Kwa nini usiwe mstahimilivu kwa mumeo hadi unachepuka?
KWANZA nianze kwa kuwasalimu wapenzi wasomaji wangu wa kona hii, assalamu alaykum na kwa wale wagonjwa ugueni pole na tuzidi kuombeana.
Baada ya kuwaeleza hayo, niingie moja kwa moja kwenye mada yetu ya leo iliyobeba kichwa cha habari, kwa nini usiwe mstahimilivu kwa mumeo hadi unafikia hatua ya kuchepuka?
Siku hizi wanawake wengi walio ndani na nje ya ndoa wameyageuza mapenzi kama vile fasheni, wanaishi katika ndoa vizuri lakini mwenza wake akipata matatizo kidogo tu anaamua kuanzisha tabia...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSHOGA: KWA NINI MUMEO AKUSALITI?
9 years ago
GPLKWA NINI UMUACHE MUMEO KISA UMEMFUMANIA?
10 years ago
GPLKWA NINI UNAMUACHA MUMEO ANALALA NA SURUALI?
11 years ago
GPLUNAJIAMINI NINI HADI UJINYIME KWA AJILI YA MAISHA YA BAADAYE?
10 years ago
GPLSHOGA: MUMEO ANAKURIDHISHA MCHEPUKO WA NINI?
10 years ago
GPLKWA NINI BEI YA MAFUTA KWA WALAJI HAISHUKI KWA KASI?
10 years ago
Vijimambo24 Oct
NINI CHA KUFANYA MUMEO ANAPOZAA NJE YA NDOA?-2
Ni wiki nyingine tunapokutana tena katika ukurasa wetu huu. Mada ambayo tulianza kuijadili wiki iliyopita, ilikuwa ni nini cha kufanya unapogundua kuwa mumeo amezaa mtoto nje ya ndoa.
Tuliangalia mfano wa dada yetu mmoja ambaye alieleza kisa chake jinsi mumewe alivyozaa mtoto nje ya ndoa kiasi cha kumfanya ashindwe cha kuamua. Maoni yalikuwa mengi mno, nikushukuru msomaji wangu uliyeshiriki kutoa maoni yako.
Nilichojifunza na ambacho nataka na wewe msomaji wangu, ambaye una tatizo kama hili...
10 years ago
GPLNINI CHA KUFANYA MUMEO ANAPOZAA NJE YA NDOA?
10 years ago
GPLNINI CHA KUFANYA MUMEO ANAPOZAA NJE YA NDOA?-2