Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MRISHO NGASA ATOKEA BENCHI APIGA 2 PEKE YAKE dakika 90 YANGA 2 MTIBWA 0

Kikosi cha timu ya Yanga

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Tambwe apiga dakika 1373 Simba SC

Mshambuliaji wa Simba SC, Amis Tambwe. Na Khadija Mngwai
MSHAMBULIAJI wa Simba, Amissi Tambwe, raia wa Burundi, ndiye mchezaji pekee wa Simba aliyecheza dakika nyingi katika msimu mzima kwa kucheza dakika 1373. Wachezaji wa…

 

11 years ago

GPL

Kazimoto apiga dakika 990 Qatar

Mwinyi Kazimoto. Na Mwandishi Wetu
KIUNGO nyota wa Al Markhiya inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza nchini Qatar, Mwinyi Kazimoto ameweka rekodi ya kucheza mechi 11 zote kwa dakika 90. Kazimoto aliyetokea Simba na kujiunga na Al Markhiya, ameweka rekodi hiyo baada ya kupiga mechi hizo 11, kimahesabu, amepiga dakika 990. Kutokana na mwendo huo, Kazimoto ameisaidia timu yake kushinda mechi tatu mfululizo na sasa iko katika nafasi...

 

9 years ago

Mwananchi

Yanga ukizubaa unaozea benchi

Ni dhahiri sasa kuna ushindani mkubwa wa nafasi katika kikosi cha Yanga msimu huu baada ya timu hiyo kusajili wachezaji wengi wa sehemu ya kiungo na ushambuliaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yatimua benchi la ufundi

Klabu bingwa ya soka Tanzania, Yanga imetimua benchi lake lote la ufundi kwa kile kilichoelezwa kuwa kushindwa kuleta matunda yaliyokusudiwa katika klabu hiyo.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Zitto: ACT itasimama peke yake

KIONGOZI wa chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema chama hicho hakitaungana na kingine chochote kutokana na misingi waliyojiwekea.

Akizungumza na wanachama wa ACT wenye nia ya kugombea nafasi za ubunge mkoani Dar Zitto alisema chama hicho kuungana na chama chenye misingi tofauti kutapoteza maana ya kuwapo kwake.

“Tukifanya hivyo hakutakuwa na sababu ya kuwapo kwa ACT – Wazalendo,” alisema Zitto.

Alisema ACT itasafiri peke yake katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa kuwa vyama...

 

10 years ago

Vijimambo

Ngasa aaga Yanga.


Winga hatari wa Yanga na Taifa Stars, Mrisho Ngasa, amewaaga na kuwashukuru mashabiki wake kwa kumpa sapoti katika kipindi chote alichokaa kwenye klabu hiyo ya Jangwani. 
Ngasa, mfungaji bora wa michuano ya Klabu Bingwa Afrika mwaka jana na mfungaji bora wa Yanga msimu uliopita, mwishoni mwa wiki alikisaidia kikosi cha wanajangwani kupata ushindi mnono wa mabao 5-1 dhidi ya Platinum FC ya Zimbabwe kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Katika mechi hiyo ya hatua ya kwanza ya michuano ya...

 

10 years ago

GPL

EPL: SADIO MANE APIGA HAT-TRICK KWA DAKIKA TATU, AWEKA REKODI

Mshambuliaji wa Southampton na raia wa Senegal, Sadio Mane (kushoto) akifunga bao lake la kwanza dakika ya 12 kipindi cha kwanza dhidi ya Aston Villa leo katika Uwanja wa St. Mary's Stadium.
...Mane akifunga bao lake la pili dakika ya 13 kipindi cha kwanza.…

 

9 years ago

Habarileo

Ligi bara kumnufaisha bingwa peke yake

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) jana lilitoa ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajiwa kuanza Septemba 12 mwaka huu na ambayo safari hii bingwa pekee ndiye ataiwakilisha nchi kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani