Chakula cha usiku kuchangia fedha za ujenzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini
![](http://3.bp.blogspot.com/-ONX7daM5GMw/VQWthvCpHNI/AAAAAAADcs4/NMM2xvG0YU8/s72-c/0L7C3863.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani la Kanisa hilo, Askofu Alex Malasusa pamoja na wachungaji wengine wa KKKT wakati wa chakula cha usiku kuchangia fedha za ujenzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini, tawi la Dar Es Salaam, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee usiku wa Ijumaa, Machi 12, 2015. Katika uchangiaji huo, Rais Kikwete...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XswnwlaLlAiLoGgL8CrHx7lrZ11s5SccYFokRh6zk3vlE5FcEsDIjJ-MYPP69MtEDyo0AkcsbDDUBwhaZmd77Q9Jthzq9n6r/0L7C3878.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ASHIRIKI ZOEZI LA KUCHANGIA FEDHA ZA UJENZI WA CHUO KIKUU CHA TUMAINI TAWI LA DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ie43xXmRuEg/VQNooKKajGI/AAAAAAAHKK4/_WRB3bfSHFI/s72-c/mm1.jpg)
JK AFANIKISHA HARAMBEE YA KUCHANGIA UJENZI WA CHUO KIKUU CHA TUMAINI, 1.6bn/- zapatikana usiku huu diamond jubilee hall dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ie43xXmRuEg/VQNooKKajGI/AAAAAAAHKK4/_WRB3bfSHFI/s1600/mm1.jpg)
10 years ago
Vijimambo09 Feb
RAIS KIKWETE AKUTANA NA UONGOZI WA CHUO KIKUU CHA TUMAINI IKULU LEO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-U1vIy1Uy-H0%2FVNi35ZIfSFI%2FAAAAAAADX0s%2FZDUhc9mKz-M%2Fs1600%2Fkkkt2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-8Uj-Ti0i0ak%2FVNi38oIb2JI%2FAAAAAAADX08%2F_-Ba9duB0S0%2Fs1600%2Fkkkt3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
PICHA NA IKULU
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QTxMhUqZpR0/VVmdNsKqOyI/AAAAAAAC4n8/WdFMXePpnI0/s72-c/unnamed.jpg)
Benki ya Exim yachangia fedha Chuo Kikuu cha UDOM
![](http://2.bp.blogspot.com/-QTxMhUqZpR0/VVmdNsKqOyI/AAAAAAAC4n8/WdFMXePpnI0/s640/unnamed.jpg)
BENKI ya Exim Tanzania imechangia fedha kiasi cha shilingi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/26rh2i2B5MblVFMJKkmKMcmSyeGBNryDrtHQQ9Rq7PZTO5pihwLl5g4CVlagW3qQa9ph5Kt*BkAvvIhEfVL-gnxqeIFSNnMy/IMG20140923WA0003.jpg)
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA USHIRIKA NA BIASHARA MOSHI (MUCCOBS) CHAWA CHUO KIKUU KAMILI
9 years ago
Vijimambo31 Aug
TAARIFA YA NDUGU JOSEPH MUNGAI KUHUSU UJENZI WA SHULE ZA KATA NA CHUO KIKUU CHA UDOM. 5/3/2015:
![](http://api.ning.com/files/M8fY2*UDgJxDva8cen0vQl0mCTu3SgDG0qpclwag6oClgy6GkCCn3z4YW0M117uq6A8OUGpoc9HvP9d2*RNaKMKCDds-*LnD/3.jpg)
Shule za sekondari za kata zilijengwa na nguvu za wananchi wenyewe serikali ya awamu ya Tatu chini ya Rais Benjamin W. Mkapa ndio ilihamazisha kila kata nchini nzima kuwe na sekondari waziri wa elimu nikiwa mimi Joseph Mungai.
Nikiwa waziri wa elimu na utamaduni wakati huo niliteua kikosi kazi...
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA MBEYA AONGOZA CHAKULA CHA HISANI KUCHANGIA UJENZI WA NJIA ZA KUPITISHIA WAGONJWA HOSPITALI YA MKOA WA MBEYA.
MKUU wa wilaya ya Mbeya Dk. Norman Sigallah King, juzi usiku aliwaongoza wakazi wa Jiji la Mbeya kwenye chakula cha hisani ya kuchangia ujenzi wa njia za kupitishia wagonjwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mbeya.
Mwenyekiti wa Kamati ya Marafiki wa Hospitali ya Mkoa wa Mbeya, Oleais Senga, Akimkaribisha mgeni rasmi
Baadhi ya wananchi waliohudhuria hafla hiyo
Subilaga Mwambeta Mkurugenzi AJ Technology moja ya wachangiaji wakubwa wa marafiki wa hospitali ya mkoa Mbeya
Lyimo M.L Meneja Beaco Resort
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-XKfcZHvkwWA/VCg2xm6jR_I/AAAAAAAAnWs/lqq6nqRBNKo/s72-c/12.jpg)
hafla ya Chakula cha jioni cha kuchangia Mfuko wa Bonnah Education Trust Fund yafana jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-XKfcZHvkwWA/VCg2xm6jR_I/AAAAAAAAnWs/lqq6nqRBNKo/s1600/12.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tcqsRuQmZhE/VCg2ySvjhsI/AAAAAAAAnWw/dOwT6RVazNA/s1600/10.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Dkt. Bilal ashiriki hafla ya chakula cha jioni cha hisani kuchangia mfuko wa kampeni wa jitolee kwa ajili ya kinamama wa Afrika, Jijini Dar
Makamua wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa hafla ya Chakula cha Hisani kwa ajili ya kuchangia Mfuko wa Kampeni ya Jitolee kwa ajili ya Akinamama wa Afrika, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Serena jana usiku Oktoba 9, 2014 jijini Dar es Salaam. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti, Mkurugenzi Mtendaji wa Push Mobile, Freddie Manento, wakati wa hafla ya Chakula...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10