Kazimoto kutua leo, Samata, Ulimwengu ndani ya Taifa Stars
Kiungo wa Al Markhiya, Mwinyi Kazimoto atawasili leo na kuungana na wenzake katika kikosi cha Taifa Stars kinachojiandaa na mechi dhidi ya Msumbiji Jumapili.Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
SAMATA, ULIMWENGU KUTUA JUMAMOSI

Washambuliaji hao watatokea moja kwa moja Sudan ambapo kesho (Mei 16 mwaka huu) TP Mazembe itacheza mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya timu ya huko.
Ujio wa washambuliaji hao utafanya wachezaji wote kutoka nje...
11 years ago
GPL
ULIMWENGU, SAMATA WAJIUNGA STARS
10 years ago
TheCitizen01 Sep
Ulimwengu, Samata jet in to join Stars
11 years ago
Michuzi
SAMATA, ULIMWENGU KUONGEZA NGUVU STARS

Taifa Stars itacheza na Zimbabwe (Mighty Warriors) katika mechi ya marudiano raundi ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika zitakazofanyika mwakani nchini Morocco. Mechi hiyo itachezwa Jumapili (Juni 1 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa jijini Harare.
Samata na Ulimwengu...
10 years ago
Mwananchi30 Mar
MECHI:Samata aibeba Taifa Stars
10 years ago
Habarileo03 Nov
Taifa Stars yaondoka bila Samatta, Ulimwengu
Na Zena Chande KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa, Taifa Stars, Charles Mkwasa amesema anaamini kikosi chake kitaimarika zaidi kwa kambi ya siku 10 Afrika Kusini.
11 years ago
Michuzi
ULIMWENGU, SAMATA KUWASILI JUMATANO

Mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika (AFCON) kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Mambas itachezwa Jumapili (Julai 20 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Ulimwengu na Samata watawasili saa 12 asubuhi kwa ndege ya EgyptAir wakitokea Tunisia...
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Samata, Ulimwengu kuwakosa Burundi
NYOTA wa kimataifa, Mbwana Samata, Thomas Ulimwengu na Mwinyi Kazimoto, wako shakani kucheza mechi ya kirafiki ya Tanzania na Burundi itakayopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Aprili 26,...