Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kero ya maji Moshi mwisho Desemba

MAMLAKA ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Moshi Mjini (MUWSA), inatarajiwa kukamilisha utekelezaji wa miradi mitatu ya maji ambayo itaondoa kero ya muda mrefu kwa wananchi ifikapo Desemba mwaka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI(MUWSA) YAKAMATA WEZI WA MAJI

Watumishi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWSA,wakiwa katika nyumba moja ambayo inadaiwa mmiliki wake alikuwa akiiba maji baada ya kujiunganishia kinyemera licha ya kukatiwa huduma hiyo kwa muda mrefu.Wafanyakazi hao wakiongozwa na afisa uhusiano wa mamlaka hiyo ,Frolah Nguma na mkuu wa kanda ya Rau ,Selemani Zabron na fundi Aminiel Swai baada ya kufuatilia katika eneo hilo walibaini wapi wizi wa maji unafanyika.Hivi ndivyo ilivyooonekana katika mauongio ya mteja...

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AFANYA ZIARA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA MJINI MOSHI

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akiwa ameambatana na mkuu wa wilaya ya Moshi,Ibrahim Msengi wakiwa na mwenyeji wao mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Moshi,(MUWSA)mhandisi Cyprian Luhemeja wakati akitembelea chanzo cha maji cha Cofee Curing. Chanzo cha Maji cha Cofee Curing. Jengo dogo ambalo linatumika kuhifadhi dawa maalumu ya kuweka kwenye maji kwa ajili ya Chlorination. Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa...

 

10 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA) YANASA MWIZI WA MAJI ENEO LA MAJENGO MJI MPYA.

Zoezi la ukataji wa maji hayo lilisimamiwa na Afisa Uhusiano wa mamlaka hiyo Florah Nguma.Mafundi wakifukia eneo hilo.Eneo la nje ya nyumba hiyo ambayo wizi wa maji ulikuwa ukifanyika.Afisa wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi, Bw. Jacob Ulotu akiondoa gunia lililokuwa limefunika sehemu hiyo ambayo kiutaratibu ilitakiwa kuwa na meta ya kusoma matumizi ya maji. Picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Vijimambo

MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI(MUWSA)YANASA MWIZI WA MAJI ENEO LA MAJENGO MJI MPYA.

Mmiliki wa nyumba moja katika eneo la Majengo kwa mtei mjini Moshi amekutwa akiwa amejiunganishia maji kinyemela na kufunika na gunia eneo ambalo alikuwa amejiunganishia.Afisa wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Jacob Ulotu akiondoa gunia lililokuwa limefunika sehemu hiyo ambayo kiutaratibu ilitakiwa kuwa na meta ya kusoma matumizi ya maji.Hivi ndivyo ilivyokuwa ikionekana baada ya kuondolewa gunia.
Na maji alikuwa akitumia kama inayoonekana .Baadhi ya maofisa wa MUWSA...

 

11 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA MJINI MOSHI (MUWSA) YAFANYA TATHMINI YA UTENDAJI KAZI KATIKA SIKU 360

Mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,MUWSA,Mhandisi Cyprian Luhemeja akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka hiyo (hawapo pichani) wakati wa kutimiza siku 360 ofisini.Baadhi ya wafanyakazi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,MUWSA wakimsikiliza Mkurugenzi wa mamlaka hiyo(hayupo pichani)Meneja Fedha wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Grace Msiru akizungumzia mafanikio na changamoto katika siku 360 kwa idara yake ya...

 

10 years ago

Michuzi

DC MAKUNGA ATEMBELEA VYANZO VYA MAJI VYA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA)

Mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga akiongozana na Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi(MUWSA) Sharry Raymond wakati akitembelea chanzo cha maji cha Kilimanjaro.
Kaimu Mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Mhandisi Patrick Kibasa akimueleza jambo mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga wakati wa ziara yake ya siku moja kutembelea vyanzo vya maji vya mamlaka hiyo.
DC Makunga akisikiliza kwa makini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dihozile walia kero ya maji

WAKAZI wa Kijiji cha Dihozile, Kata ya Msoga, wilayani Bagamoyo, wanatembea umbali wa zaidi ya saa mbili kupata huduma ya maji. Wakizungumza katika mkutano wa kampeni wa mgombea ubunge  kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Mukangara kuondoa kero ya maji

MGOMBEA wa nafasi ya ubunge wa jimbo la Kibamba kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Fenella Mukangara amezindua kampeni zake za ubunge kwa kuahidi kukabiliana na kero ya maji.

 

9 years ago

Habarileo

Kero ya maji yagubika kampeni za Samia

Takribani mikoa sita ambayo Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amefanya kampeni zake, amepokea matatizo kadhaa, lakini tatizo kubwa linalokabili mikoa hiyo ni maji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani