MAGUFULI ASIMAMIA SHOW PEKE YAKE TUNDUMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-fZD8B-F9Jp4/Vd3jl7foUEI/AAAAAAAAlTg/ffViQLUH6vg/s72-c/b1.jpg)
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa shule ya msingi Tunduma tayari kuhutubia mkutano wa kampeni.
Wananchi wa Tunduma wakizingira gari la mgombea wa urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli wakati akiwasili kwenye uwanja wa mkutano Tunduma.
Katibu wa Siasa na Uenezi CCM mkoa wa Mbeya Ndugu Bashiru Madodi akizungumza kabla mgombea wa urais kupitia CCM Dk.John pombe magufuli hajahutubia wakazi wa Tunduma.
Wakazi wa Tunduma wakiwa wamefurika kumsikiliza...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi15 Apr
DK. MAGUFULI ASIMAMIA URUDISHWAJI HUDUMA DARAJ LA MTO MZINGA, KONGOWE
Daraja hilo lilibomoka tarehe 13 Aprili, 2014 majira ya saa 12:00 asubuhi baada ya mabasi matatu kuvuka.
Daraja lilibomoka majira ya saa 12:00 na kufanya msururu wa mabasi yaendayo mikoa ya...
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Zitto: ACT itasimama peke yake
KIONGOZI wa chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema chama hicho hakitaungana na kingine chochote kutokana na misingi waliyojiwekea.
Akizungumza na wanachama wa ACT wenye nia ya kugombea nafasi za ubunge mkoani Dar Zitto alisema chama hicho kuungana na chama chenye misingi tofauti kutapoteza maana ya kuwapo kwake.
“Tukifanya hivyo hakutakuwa na sababu ya kuwapo kwa ACT – Wazalendo,” alisema Zitto.
Alisema ACT itasafiri peke yake katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa kuwa vyama...
9 years ago
Habarileo20 Aug
Ligi bara kumnufaisha bingwa peke yake
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) jana lilitoa ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajiwa kuanza Septemba 12 mwaka huu na ambayo safari hii bingwa pekee ndiye ataiwakilisha nchi kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aGJZUqzDQwQ/VGwKc-Ay-GI/AAAAAAAGyJw/34z4hNqTe60/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
HAKUNA NCHI INAYOWEZA KUSIMAMA PEKE YAKE-BAN KI MOON
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
CCM wamejifunza kwa Nyerere muundo wa Muungano peke yake?
IJUMAA iliyopita nilipata nafasi ya kusikiliza japo kwa muda mfupi kinachondelea huko Dodoma kwenye Bunge Maalumu la Katiba. Alikuwa akizungumza mwanamama. Hapana, alikuwa akizungumza kwa kusoma. Alionekana haelewi barabara kile...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-0Gsa7CDEBmUKc5hpnfUf6fXwpQ5nG*8UnRklXd30cLrdG6IMN2L9AxpRWVx9W8*KLtw46CO2z4IXxzTvCZKmPK/malikia.gif?width=650)
Kufuru, ndege ya watu 150, Malkia wa Nyuki apanda peke yake
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1f6lkCRdj30/XlFhvTULO6I/AAAAAAAAQP4/UGE-Q8vghZEASKaRWNQg2Lzu5pDan-fvwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200221_142032.jpg)
TAEC:MIONZI INA FAIDA KUBWA NA SIYO MADHARA PEKE YAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-1f6lkCRdj30/XlFhvTULO6I/AAAAAAAAQP4/UGE-Q8vghZEASKaRWNQg2Lzu5pDan-fvwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200221_142032.jpg)
Profesa Lazaro Busagala,Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu ya nchini (TAEC) akizungumza na washiriki wa mafunzo ya usimamizi wa usalama wa mionzi yaliyofanyika Makao makuu ya Tume hiyo Jijini Arusha.
Mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo ya siku tano kutoka Serengeti Breweries mafunzo ya usimamizi wa usalama wa mionzi yaliyofanyika Makao makuu ya Tume hiyo Jijini Arusha.
Mmoja wa washiriki wa mafunzo ya mafunzo ya usimamizi wa usalama wa mionzi yaliyofanyika Makao makuu ya Tume hiyo Jijini...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-LNaUf5TOgu0/UyBHA4w7QgI/AAAAAAAAXTU/AEUH04tf2t0/s72-c/WWW.MATEJA20.BLOGSPOT.COM+..YANGA+VS+MBEYA+CITY+(5).jpg)
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Siku ya akinababa duniani: Maisha ya baba muendeshapikipiki anayelea watoto wadogo peke yake