MAGUFULI ATIKISA MJI MDOGO WA KATORO MCHANA HUU MKOANI GEITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-DaXAaOu2CAs/VgKSL-uIv3I/AAAAAAAH65M/8Y-sat3shOc/s72-c/_MG_9396.jpg)
Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa mji mdogo wa Katoro mkoani Geita mapema leo mchana kwenye viwanja vya mnada wa Ng'ombe,kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni,ambapo maelfu ya Wananchi wamehudhuria
Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwandani Wagombea Ubunge wa jimbo la Bukombe na Chato mapema mchana huu alipokuwa akiwahutubia wananchi wa mji mdogo wa Katoro mkoani Geita, kwenye viwanja vya mnada wa Ng'ombe,katika mkutano wa hadhara wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1HrQ5hJufBY/VYRiiygHzrI/AAAAAAAC7GA/ZE3DaVO9VXU/s72-c/10.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AUNGURUMA WILAYANI BUSANDA NA MJI MDOGO WA KATORO MKOANI GEITA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1HrQ5hJufBY/VYRiiygHzrI/AAAAAAAC7GA/ZE3DaVO9VXU/s640/10.jpg)
Ndugu Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, yupo mkoani Geita kwa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kusimamia utekelezaji...
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-GgLU7dnzPto/Va0Pu3sHDUI/AAAAAAAC81w/kJ7avus_Nnw/s640/_MG_8966.jpg)
MAGUFULI AZOA WANACHAMA WAPYA MJI MDOGO WA MUGANZA WILAYANI CHATO, GEITA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-trA4yKYuUYw/ViTMx3mUs8I/AAAAAAADBHY/zLhSOYl2Rus/s72-c/_MG_7452.jpg)
MAGUFULI AKIENDELEA NA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI MCHANA HUU SENGEREMA NA GEITA VIJIJINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-trA4yKYuUYw/ViTMx3mUs8I/AAAAAAADBHY/zLhSOYl2Rus/s640/_MG_7452.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-OtEW8xJXnc/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-84V2SnChXNw/VYQ8WMezKNI/AAAAAAAAe4E/CM2tkcBuLr0/s72-c/2.jpg)
KINANA AHUTUBIA MKUTANO WA KIHISTORIA KATORO MKOANI GEITA
![](http://2.bp.blogspot.com/-84V2SnChXNw/VYQ8WMezKNI/AAAAAAAAe4E/CM2tkcBuLr0/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6UfbDRRVZ3E/VYQ8ZQvA_EI/AAAAAAAAe4Q/wnjuWpFjG-k/s1600/3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XenAHcCxnG4/VfmOP-yp0JI/AAAAAAAACJI/jJxZHQwFWz0/s72-c/OTH_5312.jpg)
LOWASSA ATIKISA CHATO, MKOANI GEITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XenAHcCxnG4/VfmOP-yp0JI/AAAAAAAACJI/jJxZHQwFWz0/s640/OTH_5312.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XISrfWvgIxs/VfmOQYRE37I/AAAAAAAACJU/LbEyzMAKWuA/s640/OTH_5333.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania20 Jul
Magufuli atikisa Geita
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli ameendelea kuahidi kutowaangusha Watanzania atakapopewa ridhaa ya kuongoza nchi.
Dk. Magufuli aliyasema hayo jana wakati akihutubia maelfu ya wananchi mjini hapa kabla ya kuelekea jimboni kwake Chato, mkoani Geita.
“Jamani nashukuru sana, nashukuru sana kwa umati huu uliojitokeza kunipokea, kwa kweli sijapata mapokezi makubwa kama haya sehemu zote nilizopita, nawaahidi kuwa sitawaangusha na muda wa kampeni ukifika,...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/magufuli-akifanya-mkutano-wake-wa-mwisho-mjini-kahama-leo-katika-viwanja-vya-UWT-CCM-Kahama.jpg)
MAGUFULI ATIKISA MIKOA YA GEITA NA SHINYANGA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6zMmbFl8LUk/VavGy8oyqOI/AAAAAAAC8vM/pCvfqnGKaqQ/s72-c/_MG_8579.jpg)
MAGUFULI ATIKISA JIMBONI KWAKE CHATO,WANANCHI WAIBUA SHANGWE KILA KONA YA MJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-6zMmbFl8LUk/VavGy8oyqOI/AAAAAAAC8vM/pCvfqnGKaqQ/s640/_MG_8579.jpg)
Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwaaga Wananchi wa Chato waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kumaliza kujitambulisha na kuwashukuru kwa kiasi kikubwa kwa kuchaguliwa kwake katika nafasi ya kupeperusha bendera ya chama chake kuwania nafasi ya Urais .
![](http://2.bp.blogspot.com/-lRFVNj9yTZ4/Vau-pA-OnQI/AAAAAAAC8ts/aIqCtMNhD7g/s640/_MG_8452.jpg)