Samata aipiga 3, aivusha Mazembe Afrika
MSHAMBULIAJI nyota wa Tanzania, Mbwana Samata juzi alifunga mabao matatu kuiwezesha TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kuingia nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen09 Aug
Samata, Ulimwengu back in action for TP Mazembe
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Samata aongoza kupachika mabao TP Mazembe 2013
11 years ago
TheCitizen31 Mar
Samata’s heroics push Mazembe to group stage
11 years ago
Mwananchi27 May
Samata moto ule ule TP Mazembe
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Tp Mazembe mabingwa wa Afrika
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
TP Mazembe nje Klabu Bingwa Afrika
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Mbwana Samatta aipeleka Mazembe fainali Afrika
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MABAO mawili yaliyopachikwa na mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta, yalichangia ushindi wa 3-0 na kuipeleka Klabu ya TP Mazembe kwenye fainali ya Klabu Bingwa Afrika.
TP Mazembe ikicheza kwenye uwanja wake wa nyumbani jijini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, iliifunga El Merreikh ya Sudan katika mchezo wa pili wa nusu fainali iliyochezwa jana.
Katika mchezo wa kwanza uliochezwa jijini Khartoum, TP Mazembe ililala 2-1 huku bao...
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
TP Mazembe yatwaa kombe la Ligi ya Mabingwa Afrika
Mshambuliaji Mtanzania wa Klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo DRC, Thomas Ulimwengu (kushoto) na mchezaji mwenzake raia wa Ghana, Solomon Asante (kiungo wa kati) wakishangilia baada ya kufunga timu ya USM Alger ya nchini Algeria.
Kombe la mshindi wa ligi ya mabingwa Afrika ambalo TP Mazembe wamelitwaa 2015.
Na Rabbi Hume
Klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo DRC imetwaa kombe la ligi ya mabingwa barani Afrika baada ya kuifunga timu ya USM Alger ya nchini Algeria kwa goli mbili (2) kwa bila...
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
TP Mazembe 2-1 USM Alger klabu bingwa Afrika