Samata moto ule ule TP Mazembe
Mshambuliaji Mbwana Samata ameibuka shujaa wa TP Mazembe baada ya kuifungia bao pekee katika mechi dhidi ya AS Vita walipowakishinda bao 1-0 dhidi ya AS Vital katika mchezo wa kwanza wla Kundi A wa Ligi ya Mabingwa Afrika ulilopigwa mwishoni mwa wiki kwenyeatika Uwanja wa Stade TP Mazembe, Lubumbashi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania12 Dec
Mtibwa Sugar mwendo ni ule ule
NA ZAINAB IDDY
KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Mecky Mexime, amesema licha ya kutofanya usajili katika kikosi chake hadi sasa katika usajili wa dirisha dogo, mwendo wao utakuwa ni ule ule kama walioanza nao Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.
Katika msimamo wa ligi hiyo hadi sasa Mtibwa Sugar imecheza mechi tisa ambapo imeshinda mechi saba, sare moja na kupoteza mmoja.
Kwa matokeo hayo, Mtibwa inashika nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi hiyo wakiwa na pointi 22 nyuma ya Yanga waliopo nafasi ya...
9 years ago
Habarileo15 Sep
Kerr: Wembe ni ule ule
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr amesema haoni sababu ya kushindwa kuondoka na pointi tatu nyingine kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga itakapocheza na Mgambo Shooting kesho.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/Bp6VsFxYvcIMJqFuEuMvvhOT2MpHyjBXpdLYfHtYI1pBG5nantAOfseYaFYajS6kkBbU7ipJfQSe1VBTMcvL2MEhLO-fI4LX/MaishanaMahusiano.jpg?width=650)
SHOGA, CHAKULA ULE WEWE KWA NINI UWAKERE WENZAKO?
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OkDvM3TOX0I/U4tXHqmfJjI/AAAAAAAFnCA/Gy5cqSTA_i4/s72-c/unnamed+(36).jpg)
ULE USEMI WA " UZEE MWISHO CHALIZE" UMEPEWA JINA LA MAZOEZI YA KUKATA UZITO !
![](http://2.bp.blogspot.com/-OkDvM3TOX0I/U4tXHqmfJjI/AAAAAAAFnCA/Gy5cqSTA_i4/s1600/unnamed+(36).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/knteGCvZSdU/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wWJjYcdJJ7k/XrzW_nOn7ZI/AAAAAAALqJ0/R_TsHfwBAycfckk63tiZarVBEqG8_O9MwCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252B%252Bkabudi.jpg)
PROF. KABUDI ATAJA SABABU ZA TANZANIA KUTOSHIRIKI MKUTANO WA NCHI NNE NA ULE ULIOTISHWA NA RAIS WA AFRIKA KUSINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-wWJjYcdJJ7k/XrzW_nOn7ZI/AAAAAAALqJ0/R_TsHfwBAycfckk63tiZarVBEqG8_O9MwCLcBGAsYHQ/s400/pic%252B%252Bkabudi.jpg)
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi amefafanua kwa kina sababu za Tanzania kutoshiriki kwenye mikutano ya kikanda ukiwemo mkutano wa Korido ya Kaskazini unaohusisha nchi nne pamoja na mkutano wa SACU uliotishwa na Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa.
Ufafanuzi wa Profesa Kabudi ambao ameutoa leo Mei 13,2020 Bungeni Mjini Dodoma unatokana na kuwepo kwa madai ya baadhi ya watu wasioitakia mema Jumuiya Afrika...