itakayowawezesha kubaini kama bidhaa...
9 years ago
MichuziVOA AFRICA 54 YAFANYA MAHOJIANO NA MAMA SHUJAA WA CHAKULA , AMBAYE YUPO WASHINGTON DC KWA AJILI YA MKUTANO WA SIKU YA CHAKULA DUNIANI.
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
Samsung goes ‘Beyond the Limit’ with its annual Africa Forum
Samsung Electronics (http://www.samsung.com/africa_e) is introducing a range of products to the African market at the sixth annual Africa Forum in Antalya, Turkey, as the company continues to contribute to the continent’s ongoing transformation in the consumer electronics space.
*Samsung Electronics showcases its commitment to the African market by introducing a range of products in the consumer electronics space
*The launch of Tizen-powered SUHD TVs, a new audio line-up and innovative...
10 years ago
Dewji Blog20 Mar
Samsung Electronics Africa takes a ‘What If I Can’ step forward
The energy stored from shopper footfall will contribute towards benefiting underprivileged communities in Africa
Samsung Electronics Africa (http://www.samsung.com/africa_en) took a bold step forward on Saturday, 7 March, with the launch of the new brand campaign called ‘What If I Can’. The initiative is an attempt at shifting the mindsets of normal people to believing they can contribute towards the greater good because they have the power in their everyday routine to change people’s lives...
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Samsung Galaxy Note 4- simu iliyosubiriwa na watu wengi yazinduliwa Africa
Macho yaelekea kwenye uzinduzi nchini Tanzania!
Kampuni ya Samsung imezindua toleo jipya la simu zake za Galaxy Note 4 Jijini Berlin Nchini Ujerumani Septemba 2014. Toleo hilo la teknolojia ya kisasa katika orodha za simu aina ya Note inazidi kuimarisha kampuni ya Samsung na kuzidi kufanya vizuri katika soko la simu duniani. Siku ya tarehe 17 Octoba, 2014 Kampuni ya Samsung ilifanya uzinduzi Mjini wa Cape Town- Afrika Kusini katika ziara ya Galaxy Note 4 Barani Africa.
Watanzania...