Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


William Ngeleja: Mbunge wa Sengerema

Historia yake William Mganga Ngeleja alizaliwa Oktoba 5, 1967 mkoani Mwanza hivyo atafikisha miaka 48 mwezi Oktoba mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Ngeleja aota ushindi wa tsunami Sengerema

WAKATI baadhi ya wakazi wa Sengerema mkoani Mwanza wakiamini kuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo, W

Christopher Gamaina

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja: Tutaondoa kero ya maji Sengerema

MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja (CCM), ameishukuru Wizara ya Maji kwa kutenga zaidi ya sh. bilioni 29 kutekeleza miradi ya maji jimboni kwake. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jana, Ngeleja...

 

10 years ago

Habarileo

Ngeleja apongeza wanaCCM Sengerema kwa ushindi

William NgelejaMBUNGE wa Sengerema mkoani Mwanza, William Ngeleja amewashukuru wananchi wa jimbo lake la uchaguzi kwa kukipatia ushindi wa kishindo Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwishoni mwa mwaka jana.

 

10 years ago

Habarileo

Ngeleja aeleza siri ya ushindi wake Sengerema

MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja aliyeibuka na ushindi wa kishindo katika kura za maoni dhidi ya wagombea wenzake akiwamo aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha, amesema ushindi wake ni kielelezo kuwa ametekeleza vizuri Ilani ya Uchaguzi ya CCM kuanzia mwaka 2010.

 

10 years ago

StarTV

Sekretarieti ya Maadili yamhoji William Ngeleja.

Na Josephine Mwaiswaga,

Dar es Salaam.

 

Baraza la Tume ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma limempandisha kizimbani Mbunge wa Sengerema William Ngeleja akiwa miongoni mwa viongozi wanaodaiwa kuhusika na kashfa ya uchotwaji wa fedha kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.

Ngeleja anafikisha idadi ya viongozi wanne waliokwishahojiwa na tume hiyo baada ya majina yao kupendekezaw na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali PAC ambapo katika hati ya mashtaka anadaiwa kupokea zaidi ya shilingi...

 

9 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:William Lukuvi

Kila mwaka tumekuwa tukichangishwa michango inayodaiwa kuwa ni ya maendeleo wakati mwingine tumekuwa tukichangia nguvu zetu katika kutekeleza baadhi ya majukumu, kwa nini hadi leo hatujawahi kusomewa mapato na matumizi ya kijiji chetu?.

 

10 years ago

Vijimambo

CHADEMA WAUNGURUMA SENGEREMA

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Zanzibar, Salim Mwalim, akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Sengerema mjini humo mkoani Mwanza hivi karibuni Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Zanzibar, Salim Mwalim (kushoto) akimsikiliza kada wa Chadema Wilaya ya Sengerema, Hamis Tabasamu (kulia) akieleza nia yake ya kugombea Ubunge Jimbo la Sengerema katika Uchaguzi Mkuu 2015 K-VIS Blog

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani