Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kazimoto apiga dakika 990 Qatar

Mwinyi Kazimoto. Na Mwandishi Wetu
KIUNGO nyota wa Al Markhiya inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza nchini Qatar, Mwinyi Kazimoto ameweka rekodi ya kucheza mechi 11 zote kwa dakika 90. Kazimoto aliyetokea Simba na kujiunga na Al Markhiya, ameweka rekodi hiyo baada ya kupiga mechi hizo 11, kimahesabu, amepiga dakika 990. Kutokana na mwendo huo, Kazimoto ameisaidia timu yake kushinda mechi tatu mfululizo na sasa iko katika nafasi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kazimoto anavyoikubali Qatar kuandaa Kombe la Dunia 2022

Doha, Qatar. Ukipita katika mitaa mbalimbali kwenye mji wa Doha, Qatar utaona wameanza kulinadi Kombe la Dunia 2022.

 

11 years ago

GPL

Bado mbili Kazimoto apande Ligi Kuu Qatar

Kiungo huyo Mtanzania wa Al Markhiya, Mwinyi Kazimoto. Na Mwandishi Wetu
KAMA kikosi cha Al Markhiya kitafanikiwa kushinda mechi zake mbili zilizobaki, basi moja kwa moja kitapanda hadi Ligi Kuu nchini Qatar. Kiungo huyo Mtanzania wa Al Markhiya, Mwinyi Kazimoto ameliambia Championi Jumamosi kuwa, kesho Jumapili ndiyo fainali kwao. “Kesho tunacheza mechi moja kati ya hizo mbili za mwisho ambazo tunatakiwa kushinda ili...

 

11 years ago

GPL

Tambwe apiga dakika 1373 Simba SC

Mshambuliaji wa Simba SC, Amis Tambwe. Na Khadija Mngwai
MSHAMBULIAJI wa Simba, Amissi Tambwe, raia wa Burundi, ndiye mchezaji pekee wa Simba aliyecheza dakika nyingi katika msimu mzima kwa kucheza dakika 1373. Wachezaji wa…

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

EPL: SADIO MANE APIGA HAT-TRICK KWA DAKIKA TATU, AWEKA REKODI

Mshambuliaji wa Southampton na raia wa Senegal, Sadio Mane (kushoto) akifunga bao lake la kwanza dakika ya 12 kipindi cha kwanza dhidi ya Aston Villa leo katika Uwanja wa St. Mary's Stadium.
...Mane akifunga bao lake la pili dakika ya 13 kipindi cha kwanza.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda akutana na kiongozi wa kampuni ya gesi ya Qatar na kutembelea eneo la ujenzi wa bandari mpya ya Qatar.

PG4A5517

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Bw.  Otty Msuku  ambaye ni Mtanzania ,  Mtalaamu wa upimaji ardhi katika mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar  wakati alipotembelea eneo la ujenzi wa bandari hiyo akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Desemba 22, 2014. Katikati ni Mkurugenzi mwendeshaji wa Mradi huo, Don Morrison. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A5521

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikaribishwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mradi wa Mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar, Bw. Yusuf...

 

10 years ago

BBCSwahili

Qatar 2022: Qatar yapinga madai ya Amnesty

Qatar imepinga madai ya Amnesty International kuwa inawadhulumu wafanyikazi wanaojenga viwanja

 

9 years ago

Mwananchi

Mpeni muda kocha Simba itatisha-Kazimoto

Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto amewataka mashabiki na wapenzi wa timu hiyo kumpa muda kocha Dylan Kerr atengeneze timu badala ya kuwatia katika shinikizo na kuathiri kikosi chao.

 

11 years ago

Mwananchi

Kazimoto kutua leo, Samata, Ulimwengu ndani ya Taifa Stars

Kiungo wa Al Markhiya, Mwinyi Kazimoto atawasili leo na kuungana na wenzake katika kikosi cha Taifa Stars kinachojiandaa na mechi dhidi ya Msumbiji Jumapili. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani