Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bidhaa bandia kero kubwa

KUNA kero nyingi katika taifa hili, ili tupige hatua na kuyasogelea maendeleo ya kweli ni lazima kutafuta ufumbuzi wa kuondoa kero hizi. Serikali yetu imeshambuliwa kwenye vyombo vya habari kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Unafuu usitupeleke kwenye bidhaa bandia

Watanzania tumekuwa wateja wakubwa wa bidhaa bandia na zilizotengenezwa chini ya kiwango kutokana na kuangalia unafuu wa bei.

 

11 years ago

Tanzania Daima

HP yaja na teknolojia kudhibiti bidhaa bandia

WATU wengi hawana ufahamu wa kutosha kuhusu ununuzi wa bidhaa zilizotengenezwa chini ya kiwango. Watanzania wamekuwa wateja wakubwa wa bidhaa hizo kutokana na kuangalia unafuu wa bei. Licha ya mamlaka...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Geita waonywa kutumia bidhaa bandia

WANANCHI wilayani Geita, wametakiwa kuachana na wafanyabishara wanaouza bidhaa bandia kwa kujipatia kipato na kuwaacha watumiaji wakiwa wanahangaika huku wao wakipata faida kubwa kutokana na biashara hiyo. Kauli hiyo ilitolewa...

 

11 years ago

Mwananchi

Samsung yatangaza vita ya bidhaa bandia

>Kampuni ya simu za mkononi na vifaa vya umeme ya  Samsung Tanzania imetangaza kuendeleza vita dhidi ya bidhaa bandia zinavyoghushiwa, zilizoibwa na zisizokuwa na dhamana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBS kutokomeza bidhaa bandia kwa wajasiriamali

UZALISHAJI wa bidhaa zilizo chini ya kiwango nchini umekuwa ni tatizo sugu linaloathiri afya za Watanzania na uchumi kwa ujumla. Mazingira duni ya maeneo ya uzalishaji yasiyozingatia masuala ya kitaalamu...

 

10 years ago

Michuzi

TUME YA USHINDANI NCHINI (FCC) YAKAMATA BIDHAA BANDIA JIJINI ARUSHA

Afisa Mkaguzi wa Tume ya Ushindani(FCC), Michael David akizungumza na waandishi wa habari kwenye Kituo cha Polisi jijini Arusha baada ya kufanikiwa kukamata Simu bandia 215 za mikononi na vifaa vingine vyenye jina la Samsung wakati sio halisi. Baadhi ya Simu,Chaja na mifuniko yenye nembo ya kampuni ya Samsung vilikamatwa kwenye maduka mbalimbali jijini Arusha. Afisa Mkaguzi wa Tume ya Ushindani(FCC), Michael David akionesha moja ya bidhaa bandia zilizokamatwa leo.Amewataka wananchi kununua...

 

11 years ago

Habarileo

Tembo wawa kero kubwa Bunda

TemboWANANCHI wanaopakana na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara, wamelalamikia kero ya tembo kuvamia makazi yao na kushambulia mazao. Wamesema hali hiyo, imewasababishia njaa.

 

10 years ago

GPL

WANANCHI: UKAHABA NA UKABAJI NI KERO KUBWA TEMEKE

Temeke ni moja kati ya wilaya tatu zinazounda Jiji la Dar es Salaam. Pia ni jimbo la uchaguzi linaloongozwa na Mheshimiwa Abbas Mtemvu kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).Temeke inapatikana Kusini mwa Jiji la Dar es Salaam ambapo kwa upande wa Mashariki, kuna Bahari ya Hindi, Kusini inapakana na Wilaya ya Mkuranga na Kaskazini na Magharibi inapakana na Wilaya ya Ilala. Mheshimiwa Abbas Mtemvu. Wiki iliyopita, Uwazi lilisaga...

 

11 years ago

Mwananchi

Ujenzi huu Barabara ya Morogoro kero kubwa

Kwa wakazi wa Kimara, kila kona ukipita hivi sasa ni vilio tu kutokana na ujenzi wa Barabara ya Morogoro, kwani kwa jinsi inavyojengwa haioneshi kuwasaidia wananchi bali kuwaongezea kero na usumbufu mkubwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani