Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnyika ataka majibu kero ya barabara

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema amemtumia ujumbe Waziri wa Ujenzi, John Magufuli, ili atoe kauli ya serikali juu ya ujenzi wa Barabara ya Morogoro, ambao umegeuka kuwa kero...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Majibu ya RC Dar yamkwaza Mnyika

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), ameeleza kutoridhishwa na majibu yaliyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiq, kuhusu mgogoro unaoendelea juu ya usafiri wa pikipiki...

 

11 years ago

Mwananchi

Mnyika kusikiliza kero za wananchi

Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika leo anakutana na wananchi wenye makazi pembezoni mwa barabara ya Morogoro waliothirika na nyongeza ya hifadhi kinyume cha sheria ya ardhi na amri ya Mahakama Kuu.

 

9 years ago

Habarileo

Zitto:ACT Wazalendo ina majibu kero ya maji

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema serikali itakayotokana na Chama hicho baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu itaanzisha mfuko wa wakala wa maji vijijini kwa ajili ya kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya maji safi na salama kwa uhakika.

 

11 years ago

Habarileo

Rais Shein ataka majibu makini

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesisitiza umuhimu wa mawaziri kujibu maswali wanayoulizwa na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa hoja na umakini mkubwa kufanikisha utekelezaji wa wajibu wa Baraza kusimamia Serikali.

 

11 years ago

Habarileo

Dk Kamani ataka majibu kukuza kipato

WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani amesema sura ya wizara hiyo katika jamii si nzuri kwa kuwa haijatoa jawabu ya changamoto zinazowakabili wadau wakiwemo wafugaji na wavuvi na kukuza pato la Taifa kama inavyostahili.

 

11 years ago

Habarileo

Pinda ataka majibu ndani ya saa 30

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ametoa saa 30 na kutaka kupatiwa majibu, ni kwa nini maelekezo aliyotoa kuhusu kiwanda cha kusindika nyama cha Mbeya, hayajafanyiwa kazi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika alia na Magufuli barabara Tangi bovu

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtaka Waziri wa Ujenzi Dk. John Magufuli kuchukua hatua za haraka kuharakisha ujenzi wa barabara ya Tangi Bovu Goba kama alivyoahidi bungeni hivi karibuni....

 

10 years ago

BBCSwahili

Mo Farah ataka majibu kuhusu kocha wake

Mwanariadha Mo Farah wa Uingereza amekasirishwa na hatua ya kulitia jina lake katika matope na sasa anataka majibu kufuatia madai yanayomuhusisha kocha wake Alberto Salazar na dawa za kusisimua misuli.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika ataka matokeo ya uchunguzi Ruvu Juu

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika, ameitaka Wizara ya Maji kuueleza umma juu ya matokeo ya uchunguzi wa kubaini kama tatizo linalojirudia kwenye mtambo wa maji wa Ruvu Juu ni masuala...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani