SHOGA, CHAKULA ULE WEWE KWA NINI UWAKERE WENZAKO?
![](http://api.ning.com/files/Bp6VsFxYvcIMJqFuEuMvvhOT2MpHyjBXpdLYfHtYI1pBG5nantAOfseYaFYajS6kkBbU7ipJfQSe1VBTMcvL2MEhLO-fI4LX/MaishanaMahusiano.jpg?width=650)
Shoga zangu, leo nitazunguma nanyi ‘topiki’ inayohuwahusu wenzetu wanaoishi katika nyumba ambazo hazina silingibodi.Naamini hakuna mtu asiyejua maana ya silingibodi, kama wapo ambao nitakuwa nimewaacha hewani, namaanisha wenzetu wanaoishi kwenye nyumba ambazo darini hakujazibwa. Soma zaidi hapa ====>http://bit.ly/1GiCHTx
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nMkb-Djjb3e1r6sb74eUtDFk4dEfboeIIVcCDCGe9SMOhEX*a-Uan2xeFv2iBKxj6s33WTpek5dY4262C5KA3*LKtCJZPgZF/LOVE6.jpg)
SHOGA: UKIMDHARAU MUMEO WENZAKO WATAMCHUKUA JUMLA
Shoga, awali ya yote napenda kuwaasa kwamba ukifika muda wa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Kupiga Kura kwenye maeneo yenu, jitokezeni kwa wingi kujiandikisha ili mpate fursa ya kuwachagua viongozi mnaowataka akiwemo rais kwani bila kufanya hivyo hamtapata nafasi hiyo. Baada ya kutoa rai hiyo, sasa ngoja nirejee kwenye jambo nililokusudia kuzungumza nanyi linalohusu dharau dhidi ya waume zetu tabia ambayo inafanywa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HMrNkLH2ZKO73Ll*CaIeDxsZWlT*qJhM2r-kEh2iGQ2Kdq70rwQ-AGl11PFRl0ri4KscxZlvELhdqcEunRoNHYc0Dnm9hoFz/25.jpg?width=650)
SHOGA: MUANDAE MUMEO KWA CHAKULA CHA USIKU
Kabla sijaanza kuelezea nilichokusudia kukudodosea leo, napenda kuwapa pole ndugu, jamaa na marafiki ambao wamewapoteza wapendwa wao kwenye ajali zilizotokea sehemu mbalimbali nchini hivi karibuni. Hakika ajali hizo zimeacha simanzi kwa wengi kwani wapo waliowapoteza waume, wake, watoto, kaka, dada na marafiki zao wa karibu, nawapa pole na kuwaomba wamshukuru Mungu kwa kila jambo!Baada ya kusema hayo, sasa narejea kwenye mada...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx23S5CJrG-SuiqdayiwgG3Amj8TGb2WlzoSAX5VcTGCA3el67epRDdBH899I2bxWuD9wWmHI-2KBDgs-UWZS7jPQ/unhappywoman.jpg?width=650)
SHOGA: KWA NINI MUMEO AKUSALITI?
Kama ilivyoada binadamu kujuliana hali, napenda kuwafahamisha kwamba hali yangu ni nzuri sijui kwa upande wenu.
Shoga zangu, kwa kuwa nchi yetu inajiandaa kwa uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na rais utakaofanyika Oktoba mwaka huu, napenda kuwashauri msijiweke mbali na kila kinachojiri kuhusiana na ishu hiyo ili kuelewa mambo mbalimbali ya kisiasa kabla ya kuwachagua viongozi wetu hususan rais. Leo shoga zangu nimekuja na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOobD*cF7rlGFmi8MUyfbOGAIg8TRfaHq5*RuDey6y2iBpEpinrHX-AjNIq0EXRHw7MkYgPHt2fQeC0JM6JZiJ2qL/mahaba.jpg)
UNASEMA WA NINI, WENZAKO WANAJIULIZA WATAMPATA LINI?
HUU ni msemo maarufu sana katika jamii yetu. Umekuwa ukitumika kama moja ya misemo ya kupeana faraja baina ya watu, kwani mahangaiko na mizunguko ya maisha inawafanya watu wengine kukata tamaa mapema, wakiamini kuwa wao hawana thamani. Ndiyo, kuna watu wengi wanaumizwa sana na mapenzi, wakubwa kwa wadogo. Wapo wanaoumia sana wakiwa katika ndoa zao, kinachowaumiza ni nyenendo zenye kutia shaka za wenza wao. Siyo kwamba wana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-R-ViKV3j1qek1jkBtUaK0UU2c12LWGWiOLC1r*4Y47c1*2t0ak79csQIXLAkFBiH6CG-fbB5qS*e1DnWgf-j*7/lOVES.jpg)
KWA NINI UACHWE WEWE KILA SIKU?
Mungu ni mwema! Leo kama ada tunakutana mpenzi msomaji wangu wa Love & Life katika kilinge chetu hiki kwa lengo la kuelimishana na kukumbushana masuala ya mahusiano ambayo yametawala kwa kiasi kikubwa maisha yetu. Leo tutazungumzia kuhusu tatizo linaloonekana kukithiri na kuwatatiza watu wengi ambao wamejaribu kuingia kwenye uhusiano wa mapenzi na kujikuta wakiambulia maumivu ya kuachwa kila mara na watu waliowakabidhi mioyo yao...
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Pinda anatafuta utajiri kwa kuuza embe, wewe unafanya nini? — (1)
Siku hizi vijana wengi ambao wako tu mitaani bila shughuli wakidai kuwa hawana ajira.Hawa utawaona vijiweni ama wakizurura tu mitaani kuanzia asubuhi hadi jioni.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZHwlIMnY51KXHspB1rmh2d3gvbrzQclbk8dPGg6h9V-e4LNWKQAWHJ5NLASFpw8za-ykag6U4Akh4cw5S-*WnUYlRjsKfOAk/blackcoupleondate.png?width=650)
SHOGA; HATA WEWE UNAWEZA KUMTOA ‘OUT’ MUMEO!
Shoga yangu, kwa uweza wa Jalia ni matumaini yangu kwamba hali yako ni nzuri na unaendelea kupambana na maisha kwa sababu bila kufanya hivyo ni wazi utakwama na kujikuta ukiishia kuwa ombaomba jambo ambalo siyo zuri. Kwa upande wangu nipo bukheri wa afya na nipo ofisini nakuandalia mada ya wiki ijayo lengo likiwa lilelile la kupeana elimu ya uhusiano na kukosoana pale inapotokea wenzetu wanakwenda ndivyo sivyo. Leo shoga yangu...
11 years ago
Mwananchi27 May
Samata moto ule ule TP Mazembe
Mshambuliaji Mbwana Samata ameibuka shujaa wa TP Mazembe baada ya kuifungia bao pekee katika mechi dhidi ya AS Vita walipowakishinda bao 1-0 dhidi ya AS Vital katika mchezo wa kwanza wla Kundi A wa Ligi ya Mabingwa Afrika ulilopigwa mwishoni mwa wiki kwenyeatika Uwanja wa Stade TP Mazembe, Lubumbashi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania