William Ngeleja: Mbunge wa Sengerema
Historia yake William Mganga Ngeleja alizaliwa Oktoba 5, 1967 mkoani Mwanza hivyo atafikisha miaka 48 mwezi Oktoba mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema20 Sep
Ngeleja aota ushindi wa tsunami Sengerema
WAKATI baadhi ya wakazi wa Sengerema mkoani Mwanza wakiamini kuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo, W
Christopher Gamaina
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Ngeleja: Tutaondoa kero ya maji Sengerema
MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja (CCM), ameishukuru Wizara ya Maji kwa kutenga zaidi ya sh. bilioni 29 kutekeleza miradi ya maji jimboni kwake. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jana, Ngeleja...
10 years ago
Habarileo07 Jan
Ngeleja apongeza wanaCCM Sengerema kwa ushindi
MBUNGE wa Sengerema mkoani Mwanza, William Ngeleja amewashukuru wananchi wa jimbo lake la uchaguzi kwa kukipatia ushindi wa kishindo Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwishoni mwa mwaka jana.
10 years ago
Habarileo05 Aug
Ngeleja aeleza siri ya ushindi wake Sengerema
MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja aliyeibuka na ushindi wa kishindo katika kura za maoni dhidi ya wagombea wenzake akiwamo aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha, amesema ushindi wake ni kielelezo kuwa ametekeleza vizuri Ilani ya Uchaguzi ya CCM kuanzia mwaka 2010.
10 years ago
StarTV04 Mar
Sekretarieti ya Maadili yamhoji William Ngeleja.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es Salaam.
Baraza la Tume ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma limempandisha kizimbani Mbunge wa Sengerema William Ngeleja akiwa miongoni mwa viongozi wanaodaiwa kuhusika na kashfa ya uchotwaji wa fedha kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.
Ngeleja anafikisha idadi ya viongozi wanne waliokwishahojiwa na tume hiyo baada ya majina yao kupendekezaw na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali PAC ambapo katika hati ya mashtaka anadaiwa kupokea zaidi ya shilingi...
11 years ago
Michuzi05 May
9 years ago
Vijimambo21 Sep
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:William Lukuvi
10 years ago
VijimamboCHADEMA WAUNGURUMA SENGEREMA