MKUTANO WA MAGUFULI MJI MDOGO WA MGANZA FUNIKA BOVU
![](http://1.bp.blogspot.com/-tGBxwdXutcA/Va0L5RIGLjI/AAAAAAAAiE4/l0bZ5iTI62o/s72-c/22.jpg)
Umati wa watu waliojitokeza kwenye mkutano wa Magufuli kwenye mji mdogo wa Mganza.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa kata ya Mganza ambapo aliwaaga rasmi baada ya kuwatumikia kwa miaka 20 kama mbunge wao.
Umati wa wakazi wa mji mdogo wa Mganza waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa hadhara ambapo mgombea wa Urais kupitia CCM aliwashukuru na kuwaaga kwa miaka 20 aliowatumikia kama Mbunge wao na kuwataka wananchi wachague Mbunge mchapakazi kama...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania24 Aug
Yanga ‘funika bovu’
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
FUNIKA Bovu! Ndivyo unavyoweza kuielezea timu ya Yanga ikiwa ni baada ya kuweka rekodi ya kutwaa taji la Ngao ya Jamii mara tano tofauti na timu nyingine yoyote Tanzania.
Yanga imeandika rekodi hiyo mara baada ya kuiliza Azam FC juzi kwa mikwaju ya penalti 8-7 kufuatia suluhu ndani ya dakika 90 na kutwaa taji hilo kwa mara ya tatu mfululizo mbele ya matajiri hao.
Wanajangwani hao wametwaa taji hilo tena mwaka 2001 na 2010 kwa kuifunga Simba mara mbili. Hivyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CWRwFfvur*DOG3SSKLCTR5BVn8RhoHcHnXNI2mmQXkiMlzeMTxvxMHr3eI6tX91HWz6UaM2op1dDFyaSFluG*9nkNNw7PedY/IMG_0554.jpg?width=650)
SERENGETI FIESTA SHINYANGA FUNIKA BOVU
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Kili Dar funika ‘bovu’: Mashabiki waikubali, waipongeza TBL
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IdgqDH3rM-0/VPI9ZpZE1jI/AAAAAAAHGkM/H1JOlrXUjuQ/s72-c/IMG_0049.jpg)
Mnuso wa Tanzania Bloggers Network (TBN) funika bovu dar es salaam serena hotel usiku huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-IdgqDH3rM-0/VPI9ZpZE1jI/AAAAAAAHGkM/H1JOlrXUjuQ/s1600/IMG_0049.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kJV5PC1FJaI/VPI9z3aV4ZI/AAAAAAAHGlA/JbOGq50kOsY/s1600/IMG_0040.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jbH7ZRipSBk/VPI9oYTe98I/AAAAAAAHGkk/b0cPRpGsbi8/s1600/IMG_0041.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sD5rse9d_gI/VPI90KRGlfI/AAAAAAAHGk8/BEPKBn2EmVo/s1600/IMG_0054.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-elAZnw7l254/VPI9y1JFzBI/AAAAAAAHGk0/oAGHFRwuNs4/s1600/IMG_0057.jpg)
11 years ago
Bongo503 Aug
Picha: Kwa gari jipya na zawadi ya shilingi milioni 250, harusi ya Pastor Myamba ni funika bovu!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TZA6e7DRp7yxOp3*4wZzB8VKJTCEwxKasV6Ik2SdamCMYhmFGSbXk4tarRplyAy**uVHp2YyAejKPZzabWKNf8H/1.KinanaakisalimiananaKinamamawaHamasaNamanyere.jpg?width=650)
KINANA ATINGA NKASI, MAMIA WAHUDHURIA MKUTANO WAKE MJI MDOGO WA NAMANYERE
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DaXAaOu2CAs/VgKSL-uIv3I/AAAAAAAH65M/8Y-sat3shOc/s72-c/_MG_9396.jpg)
MAGUFULI ATIKISA MJI MDOGO WA KATORO MCHANA HUU MKOANI GEITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-DaXAaOu2CAs/VgKSL-uIv3I/AAAAAAAH65M/8Y-sat3shOc/s640/_MG_9396.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Tf4ysVeGSyc/VgKSL9CumSI/AAAAAAAH65Q/-UpGwIDbb8E/s640/_MG_9409.jpg)