Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHOGA: MUANDAE MUMEO KWA CHAKULA CHA USIKU

Kabla sijaanza kuelezea nilichokusudia kukudodosea leo, napenda kuwapa pole ndugu, jamaa na marafiki ambao wamewapoteza wapendwa wao kwenye ajali zilizotokea sehemu mbalimbali nchini hivi karibuni. Hakika ajali hizo zimeacha simanzi kwa wengi kwani wapo waliowapoteza waume, wake, watoto, kaka, dada na marafiki zao wa karibu, nawapa pole na kuwaomba wamshukuru Mungu kwa kila jambo!Baada ya kusema hayo, sasa narejea kwenye mada...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

SHOGA: CHAKULA CHA USIKU KINAANDALIWA MAPEMA!

Shoga yangu, ni matumaini yangu kwamba haujambo na unaendelea vyema na malezi ya familia akiwemo shemeji yangu. Kwa upande wangu, nipo buheri wa afya.Leo shoga yangu nitazungumza nawe mada inayohusiana na kichwa kilichopo hapo juu, ni kweli kabisa chakula cha usiku kinapaswa kuandaliwa mapema. Nafikiri shoga yangu, utakuwa umeelewa namaanisha nini maana hakuna kitu ambacho kinaweza kufanyika vizuri bila kukifanyia maandalizi, iwe...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: VUNJA UKIMYA IKIWA HUSHIBI CHAKULA CHA USIKU!

SALAMU kwenu mashoga zangu, najua mko gado kama nilivyo mimi, leo ni siku nyingine tumekutana tena kupeana ujanja wa kukimiliki chumba, wakiwemo waume zetu kwenye uwanja wa kujidai. Malalamiko juu ya kutotosheka kwenye chakula chetu cha usiku nimekuwa nikiyapata kutoka kwa mashoga wengi ambao ni wadau wangu wa safu hii, jambo linalonishangaza zaidi wengi wao wamekuwa wakinitonya kuwa huona aibu kuwaambia waume zao juu ya...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: MPIGE ‘STOP’ MUMEO KUCHEKA NA SHOGA ZAKO!

Shoga, ni matumaini yangu hali yako ipo poa na unaendelea kusaka ugali wa kula watoto kama kawaida.
Kwa upande wangu namshukuru Mwenyezi Mungu, afya yangu, wanangu na mume wangu ni nzuri kabisa.
Baada ya wiki iliyopita kuzungumza nawe kuhusu kuyafanyia kazi yote uliyofundishwa na kungwi wako ili umpagawishe mumeo na kumfanya atulie nyumbani, leo nimekuandalia kitu tofauti. Nafanya hivyo ili kuufungua ubongo wako katika suala...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: KWA NINI MUMEO AKUSALITI?

Kama ilivyoada binadamu kujuliana hali, napenda kuwafahamisha kwamba hali yangu ni nzuri sijui kwa upande wenu.
Shoga zangu, kwa kuwa nchi yetu inajiandaa kwa uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na rais utakaofanyika Oktoba mwaka huu, napenda kuwashauri msijiweke mbali na kila kinachojiri kuhusiana na ishu hiyo ili kuelewa mambo mbalimbali ya kisiasa kabla ya kuwachagua viongozi wetu hususan rais. Leo shoga zangu nimekuja na...

 

9 years ago

GPL

SHOGA; USIMKOMOE MUMEO KWA KERO ZA KAZINI KWAKO!

Shoga yangu, kwa kuwa siku za kupiga kura kumchagua rais, wabunge na madiwani zimekaribia naendelea kutoa rai kwa kila mmoja kuhudhuria kwenye mikutano ya kampeni kusikiliza sera za wagombea ili Oktoba 25 ikifika muwachague viongozi bora. Leo shoga yangu nataka kuwazungumzia baadhi ya wenzetu wanaofanya mambo ndivyo sivyo kwa waume zao na kusababisha mifarakano ndani ya ndoa.Kawaida katika harakati za kutafuta riziki ambazo...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: MTOTO ASIKUTENGANISHE NA MUMEO!

Shoga zangu, ni matumaini yangu kwamba nyote mtakuwa na afya njema na mapambano ya maisha yanaendelea vizuri licha ya kuwa na changamoto za hapa na pale.Kwa upande wangu ondoeni shaka, afya yangu ni njema na mume na watoto wetu wapo poa kabisa. Leo shoga zangu nimeamua kuzungumza nanyi kuhusu uzembe unaofanywa na baadhi ya wenzetu baada ya kupata watoto na kusahau kabisa majukumu yao kwa waume zao.Nimeamua kuzungumza nanyi ishu...

 

10 years ago

Vijimambo

Chakula cha usiku kuchangia fedha za ujenzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani la Kanisa hilo, Askofu Alex Malasusa pamoja na wachungaji wengine wa KKKT wakati wa chakula cha usiku kuchangia fedha za ujenzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini, tawi la Dar Es Salaam, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee usiku wa Ijumaa, Machi 12, 2015. Katika uchangiaji huo, Rais Kikwete...

 

10 years ago

GPL

SHOGA, CHAKULA ULE WEWE KWA NINI UWAKERE WENZAKO?

Shoga zangu, leo nitazunguma nanyi ‘topiki’ inayohuwahusu wenzetu wanaoishi katika nyumba ambazo hazina silingibodi.Naamini hakuna mtu asiyejua maana ya silingibodi, kama wapo ambao nitakuwa nimewaacha hewani, namaanisha wenzetu wanaoishi kwenye nyumba ambazo darini hakujazibwa. Soma zaidi hapa ====>http://bit.ly/1GiCHTx

 

10 years ago

GPL

SHOGA: MUMEO ANAKURIDHISHA MCHEPUKO WA NINI?

Asalaam alaykhum shoga yangu! Kwa upande wangu nipo vizuri sana kuanzia kiafya pamoja na kiuchumi.
Shoga, kabla sijaanza kukueleza nilichokuandalia leo, napenda kumpa pole mama wa mabinti wawili wakazi wa mkoani Pwani kwa masaibu yaliyowapata ya kubakwa na baba yao mzazi. Hakika tukio hilo limenihuzunisha sana mbaya zaidi ni pale baadhi ya ndugu wa mumewe wanampomtishia maisha mama huyo kwa kitendo cha kumfikisha mumewe kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani