KERO YA MAJI INAVYOWATESA WANANCHI SENGEREMA
Sengerema ni moja kati ya wilaya saba zinazounda Mkoa wa Mwanza. Upande wa Kaskazini na Mashariki imezungukwa na Ziwa Victoria, upande wa Kusini kuna Mkoa wa Geita na Kusini Mashariki kuna Wilaya ya Misungwi. Ndani ya Wilaya ya Sengerema, kuna majimbo mawili ya uchaguzi, Buchosa na Sengerema. Wiki iliyopita, Uwazi lilifunga safari mpaka kwenye Jimbo la Sengerema linaloongozwa na Mheshimiwa William Ngeleja. MATATIZO YA...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Ngeleja: Tutaondoa kero ya maji Sengerema
MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja (CCM), ameishukuru Wizara ya Maji kwa kutenga zaidi ya sh. bilioni 29 kutekeleza miradi ya maji jimboni kwake. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jana, Ngeleja...
10 years ago
GPLNAMTUMBO: WANANCHI WALIA NA KERO YA UMEME, MADARASA, MAJI NA BARABARA
9 years ago
StarTV28 Dec
KKKT Mpata Mbeya wabuni mbinu kusaidia wananchi kutatua kero ya maji
Uongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT usharika wa Mpata katika halmashauri ya Busokelo mkoani Mbeya umebuni mbinu ya kuwasaidia wakazi wa kijiji cha Mpata kutatua kero ya maji waliyodumu nayo tangu kuanzishwa kwa kijiji hicho miaka mingi iliyopita.
Kanisa hilo limebuni mbinu ya kutega mabomba ya maji kutoka kwenye vyanzo vya maji vilivyo jirani na kijiji hicho na kuanzisha ujenzi wa mradi mkubwa wa maji wenye thamani zaidi ya shilingi milioni hamsini.
Lengo la mradi huo ni...
9 years ago
MichuziZiara ya naibu waziri wa maji Amos Makalla wilayani sengerema, Mwanza
9 years ago
Habarileo20 Sep
Mukangara kuondoa kero ya maji
MGOMBEA wa nafasi ya ubunge wa jimbo la Kibamba kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Fenella Mukangara amezindua kampeni zake za ubunge kwa kuahidi kukabiliana na kero ya maji.
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Dihozile walia kero ya maji
WAKAZI wa Kijiji cha Dihozile, Kata ya Msoga, wilayani Bagamoyo, wanatembea umbali wa zaidi ya saa mbili kupata huduma ya maji. Wakizungumza katika mkutano wa kampeni wa mgombea ubunge kwa...
10 years ago
Michuzi04 Feb
WIZARA YA MAJI KUPITIA BRN IMEFIKISHA MAJI KWA WANANCHI M.4.2
Waziri wa maji kupitia mpango wa BRN,kuanzia mwaka 2013 hadi sasa,imefanikiwa kuwafikishia maji wananchi milioni 4.3 wanaoishi maeneo ya mijini Aidha zaidi ya watu milioni 2 wanaoishi maeneo ya vijijini wamepatiwa huduma ya maji kupitia BRN.
Waziri wa maji profesa jumanne maghembe ameyasema hayo Februari 3, 2015 mjini Dodoma alipokuwa...
5 years ago
StarTV19 Feb
Wananchi waandamana kukosa maji baada ya mhudumu wa maji kukamatwa na DC
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Kero ya maji Moshi mwisho Desemba
MAMLAKA ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Moshi Mjini (MUWSA), inatarajiwa kukamilisha utekelezaji wa miradi mitatu ya maji ambayo itaondoa kero ya muda mrefu kwa wananchi ifikapo Desemba mwaka...