MRISHO NGASA ATOKEA BENCHI APIGA 2 PEKE YAKE dakika 90 YANGA 2 MTIBWA 0
![](http://2.bp.blogspot.com/-LNaUf5TOgu0/UyBHA4w7QgI/AAAAAAAAXTU/AEUH04tf2t0/s72-c/WWW.MATEJA20.BLOGSPOT.COM+..YANGA+VS+MBEYA+CITY+(5).jpg)
Kikosi cha timu ya Yanga
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6YfrdAE2a8owWCjVxs-pdKEEW5xFfshu0d0QHQORFKRCyie630KRIOoUUFNsRlFn3uC6-NqS2DF3uRRB2HWicSg/tambwe.jpg?width=650)
Tambwe apiga dakika 1373 Simba SC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YvrKGbt9eUseLThP7WaVPOz-b8hIqXBOaFmeXquc55zooOoZtveDKHg2BlO9Y5PjYgfAeC-DBxNPwHI9palahzP/MWINYI.jpg)
Kazimoto apiga dakika 990 Qatar
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Yanga ukizubaa unaozea benchi
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Yanga yatimua benchi la ufundi
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Zitto: ACT itasimama peke yake
KIONGOZI wa chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema chama hicho hakitaungana na kingine chochote kutokana na misingi waliyojiwekea.
Akizungumza na wanachama wa ACT wenye nia ya kugombea nafasi za ubunge mkoani Dar Zitto alisema chama hicho kuungana na chama chenye misingi tofauti kutapoteza maana ya kuwapo kwake.
“Tukifanya hivyo hakutakuwa na sababu ya kuwapo kwa ACT – Wazalendo,” alisema Zitto.
Alisema ACT itasafiri peke yake katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa kuwa vyama...
10 years ago
Vijimambo18 Mar
Ngasa aaga Yanga.
![](http://api.ning.com/files/VFUL0Af-KhryUnOnw60F8fOoSU0ml0IR*ChreIeXLsU33CLcd4dk9-XJzIqf8uI505urdtGDMlQU3lfKh0uFFOtubdWWThwB/ngasa7.jpg)
Winga hatari wa Yanga na Taifa Stars, Mrisho Ngasa, amewaaga na kuwashukuru mashabiki wake kwa kumpa sapoti katika kipindi chote alichokaa kwenye klabu hiyo ya Jangwani.
Ngasa, mfungaji bora wa michuano ya Klabu Bingwa Afrika mwaka jana na mfungaji bora wa Yanga msimu uliopita, mwishoni mwa wiki alikisaidia kikosi cha wanajangwani kupata ushindi mnono wa mabao 5-1 dhidi ya Platinum FC ya Zimbabwe kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Katika mechi hiyo ya hatua ya kwanza ya michuano ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjM0nMJUsGBxP1LsO7KzPubJktbUT3O2RVTJSR*QPVr1zqM9zCWYwy4ZhOgZFa0aoAZa6sBERqKGMHFd4aoA60px/28BEB6C6000005783084365Alan_Hutton_is_helpless_as_Mane_slots_in_his_first_of_the_day_wia8_1431789411091.jpg?width=650)
EPL: SADIO MANE APIGA HAT-TRICK KWA DAKIKA TATU, AWEKA REKODI
9 years ago
Habarileo20 Aug
Ligi bara kumnufaisha bingwa peke yake
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) jana lilitoa ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajiwa kuanza Septemba 12 mwaka huu na ambayo safari hii bingwa pekee ndiye ataiwakilisha nchi kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.