Magufuli atikisa Tunduma, ajivunia uchapakazi
MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli amesema katika uongozi wake katika sekta ya ujenzi, alijikuta akifukuza kazi makandarasi 3,200 walioonesha uzembe kazini.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*67Uoec4vv11G4ysXF2z6KqQABSxdl8RsPJj0q25P59PALeyZtbpwuAl80p0xKfVYfH49PDjdyLLx22NHMoWFbX7V2xleTuk/150715121558_magufuli_640x360_bbc_nocredit.jpg?width=650)
MAGUFULI; REKODI YAKE YA UCHAPAKAZI INAIBEBA CCM
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-53VxoV5iluE/VaKFChcAnBI/AAAAAAABOgM/_4yDjISQeRQ/s72-c/kikwete%2Bigung%2B3.jpg)
KIPAJI KINGINE CHA MAGUFULI NA UCHAPAKAZI WAKE HIKI HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-53VxoV5iluE/VaKFChcAnBI/AAAAAAABOgM/_4yDjISQeRQ/s640/kikwete%2Bigung%2B3.jpg)
Wanamichezo wamekuwa wakijiuliza kama mgombea wa urais wa CCM, John Pombe Magufuli ni mpenda michezo.Ingawa wapo wanaoamini ni mpenda michezo, lakini inaonekana wazi kuwa anapenda sanaa.Kipaji cha sanaa ambacho amekuwa hakionyesha mara kwa mara ni upigaji wa ngoma ambazo ikitokea ameona watu wanazitandika, amekuwa hajivungi kama picha hii inavyoonyesha.Magufuli ndiye mgombea wa urais kupitia CCM baada ya kuwashinda wagombea wengine 37 walioonyesha nia.CCM kupitia mwenyekiti wake, Jakaya...
9 years ago
MichuziTANO ZA MAGUFULI . UADILIFU .UCHAPAKAZI .UFUATILIAJI .UTEKELEZAJI NA UTUMISHI ULIOTUKUKA
Akizungumza na wananchi wa mkoani Lindi katika muendelezo wa kampeni zake, Dk Magufuli alisema akichaguliwa kushika nafasi hiyo, pamoja na mambo mengine atakayoyafanya atatumia utajiri wa gesi uliopo katika mikoa ya Kusini, kutoa ruzuku kwa vifaa vya...
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Tano za Magufuli, Uadilifu, Uchapakazi, Ufuatiliaji, Utekelezaji na Utumishi Uliotukuka
MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka wananchi kumchagua ili awe rais wa tano ajaye wa Tanzania huku akiahidi kushughulikia masuala mbalimbali ya wananchi na hivyo kuliletea Taifa maendeleo kwa muda wote atakaokuwepo madarakani.
Akizungumza na wananchi wa mkoani Lindi katika muendelezo wa kampeni zake, Dk Magufuli alisema akichaguliwa kushika nafasi hiyo, pamoja na mambo mengine atakayoyafanya atatumia utajiri wa gesi uliopo katika mikoa ya Kusini, kutoa ruzuku kwa vifaa vya...
9 years ago
Bongo524 Nov
Magufuli atrend kwenye mitandao ya kijamii Kenya, wasifia uchapakazi wake
![john-magufuli-presidential-inauguration](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/john-magufuli-presidential-inauguration-300x194.jpg)
Uchapakazi wa Rais Dkt John Magufuli unatuma ujumbe si kwa maafisa wa Tanzania pekee, bali na nchi za jirani pia na kuwaacha viongozi wa nchi hizo kwenye wakati mgumu.
Kenya ambayo imekuwa ikifuatilia siasa za Tanzania tangu wakati wa kampeni, imeonesha kupenda mbinu za Magufuli na wananchi wake wanatamani mtu kama yeye.
Kwa kipindi kifupi alichoingia madarakani, Magufuli amefanya mambo makubwa na wananchi wamependa.
Ziara yake ya kushtukiza kwenye hospitali ya Muhimbili ilifichua uovu...
10 years ago
Raia Tanzania20 Jul
Magufuli atikisa Geita
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli ameendelea kuahidi kutowaangusha Watanzania atakapopewa ridhaa ya kuongoza nchi.
Dk. Magufuli aliyasema hayo jana wakati akihutubia maelfu ya wananchi mjini hapa kabla ya kuelekea jimboni kwake Chato, mkoani Geita.
“Jamani nashukuru sana, nashukuru sana kwa umati huu uliojitokeza kunipokea, kwa kweli sijapata mapokezi makubwa kama haya sehemu zote nilizopita, nawaahidi kuwa sitawaangusha na muda wa kampeni ukifika,...
9 years ago
GPLMAGUFULI ATIKISA IGUNGA
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/hv9_Windtgo/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/magufuli-akifanya-mkutano-wake-wa-mwisho-mjini-kahama-leo-katika-viwanja-vya-UWT-CCM-Kahama.jpg)
MAGUFULI ATIKISA MIKOA YA GEITA NA SHINYANGA