Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHAGUA MBUNGE WILLIAM MUNGAI

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

William Ngeleja: Mbunge wa Sengerema

Historia yake William Mganga Ngeleja alizaliwa Oktoba 5, 1967 mkoani Mwanza hivyo atafikisha miaka 48 mwezi Oktoba mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:William Lukuvi

Kila mwaka tumekuwa tukichangishwa michango inayodaiwa kuwa ni ya maendeleo wakati mwingine tumekuwa tukichangia nguvu zetu katika kutekeleza baadhi ya majukumu, kwa nini hadi leo hatujawahi kusomewa mapato na matumizi ya kijiji chetu?.

 

10 years ago

TheCitizen

MUNGAI: Why your president should consider writing a book

>Last week, Burkina Faso’s transitional president Michael Kafando was sworn in, a career diplomat and former finance minister.

 

10 years ago

Mtanzania

Mtoto wa Mungai aahidi neema Mafinga

OTH_1303Na Gustaph Haule, Mafinga

MGOMBEA Ubunge wa Chadema   Mafinga Mjini, William Mungai, amewaomba wananchi  kumchagua   aweze kuleta mabadiliko ya  maendeleo.

Alisema amejitosa kugombea nafasi hiyo kwa lengo la kuwaletea maendeleo wananchi katika sekta mbalimbali kwa kukabaliana na changamoto zilizopo ikiwamo afya, maji, viwanda, miundombinu, elimu   na kuimarisha uchumi kupitia taasisi za  benki.

Mtoto huyo wa Mungai alisema jimbo hilo limekuwa mstari wa mbele katika kuchangia mapato ya...

 

10 years ago

Habarileo

Mungai atoa milioni 2/- kwa yatima za vyakula, vinywaji

MFANYABIASHARA maarufu wa mjini Iringa, Geofrey Mungai, amewawezesha watoto yatima wa kituo cha Daily Bread Life Children’s Home kusherehekea vizuri sikukuu ya Krismasi na kuukaribisha Mwaka Mpya wa 2015 kwa kuchangia zaidi ya Sh milioni 2.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa wahamia Iringa, Mungai aibuka na kumnadi mtoto wake

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa amesema amechoshwa na manyanyaso wanayoendelea kuyapata wakulima hapa nchi kwa kukopwa mazao yao na kutozwa ushuru na serilkali bila ya wao kupata faida yoyote.

 

10 years ago

Vijimambo

Chagua Tigo Pesa

 Mkuu wa wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi katika uzinduzi wa kampeni ya  Chagua Tigo Pesa, Inalipa. Kulia ni Meneja  Chapa wa Tigo, William Mpinga. Meneja  Chapa wa Tigo, William Mpinga (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Kushoto ni Mkuu wa wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel.Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya simu ya mkononi ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MASABURI ASEMA CHAGUA DOUBLE M

Gari maalum la kampeni za mgombe Ubunge wa Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Didas Masaburi likipita eneo la Manzese kuhamasisha wananchi kushiriki mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM, Jangwani juzi.Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi, Dk Didas Masaburi akiwapungia mikono wapiga kura wa jimbo lake wakati alipoongoza msafara wa wanaCCM wa jimbo hilo kuelekea viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam kumsikiliza mgombea urais wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani