Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngeleja: Tutaondoa kero ya maji Sengerema

MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja (CCM), ameishukuru Wizara ya Maji kwa kutenga zaidi ya sh. bilioni 29 kutekeleza miradi ya maji jimboni kwake. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jana, Ngeleja...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KERO YA MAJI INAVYOWATESA WANANCHI SENGEREMA

Sengerema ni moja kati ya wilaya saba zinazounda Mkoa wa Mwanza. Upande wa Kaskazini na Mashariki imezungukwa na Ziwa Victoria, upande wa Kusini kuna Mkoa wa Geita na Kusini Mashariki kuna Wilaya ya Misungwi.
Ndani ya Wilaya ya Sengerema, kuna majimbo mawili ya uchaguzi, Buchosa na Sengerema. Wiki iliyopita, Uwazi lilifunga safari mpaka kwenye Jimbo la Sengerema linaloongozwa na Mheshimiwa William Ngeleja.  MATATIZO YA...

 

10 years ago

Mwananchi

William Ngeleja: Mbunge wa Sengerema

Historia yake William Mganga Ngeleja alizaliwa Oktoba 5, 1967 mkoani Mwanza hivyo atafikisha miaka 48 mwezi Oktoba mwaka huu.

 

9 years ago

Raia Mwema

Ngeleja aota ushindi wa tsunami Sengerema

WAKATI baadhi ya wakazi wa Sengerema mkoani Mwanza wakiamini kuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo, W

Christopher Gamaina

 

10 years ago

Habarileo

Ngeleja aeleza siri ya ushindi wake Sengerema

MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja aliyeibuka na ushindi wa kishindo katika kura za maoni dhidi ya wagombea wenzake akiwamo aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha, amesema ushindi wake ni kielelezo kuwa ametekeleza vizuri Ilani ya Uchaguzi ya CCM kuanzia mwaka 2010.

 

10 years ago

Habarileo

Ngeleja apongeza wanaCCM Sengerema kwa ushindi

William NgelejaMBUNGE wa Sengerema mkoani Mwanza, William Ngeleja amewashukuru wananchi wa jimbo lake la uchaguzi kwa kukipatia ushindi wa kishindo Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwishoni mwa mwaka jana.

 

9 years ago

Michuzi

Ziara ya naibu waziri wa maji Amos Makalla wilayani sengerema, Mwanza

Naibu waziri wa maji Amos G Makalla amefanya ziara ya kikazi wilaya ya Sengerema kwa kukagua ujenzi wa mradi mkubwa wa maji unaofadhiliwa na benki ya maendeleo ya Afrika na serikali ya Tanzania. Mradi huu unagharimu shilingi bilioni 20 na utanufaisha watu wapatao 108,000 hadi kufikia mwaka 2025 Naibu Waziri wa maji ametembelea chanzo cha maji ziwa victoria kijiji cha Nyamazugo, ujenzi wa matanki maeneo ya Mwabaluhi na Igogo na kuwataka wakandarasi kampuni ya Kichina Ya CCECC ltd na mhandisi...

 

9 years ago

Habarileo

Mukangara kuondoa kero ya maji

MGOMBEA wa nafasi ya ubunge wa jimbo la Kibamba kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Fenella Mukangara amezindua kampeni zake za ubunge kwa kuahidi kukabiliana na kero ya maji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dihozile walia kero ya maji

WAKAZI wa Kijiji cha Dihozile, Kata ya Msoga, wilayani Bagamoyo, wanatembea umbali wa zaidi ya saa mbili kupata huduma ya maji. Wakizungumza katika mkutano wa kampeni wa mgombea ubunge  kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dawasa na mikakati ya kumaliza kero ya maji

MRADI wa upanuzi wa mtambo wa Ruvu Juu na mingine inayoendelea inatarajiwa kuleta ahueni kubwa ya huduma za maji katika jiji la Dar es Salaam mara itakapokamilika. Kaimu Mkurugenzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani