Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samsung yatangaza vita ya bidhaa bandia

>Kampuni ya simu za mkononi na vifaa vya umeme ya  Samsung Tanzania imetangaza kuendeleza vita dhidi ya bidhaa bandia zinavyoghushiwa, zilizoibwa na zisizokuwa na dhamana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Bidhaa bandia kero kubwa

KUNA kero nyingi katika taifa hili, ili tupige hatua na kuyasogelea maendeleo ya kweli ni lazima kutafuta ufumbuzi wa kuondoa kero hizi. Serikali yetu imeshambuliwa kwenye vyombo vya habari kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Unafuu usitupeleke kwenye bidhaa bandia

Watanzania tumekuwa wateja wakubwa wa bidhaa bandia na zilizotengenezwa chini ya kiwango kutokana na kuangalia unafuu wa bei.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Geita waonywa kutumia bidhaa bandia

WANANCHI wilayani Geita, wametakiwa kuachana na wafanyabishara wanaouza bidhaa bandia kwa kujipatia kipato na kuwaacha watumiaji wakiwa wanahangaika huku wao wakipata faida kubwa kutokana na biashara hiyo. Kauli hiyo ilitolewa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

HP yaja na teknolojia kudhibiti bidhaa bandia

WATU wengi hawana ufahamu wa kutosha kuhusu ununuzi wa bidhaa zilizotengenezwa chini ya kiwango. Watanzania wamekuwa wateja wakubwa wa bidhaa hizo kutokana na kuangalia unafuu wa bei. Licha ya mamlaka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBS kutokomeza bidhaa bandia kwa wajasiriamali

UZALISHAJI wa bidhaa zilizo chini ya kiwango nchini umekuwa ni tatizo sugu linaloathiri afya za Watanzania na uchumi kwa ujumla. Mazingira duni ya maeneo ya uzalishaji yasiyozingatia masuala ya kitaalamu...

 

10 years ago

Michuzi

TUME YA USHINDANI NCHINI (FCC) YAKAMATA BIDHAA BANDIA JIJINI ARUSHA

Afisa Mkaguzi wa Tume ya Ushindani(FCC), Michael David akizungumza na waandishi wa habari kwenye Kituo cha Polisi jijini Arusha baada ya kufanikiwa kukamata Simu bandia 215 za mikononi na vifaa vingine vyenye jina la Samsung wakati sio halisi. Baadhi ya Simu,Chaja na mifuniko yenye nembo ya kampuni ya Samsung vilikamatwa kwenye maduka mbalimbali jijini Arusha. Afisa Mkaguzi wa Tume ya Ushindani(FCC), Michael David akionesha moja ya bidhaa bandia zilizokamatwa leo.Amewataka wananchi kununua...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Samsung yatoa elimu kugundua bidhaa feki

KUTOKANA na kuongezeka kwa wimbi la bidhaa feki zinazoingizwa nchini, Kampuni ya vifaa vya kielektroniki ya Samsung imewataka wananchi wanaonunua bidhaa zake kuzisajili kwenye namba maalum itakayowawezesha kubaini kama bidhaa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Samsung, bidhaa zilizotengezwa kwa ajili ya Africa

Print

Ukuaji endelevu wa uchumi wa Tanzania umeona ongezeko la kampuni za nje zikiingia nchini zikiwa na nia ya kuzindua bidhaa au huduma zao kwa Watanzania walio wengi. Mafanikio kwa bidhaa na huduma hizi yanategemea mambo mengi kuanzia mazingira hadi uhitaji, kuonyesha kwamba zinakubalika katika soko.

Kampuni moja ambayo imeona mafanikio yaliotulia na kua mtoa huduma tegemezi kwa Watanzania, ni kampuni ya vifaa vya umeme ya Samsung. Kupitia bidhaa zao mbalimbali wameshuhudia mauzo ya zaidi ya...

 

10 years ago

Mtanzania

CCM Yatangaza vita

nnauyeCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kufanya maandalizi ya kupigana na wafuasi wa vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kinaowatuhumu kuwashambulia wanachama wake.

Kimesema uamuzi huo umekuja baada ya kuchoshwa na vurugu zinazofanywa na wafuasi wa Ukawa katika maeneo mbalimbali hapa nchini hususan wakati wa kutangaza matokeo na uapishaji wa viongozi wa Serikali za Mitaa.

Mpango huo wa mapambano umetangazwa jana na Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani