Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHOGA: CHAKULA CHA USIKU KINAANDALIWA MAPEMA!

Shoga yangu, ni matumaini yangu kwamba haujambo na unaendelea vyema na malezi ya familia akiwemo shemeji yangu. Kwa upande wangu, nipo buheri wa afya.Leo shoga yangu nitazungumza nawe mada inayohusiana na kichwa kilichopo hapo juu, ni kweli kabisa chakula cha usiku kinapaswa kuandaliwa mapema. Nafikiri shoga yangu, utakuwa umeelewa namaanisha nini maana hakuna kitu ambacho kinaweza kufanyika vizuri bila kukifanyia maandalizi, iwe...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHOGA: MUANDAE MUMEO KWA CHAKULA CHA USIKU

Kabla sijaanza kuelezea nilichokusudia kukudodosea leo, napenda kuwapa pole ndugu, jamaa na marafiki ambao wamewapoteza wapendwa wao kwenye ajali zilizotokea sehemu mbalimbali nchini hivi karibuni. Hakika ajali hizo zimeacha simanzi kwa wengi kwani wapo waliowapoteza waume, wake, watoto, kaka, dada na marafiki zao wa karibu, nawapa pole na kuwaomba wamshukuru Mungu kwa kila jambo!Baada ya kusema hayo, sasa narejea kwenye mada...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: VUNJA UKIMYA IKIWA HUSHIBI CHAKULA CHA USIKU!

SALAMU kwenu mashoga zangu, najua mko gado kama nilivyo mimi, leo ni siku nyingine tumekutana tena kupeana ujanja wa kukimiliki chumba, wakiwemo waume zetu kwenye uwanja wa kujidai. Malalamiko juu ya kutotosheka kwenye chakula chetu cha usiku nimekuwa nikiyapata kutoka kwa mashoga wengi ambao ni wadau wangu wa safu hii, jambo linalonishangaza zaidi wengi wao wamekuwa wakinitonya kuwa huona aibu kuwaambia waume zao juu ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Chakula cha usiku kuchangia fedha za ujenzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani la Kanisa hilo, Askofu Alex Malasusa pamoja na wachungaji wengine wa KKKT wakati wa chakula cha usiku kuchangia fedha za ujenzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini, tawi la Dar Es Salaam, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee usiku wa Ijumaa, Machi 12, 2015. Katika uchangiaji huo, Rais Kikwete...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ZALI WAKIPATA CHAKULA CHA USIKU

Mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady' (wa tatu kulia) akipata chakula cha usiku na wageni wake wakiongozwa na staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' (katikati) usiku wa kuamkia leo nchini Uganda. Diamond…

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete amwandalia Bwana joe Ricketts Chakula cha Usiku

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha ikulu Bwana Joe Ricketts ambaye ni Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi ya Opportunity Education Foundation ya Marekani.Rais Kikwete alimwandalia mgeni wake chakula cha usiku. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipa zawadi ya kinyago cha mpingo Bwana Joe Ricketts wakati wa chakula cha usiku alichomwandalia ikulu jijini Dar es Salaam leo jioni.Bwana Ricketts amezifadhili shule kadhaa hapa nchini kwa teknolojia ya teknohama kwa kuzipatia...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS OBAMA AKIPATA CHAKULA CHA USIKU NDANI YA ARDHI YA BABA YAKE

Beaming: A happy Barack Obama joined a family dinner with his step-grandmother Mama Sarah, to his left, and half-sister Auma, to his right, at a family meal in Nairobi, Kenya
State occasion: The family gathering came as Obama made his first visit to Kenya as president
Big meeting: Obama went to the meal in Nairobi at the hotel where he was staying soon after landing in the capital
Some three-dozen people were at the meal sitting round the President at the Villa Rosa Kempinski hotel, where he is...

 

10 years ago

Dewji Blog

JK amuandalia Rais wa Ujerumani dhifa ya kitaifa ya chakula cha usiku, Ikulu jijini Dar

Picha na 0

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete(wa pili kutoka kulia) na mgeni wake Rais wa Shirikisho la Ujerumani, Joachim Gauck (wa tatu kutoka kulia) wakifurahia wakati wa dhifa ya kitaifa ya chakula cha usiku aliyomwandalia  kiongozi  huyo jana usiku, Ikulu jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mke wa Rais wa Tanzania, mama Salma Kikwete na Mke wa Rais wa Ujerumani Bi. Daniella Schadt.

Picha na 1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (wa pili kutoka kulia) akiwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR, BALOZI SEIF AWAANDALIA CHAKULA CHA USIKU WATENDAJI WA TAASISI ZILIZO CHINI YA OFISI YAKE

Balozi Seif akitoa nasaha zake mara baada ya kuwaandalia chakula cha usiku Viongozi na Watenmdaji wa Taasisi zilizochini ya Ofisi yake kufuatia kupitishwa kwa Bajeti ya Wizara hiyo pamoja na kuagana baada ya kufanyakazi pamoja katika kipindi cya miaka mitano iliyopita.Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mh. Mohammed Aboud Mohammed akizungumza kabla ya kumkaribisha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif kuzungumza na Viongozi na watendaji wa Ofisi yake.Makamu wa...

 

10 years ago

GPL

RAIS JAKAYA KIKWETE AMUANDALIA RAIS WA UJERUMANI DHIFA YA KITAIFA YA CHAKULA CHA USIKU, IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete(wa pili kutoka kulia) na mgeni wake Rais wa Shirikisho la Ujerumani, Joachim Gauck (wa tatu kutoka kulia) wakifurahia wakati wa dhifa ya kitaifa ya chakula cha usiku aliyomwandalia  kiongozi   huyo jana usiku, Ikulu jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mke wa Rais wa Tanzania, mama Salma Kikwete na Mke wa Rais wa Ujerumani Bi. Daniella Schadt.…
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani