Samata, Ulimwengu back in action for TP Mazembe
TP Mazembe are 90 minutes away from securing their 2014 CAF Champions League semfinal place tomorrow when they host Al Hilal of Sudan in a penultimate Group A fixture.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLULIMWENGU, SAMATA WAJIUNGA STARS
11 years ago
MichuziULIMWENGU, SAMATA KUWASILI JUMATANO
Mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika (AFCON) kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Mambas itachezwa Jumapili (Julai 20 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Ulimwengu na Samata watawasili saa 12 asubuhi kwa ndege ya EgyptAir wakitokea Tunisia...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Samata, Ulimwengu ni mfano wa kuigwaÂ
MOJA ya habari za michezo katika vyombo mbalimbali leo ni hatua ya wanasoka wa kimataifa wa Tanzania wanaocheza soka ya kulipwa nchini DR Congo, Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu kwenda...
11 years ago
MichuziSAMATA, ULIMWENGU KUTUA JUMAMOSI
Washambuliaji hao watatokea moja kwa moja Sudan ambapo kesho (Mei 16 mwaka huu) TP Mazembe itacheza mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya timu ya huko.
Ujio wa washambuliaji hao utafanya wachezaji wote kutoka nje...
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Samata, Ulimwengu kuwakosa Burundi
NYOTA wa kimataifa, Mbwana Samata, Thomas Ulimwengu na Mwinyi Kazimoto, wako shakani kucheza mechi ya kirafiki ya Tanzania na Burundi itakayopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Aprili 26,...
11 years ago
BBCSamata & Ulimwengu boost Tanzania
11 years ago
MichuziSAMATA, ULIMWENGU KUONGEZA NGUVU STARS
Taifa Stars itacheza na Zimbabwe (Mighty Warriors) katika mechi ya marudiano raundi ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika zitakazofanyika mwakani nchini Morocco. Mechi hiyo itachezwa Jumapili (Juni 1 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa jijini Harare.
Samata na Ulimwengu...
9 years ago
TheCitizen01 Sep
Ulimwengu, Samata jet in to join Stars
9 years ago
Habarileo14 Sep
Samata aipiga 3, aivusha Mazembe Afrika
MSHAMBULIAJI nyota wa Tanzania, Mbwana Samata juzi alifunga mabao matatu kuiwezesha TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kuingia nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.