Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHOGA: KWA NINI MUMEO AKUSALITI?

Kama ilivyoada binadamu kujuliana hali, napenda kuwafahamisha kwamba hali yangu ni nzuri sijui kwa upande wenu.
Shoga zangu, kwa kuwa nchi yetu inajiandaa kwa uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na rais utakaofanyika Oktoba mwaka huu, napenda kuwashauri msijiweke mbali na kila kinachojiri kuhusiana na ishu hiyo ili kuelewa mambo mbalimbali ya kisiasa kabla ya kuwachagua viongozi wetu hususan rais. Leo shoga zangu nimekuja na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHOGA: MUMEO ANAKURIDHISHA MCHEPUKO WA NINI?

Asalaam alaykhum shoga yangu! Kwa upande wangu nipo vizuri sana kuanzia kiafya pamoja na kiuchumi.
Shoga, kabla sijaanza kukueleza nilichokuandalia leo, napenda kumpa pole mama wa mabinti wawili wakazi wa mkoani Pwani kwa masaibu yaliyowapata ya kubakwa na baba yao mzazi. Hakika tukio hilo limenihuzunisha sana mbaya zaidi ni pale baadhi ya ndugu wa mumewe wanampomtishia maisha mama huyo kwa kitendo cha kumfikisha mumewe kwenye...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: MPIGE ‘STOP’ MUMEO KUCHEKA NA SHOGA ZAKO!

Shoga, ni matumaini yangu hali yako ipo poa na unaendelea kusaka ugali wa kula watoto kama kawaida.
Kwa upande wangu namshukuru Mwenyezi Mungu, afya yangu, wanangu na mume wangu ni nzuri kabisa.
Baada ya wiki iliyopita kuzungumza nawe kuhusu kuyafanyia kazi yote uliyofundishwa na kungwi wako ili umpagawishe mumeo na kumfanya atulie nyumbani, leo nimekuandalia kitu tofauti. Nafanya hivyo ili kuufungua ubongo wako katika suala...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: MUANDAE MUMEO KWA CHAKULA CHA USIKU

Kabla sijaanza kuelezea nilichokusudia kukudodosea leo, napenda kuwapa pole ndugu, jamaa na marafiki ambao wamewapoteza wapendwa wao kwenye ajali zilizotokea sehemu mbalimbali nchini hivi karibuni. Hakika ajali hizo zimeacha simanzi kwa wengi kwani wapo waliowapoteza waume, wake, watoto, kaka, dada na marafiki zao wa karibu, nawapa pole na kuwaomba wamshukuru Mungu kwa kila jambo!Baada ya kusema hayo, sasa narejea kwenye mada...

 

9 years ago

GPL

SHOGA; USIMKOMOE MUMEO KWA KERO ZA KAZINI KWAKO!

Shoga yangu, kwa kuwa siku za kupiga kura kumchagua rais, wabunge na madiwani zimekaribia naendelea kutoa rai kwa kila mmoja kuhudhuria kwenye mikutano ya kampeni kusikiliza sera za wagombea ili Oktoba 25 ikifika muwachague viongozi bora. Leo shoga yangu nataka kuwazungumzia baadhi ya wenzetu wanaofanya mambo ndivyo sivyo kwa waume zao na kusababisha mifarakano ndani ya ndoa.Kawaida katika harakati za kutafuta riziki ambazo...

 

11 years ago

GPL

HIVI UNAMNYIMA NINI, UMEBADILIKAJE MPAKA AKUSALITI?

Kesi za wapenzi na wanandoa kusalitiana zimekuwa zikiongezeka kila kukicha. Uaminifu umekosekana baina ya wale wanaodai wanapendana kiasi kwamba hakuna anayeweza kusimama na kusema kuwa, hasalitiwi. Utafiti unaonesha kwamba, hata wale ambao wanajiaminisha kuwa wapenzi wao ni watulivu wasio na mawazo ya kuchepuka, wamekuwa wakizungukwa bila wao kujua.
Si hivyo tu, wapo ambao wanajua wazi kwamba wapenzi wao hawajatulia lakini ili...

 

9 years ago

GPL

KWA NINI UMUACHE MUMEO KISA UMEMFUMANIA?

Habari zenu wasomaji wa safu hii, bila shaka ni wazima na mnaendelea vema na kazi za kulijenga taifa letu ambalo limejaa amani tele. Kwa hilo namshukuru Mungu hata uchaguzi umeisha salama, leo nimekuja na mada mpya ya kukupa ujasiri ili usiikimbie nyumba yako kwa sababu umemfumania mumeo. Wanawake wengi wamekuwa na tabia ya kuwafuma waume zao na kwa hasira kuamua kuwaacha na kwenda nyumbani wakishakaa huko wanaanza kutamani...

 

10 years ago

GPL

KWA NINI UNAMUACHA MUMEO ANALALA NA SURUALI?

BILA shaka wiki iliyopita mlifurahia mada ya n‘makosa ya wanawake, wanaume katika kuridhishana’ kwani nilipata ujumbe (SMS) kutoka kwa watu mbalimbali wakielezea kuguswa na mada hiyo. Wapo walioomba ushauri wa jinsi ya kumtendea mume ili ndoa iwe na Amani muda wote. Lakini kuna ujumbe wa mwanamke mmoja ulinifikia akilalamikia kuhusu tabia iliyokomaa ya mumewe kulala na suruali mpaka asubuhi. Na mimi nikaamua kutumia...

 

9 years ago

Global Publishers

Kwa nini usiwe mstahimilivu kwa mumeo hadi unachepuka?

sex-habits-of-super-happy-couplesKWANZA nianze kwa kuwasalimu wapenzi wasomaji wangu wa kona hii, assalamu alaykum na kwa wale wagonjwa ugueni pole na tuzidi kuombeana.

Baada ya kuwaeleza hayo, niingie moja kwa moja kwenye mada yetu ya leo iliyobeba kichwa cha habari, kwa nini usiwe mstahimilivu kwa mumeo hadi unafikia hatua ya kuchepuka?

Siku hizi wanawake wengi walio ndani na nje ya ndoa wameyageuza mapenzi kama vile fasheni, wanaishi katika ndoa vizuri lakini mwenza wake akipata matatizo kidogo tu anaamua kuanzisha tabia...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: MTOTO ASIKUTENGANISHE NA MUMEO!

Shoga zangu, ni matumaini yangu kwamba nyote mtakuwa na afya njema na mapambano ya maisha yanaendelea vizuri licha ya kuwa na changamoto za hapa na pale.Kwa upande wangu ondoeni shaka, afya yangu ni njema na mume na watoto wetu wapo poa kabisa. Leo shoga zangu nimeamua kuzungumza nanyi kuhusu uzembe unaofanywa na baadhi ya wenzetu baada ya kupata watoto na kusahau kabisa majukumu yao kwa waume zao.Nimeamua kuzungumza nanyi ishu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani