Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANANCHI: UKAHABA NA UKABAJI NI KERO KUBWA TEMEKE

Temeke ni moja kati ya wilaya tatu zinazounda Jiji la Dar es Salaam. Pia ni jimbo la uchaguzi linaloongozwa na Mheshimiwa Abbas Mtemvu kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).Temeke inapatikana Kusini mwa Jiji la Dar es Salaam ambapo kwa upande wa Mashariki, kuna Bahari ya Hindi, Kusini inapakana na Wilaya ya Mkuranga na Kaskazini na Magharibi inapakana na Wilaya ya Ilala. Mheshimiwa Abbas Mtemvu. Wiki iliyopita, Uwazi lilisaga...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Bidhaa bandia kero kubwa

KUNA kero nyingi katika taifa hili, ili tupige hatua na kuyasogelea maendeleo ya kweli ni lazima kutafuta ufumbuzi wa kuondoa kero hizi. Serikali yetu imeshambuliwa kwenye vyombo vya habari kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Tembo wawa kero kubwa Bunda

TemboWANANCHI wanaopakana na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara, wamelalamikia kero ya tembo kuvamia makazi yao na kushambulia mazao. Wamesema hali hiyo, imewasababishia njaa.

 

11 years ago

Mwananchi

Ujenzi huu Barabara ya Morogoro kero kubwa

Kwa wakazi wa Kimara, kila kona ukipita hivi sasa ni vilio tu kutokana na ujenzi wa Barabara ya Morogoro, kwani kwa jinsi inavyojengwa haioneshi kuwasaidia wananchi bali kuwaongezea kero na usumbufu mkubwa.

 

10 years ago

GPL

MVUA YAGEUKA KERO KUBWA KWA WAKAZI WA DAR

Soko la Mchikichini, Ilala-Boma linavyoonekana kufuatia mvua za sasa Maji yalivyotapakaa soka la Sinza Afrika-Sana. Wakazi wa Mwanayamala-Mkwajuni wakitoa maji katika nyumba zao.…

 

11 years ago

GPL

MVUA YAKIHARIBU KITUO CHA MABASI NJOMBE, KERO YAWA KUBWA KWA WATUMIAJI‏

Baada ya mvua kubwa kunyesha jana mkoani Njombe, kituo hiki cha Njombe kimegeuka matope matupu na kusababisha watumiaji kupata tabu ya kutembea kwa shida na kutafuta eneo la kukanyaga ili wapite. Hali halisi kutoka kituo cha mabasi Njombe.…

 

10 years ago

Mwananchi

‘Kero za wananchi zisihusishwe na urais’

Mwenyekiti wa CCM mkoani Shinyanga, Khamis Mgeja amewatahadharisha wanasiasa na watendaji wa Serikali nchini kutohusisha kero na malalamiko yanayotolewa na wananchi na watu wanaousaka urais wa mwaka 2015.

 

11 years ago

Mwananchi

Mnyika kusikiliza kero za wananchi

Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika leo anakutana na wananchi wenye makazi pembezoni mwa barabara ya Morogoro waliothirika na nyongeza ya hifadhi kinyume cha sheria ya ardhi na amri ya Mahakama Kuu.

 

10 years ago

GPL

KERO YA MAJI INAVYOWATESA WANANCHI SENGEREMA

Sengerema ni moja kati ya wilaya saba zinazounda Mkoa wa Mwanza. Upande wa Kaskazini na Mashariki imezungukwa na Ziwa Victoria, upande wa Kusini kuna Mkoa wa Geita na Kusini Mashariki kuna Wilaya ya Misungwi.
Ndani ya Wilaya ya Sengerema, kuna majimbo mawili ya uchaguzi, Buchosa na Sengerema. Wiki iliyopita, Uwazi lilifunga safari mpaka kwenye Jimbo la Sengerema linaloongozwa na Mheshimiwa William Ngeleja.  MATATIZO YA...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Barabara Bunda kero kwa wananchi

ABIRIA wanaopita kwenye barabara ya Bunda-Ukerewe, wamelalamikia ubovu wa barabara hiyo na kuiomba serikali kuwaondolea kero hiyo. Baadhi ya wananchi hao wakiwemo madereva wa magari ya abiria pamoja na mizigo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani