Mnyika alia na Magufuli barabara Tangi bovu
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtaka Waziri wa Ujenzi Dk. John Magufuli kuchukua hatua za haraka kuharakisha ujenzi wa barabara ya Tangi Bovu Goba kama alivyoahidi bungeni hivi karibuni....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-tGBxwdXutcA/Va0L5RIGLjI/AAAAAAAAiE4/l0bZ5iTI62o/s72-c/22.jpg)
MKUTANO WA MAGUFULI MJI MDOGO WA MGANZA FUNIKA BOVU
![](http://1.bp.blogspot.com/-tGBxwdXutcA/Va0L5RIGLjI/AAAAAAAAiE4/l0bZ5iTI62o/s640/22.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WwLxq0THsPE/Va0L5x2MKjI/AAAAAAAAiE8/_JEpPuNSUfA/s640/24.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jFTyiVZNaZQ/Va0LzEf88HI/AAAAAAAAiEE/4YT5CFUsods/s640/14.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Mnyika ataka majibu kero ya barabara
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema amemtumia ujumbe Waziri wa Ujenzi, John Magufuli, ili atoe kauli ya serikali juu ya ujenzi wa Barabara ya Morogoro, ambao umegeuka kuwa kero...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Mnyika amkaba Dk. Magufuli
SIKU moja baada ya Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli kuiamuru Kampuni ya Strabag kufungua barabara ya Morogoro na za mchepuko ambazo zimekamilika, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtaka...
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Mnyika amkumbusha Magufuli ufisadi DART, bomba la Mchina
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Kibamba, John Mnyika amemuomba Rais Dk.John Magufuli kuingilia kati mradi wa maji wa Ruvu Chini maarufu ‘Bomba la Mchina’ pamoja na wa Mabasi Yaendayo Kasi (DART) kuwa ni majipu sugu yanayotafuna fedha za walipa kodi.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Mnyika alisema siku 32 za Rais Magufuli kukaa Ikulu ametumbua vipele na si majipu kama inavyoelezwa.
Alisema tatizo la maji nchini ni kubwa ambako awali kulikuwa na nyumba inazuia mradi wa...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-5tbpNygWsAk/Vmd0Ob7u_fI/AAAAAAAAXX8/zZf-1orAXeI/s72-c/John-01July2015.jpg)
Mnyika amkumbusha Magufuli ufisadi DART, bomba la Mchina
11 years ago
Mwananchi22 May
Magufuli akumbuka barabara 10
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
737 Max: Vifusi vyapatikana kwenye tangi la mafuta ya ndege ya Boeing 737
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Magufuli aamuru Strabag kufungua barabara
WAZIRI wa Ujenzi, John Magufuli, amemtaka mkandarasi Kampuni ya Strabag inayojenga Barabara ya Morogoro, kufungua barabara zilizokamilika ili kuwapunguzia wananchi adha ya foleni wanayokumbana nayo kila siku. Magufuli amemtaka mkurugenzi...