Samata, Ulimwengu kuwakosa Burundi
NYOTA wa kimataifa, Mbwana Samata, Thomas Ulimwengu na Mwinyi Kazimoto, wako shakani kucheza mechi ya kirafiki ya Tanzania na Burundi itakayopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Aprili 26,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLULIMWENGU, SAMATA WAJIUNGA STARS
Mbwana Samatta. Wachezaji Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu wametua Dar es Salaam leo (Mei 17 mwaka huu) mchana, na kujiunga moja kwa moja kwenye kambi ya Taifa Stars kwa ajili ya michuano ya Afrika dhidi ya Zimbabwe (Mighty Warriors). Mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya kwanza ya michuano hiyo itafanyika kesho (Mei 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Thomas Ulimwengu. Washambuliaji hao wa Taifa Stars wamewasili…...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Samata, Ulimwengu ni mfano wa kuigwaÂ
MOJA ya habari za michezo katika vyombo mbalimbali leo ni hatua ya wanasoka wa kimataifa wa Tanzania wanaocheza soka ya kulipwa nchini DR Congo, Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu kwenda...
11 years ago
MichuziULIMWENGU, SAMATA KUWASILI JUMATANO
Washambuliaji Thomas Ulimwengu na Mbwana Samata wa klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) wanawasili nchini keshokutwa alfajiri (Julai 16 mwaka huu) kwa ajili ya mechi dhidi ya Msumbiji (Mambas).
Mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika (AFCON) kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Mambas itachezwa Jumapili (Julai 20 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Ulimwengu na Samata watawasili saa 12 asubuhi kwa ndege ya EgyptAir wakitokea Tunisia...
Mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika (AFCON) kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Mambas itachezwa Jumapili (Julai 20 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Ulimwengu na Samata watawasili saa 12 asubuhi kwa ndege ya EgyptAir wakitokea Tunisia...
11 years ago
MichuziSAMATA, ULIMWENGU KUTUA JUMAMOSI
Wachezaji wa kimataifa wa Tanzania wanaochezea TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu wanatarajiwa kuwasili Jumamosi mchana (Mei 17 mwaka huu) kujiunga na Taifa Stars kwa ajili ya mechi dhidi ya Zimbabwe (Mighty Warriors).
Washambuliaji hao watatokea moja kwa moja Sudan ambapo kesho (Mei 16 mwaka huu) TP Mazembe itacheza mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya timu ya huko.
Ujio wa washambuliaji hao utafanya wachezaji wote kutoka nje...
Washambuliaji hao watatokea moja kwa moja Sudan ambapo kesho (Mei 16 mwaka huu) TP Mazembe itacheza mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya timu ya huko.
Ujio wa washambuliaji hao utafanya wachezaji wote kutoka nje...
11 years ago
TheCitizen09 Aug
Samata, Ulimwengu back in action for TP Mazembe
TP Mazembe are 90 minutes away from securing their 2014 CAF Champions League semfinal place tomorrow when they host Al Hilal of Sudan in a penultimate Group A fixture.
9 years ago
TheCitizen01 Sep
Ulimwengu, Samata jet in to join Stars
Excitement is already building ahead of the 2017 Africa Cup of Nations (Afcon) match against Nigeria as Taifa Stars players plying their trade abroad troop in.
11 years ago
BBCSamata & Ulimwengu boost Tanzania
Strikers Mbwana Samata and Thomas Ulimwengu are available for Tanzania's 2015 Nations Cup qualifier against Zimbabwe.
11 years ago
MichuziSAMATA, ULIMWENGU KUONGEZA NGUVU STARS
Klabu ya TP Mazembe imewaruhusu wachezaji wake Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu kujiunga na timu ya Taifa (Taifa Stars) ambayo tayari imewasili Harare, Zimbabwe kwa ajili ya mechi ya michuano ya Afrika.
Taifa Stars itacheza na Zimbabwe (Mighty Warriors) katika mechi ya marudiano raundi ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika zitakazofanyika mwakani nchini Morocco. Mechi hiyo itachezwa Jumapili (Juni 1 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa jijini Harare.
Samata na Ulimwengu...
Taifa Stars itacheza na Zimbabwe (Mighty Warriors) katika mechi ya marudiano raundi ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika zitakazofanyika mwakani nchini Morocco. Mechi hiyo itachezwa Jumapili (Juni 1 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa jijini Harare.
Samata na Ulimwengu...
11 years ago
GPLULIMWENGU, SAMATA KUWASILI JUMATANO KUWAKABILI MAMBAS
Thomas Ulimwengu. Washambuliaji Thomas Ulimwengu na Mbwana Samata wa klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) wanawasili nchini keshokutwa alfajiri (Julai 16 mwaka huu) kwa ajili ya mechi dhidi ya Msumbiji (Mambas). Mbwana Samata. Mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika (AFCON) kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Mambas itachezwa Jumapili (Julai 20 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania