Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli atikisa Geita

MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli ameendelea kuahidi kutowaangusha Watanzania atakapopewa ridhaa ya kuongoza nchi.

 Dk. Magufuli aliyasema hayo jana wakati akihutubia maelfu ya wananchi mjini hapa kabla ya kuelekea jimboni kwake Chato, mkoani Geita.

“Jamani nashukuru sana, nashukuru sana kwa umati huu uliojitokeza kunipokea, kwa kweli sijapata mapokezi makubwa kama haya sehemu zote nilizopita, nawaahidi kuwa sitawaangusha na muda wa kampeni ukifika,...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MAGUFULI ATIKISA MIKOA YA GEITA NA SHINYANGA

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk Jonh Pombe Magufuli akifanya mkutano wa kampeni katika viwanja vya UWT CCM, Kahama. Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM, Abdalah Bulembo akiwataka wananchi kumchagua Magufuli.…

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI ATIKISA MJI MDOGO WA KATORO MCHANA HUU MKOANI GEITA

 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa mji mdogo wa Katoro mkoani Geita mapema leo mchana kwenye viwanja vya mnada wa Ng'ombe,kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni,ambapo maelfu ya Wananchi wamehudhuria Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwandani Wagombea Ubunge wa jimbo la Bukombe na Chato mapema mchana huu alipokuwa akiwahutubia wananchi wa mji mdogo wa Katoro mkoani Geita, kwenye viwanja vya mnada wa Ng'ombe,katika mkutano wa hadhara wa...

 

9 years ago

Michuzi

LOWASSA ATIKISA CHATO, MKOANI GEITA

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akihutubia Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi ya Zamani ya Chato, Wilayani Chato, Mkoani Geita leo Septemba 16, 2015. Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akimnaji Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chato, Dkt. Benedicto Lukanima, katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA ATIKISA KWA KAMPENI KATIKA MAJIMBO YA SHINYANGA LEO, ATINGA GEITA KWA KISHINDO

 Wananchi wakiwa wamezuia msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika eneo la Tinde jimbo la Msalala mkoani Shinyanga, wakati ukiwa njiani kwenda Kahama mkoani humo leo Mama akiwa amekwenda na watoto wake, kumshuhudia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan msafara wa Mgombea huyo ulipoziwa na wananchi katika eneo la Tinde jimbo la Msalala mkoani Shinyanga, wakati ukiwa njiani kwenda Kahama mkoani humo leo
 Baadhi ya...

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI ATIKISA IGUNGA

Mgombea urais wa CCM, Dk. John pombe Magufuli akihutubia wananchi katika mkutano wa Kampeni leo mjini Igunga, Tabora. Mgombea urais wa CCM, Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo wakati alipokuwa akihutubia mkutano wa kampeni mjini…

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli atikisa Tunduma, ajivunia uchapakazi

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli amesema katika uongozi wake katika sekta ya ujenzi, alijikuta akifukuza kazi makandarasi 3,200 walioonesha uzembe kazini.

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI ATIKISA NYAMONGO NA TARIME, MKOANI MARA

  Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM Dkt. Jonh Pombe Magaufuli akinani sera zake Nyamongo mkoani Mara.…

 

10 years ago

Michuzi

MAGUFULI ATIKISA JIMBONI KWAKE CHATO,WANANCHI WAIBUA SHANGWE KILA KONA YA MJI


  Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwaaga Wananchi wa Chato waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kumaliza kujitambulisha na kuwashukuru kwa kiasi kikubwa kwa kuchaguliwa kwake katika nafasi ya kupeperusha bendera ya chama chake kuwania nafasi ya Urais .
  Mbunge wa Chato na Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa mji huo waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kuwasili leo jioni mjini humo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. John Pombe Magufuli atikisa jimboni kwake, wananchi waibua shangwe kila kona ya mji

    Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwaaga Wananchi wa Chato waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kumaliza kujitambulisha na kuwashukuru kwa kiasi kikubwa kwa kuchaguliwa kwake katika nafasi ya kupeperusha bendera ya chama chake kuwania nafasi ya Urais .   Mbunge wa Chato na Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa mji huo waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kuwasili jana jioni mjini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani