Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAGUFULI AKIHUTUBIA TUNDUMA

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI AKIHUTUBIA BUNGE JIJINI DODOMA LEO



 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli akilihutubia Bunge kabla ya kulivunja Bunge hilo jijini Dodoma.
Marais Wastaafu wakiwa na furaha ndani ya ukumbi wa Bunge, wakati Rais Magufuli akilihutubia Bunge. Kutoka kulia ni Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli atikisa Tunduma, ajivunia uchapakazi

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli amesema katika uongozi wake katika sekta ya ujenzi, alijikuta akifukuza kazi makandarasi 3,200 walioonesha uzembe kazini.

 

9 years ago

Vijimambo

MAGUFULI ASIMAMIA SHOW PEKE YAKE TUNDUMA

 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa shule ya msingi Tunduma tayari kuhutubia mkutano wa kampeni. Wananchi wa Tunduma wakizingira gari la mgombea wa urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli wakati akiwasili kwenye uwanja wa mkutano Tunduma.
 Katibu wa Siasa na Uenezi CCM mkoa wa Mbeya Ndugu Bashiru Madodi akizungumza kabla mgombea wa urais kupitia CCM Dk.John pombe magufuli hajahutubia wakazi wa Tunduma. Wakazi wa Tunduma wakiwa wamefurika kumsikiliza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani