Mnyika kusikiliza kero za wananchi
Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika leo anakutana na wananchi wenye makazi pembezoni mwa barabara ya Morogoro waliothirika na nyongeza ya hifadhi kinyume cha sheria ya ardhi na amri ya Mahakama Kuu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Mnyika ataka majibu kero ya barabara
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema amemtumia ujumbe Waziri wa Ujenzi, John Magufuli, ili atoe kauli ya serikali juu ya ujenzi wa Barabara ya Morogoro, ambao umegeuka kuwa kero...
5 years ago
MichuziTUME YA UTUMISHI WA UMMA KUANZA KUSIKILIZA KERO NA MALALAMIKO YA WATUMISHI WA UMMA
Tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona inapewa kipaumbele katika kipindi hiki. Tunatakiwa kuzingatia Miongozo inayotolewa na Wizara ya Afya pamoja na maelekezo ya Viongozi Wakuu wa Nchi. Aidha, watumishi...
10 years ago
Habarileo05 Apr
Viongozi watakiwa kusikiliza malalamiko ya wananchi wao
VIONGOZI wa Serikali wametakiwa kusikiliza malalamiko ya wananchi wao na sio kuyapuuza kwani wanapofanya hivyo ndio chanzo cha uvunjifu wa amani nchini.
9 years ago
StarTV14 Sep
Wananchi wahimizwa kusikiliza sera za vyama vya siasa na kuacha ushabiki
Wananchi wametakiwa kuacha ushabiki wa vyama na badala yake wajitokeze kusikiliza sera za vyama mbalimbali vya siasa nchini ili waweze kuchagua kiongozi kutokana na sera zitakazowaletea maendeleo kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Hayo yamebainishwa na mgombea ubunge jimbo la Buchosa kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo Marco Manyilizu wakati wa kunadai sera za chama hicho kwa wananchi wa Kata ya Nyehunge wilayani Sengerema.
Akizungumza katika mkutano wa kampeni mgombea huyo amesema kuwa...
9 years ago
Dewji Blog16 Sep
Mgombea wa CCM awatahadharisha wananchi kutoendelea kusikiliza propaganda za vyama vya upinzani
Mgombea ubunge wa jimbo la Singida mashariki (CCM),Bwana Jonathani Njau )aliyesimama katikati ya uwanja akiwaomba kura za kuwa mbunge wa jimbo hilo katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Okt,25, mwaka huu.
Na, Jumbe Ismailly, Ikungi
MGOMBEA wa ubunge wa jimbo la Singida mashariki kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),Jonathani Njau amewataka wananchi wa jimbo hilo kutokuwa tayari kuendelea kusikiliza Propaganda za kisiasa,walizozisikiliza kwa kipindi cha miaka mitano sasa,na...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Mnyika: Wananchi mwandikieni barua JK
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amewashauri wananchi wanaoishi kandokando mwa hifadhi ya Barabara ya Morogoro kumwandikia Rais Jakaya Kikwete barua kuhusu mgogoro uliopo katika barabara hiyo. Mnyika alitoa ushauri...
10 years ago
Mwananchi12 Dec
Mnyika:Rais atekeleze agizo lake kwa wananchi wa Ubungo
10 years ago
Mwananchi02 Nov
‘Kero za wananchi zisihusishwe na urais’