TAARIFA YA NDUGU JOSEPH MUNGAI KUHUSU UJENZI WA SHULE ZA KATA NA CHUO KIKUU CHA UDOM. 5/3/2015:
Sijawahi kuona tangu nizaliwe kuona baadhi ya watu wana mawazo ya mgando na akili ya kusahau lini Lowassa alijenga shule za kata? Mimi ndiye nilikuwa waziri wa elimu na utamaduni kwa miaka miaka minane.
Shule za sekondari za kata zilijengwa na nguvu za wananchi wenyewe serikali ya awamu ya Tatu chini ya Rais Benjamin W. Mkapa ndio ilihamazisha kila kata nchini nzima kuwe na sekondari waziri wa elimu nikiwa mimi Joseph Mungai.
Nikiwa waziri wa elimu na utamaduni wakati huo niliteua kikosi kazi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi07 Nov
11 years ago
Michuzi28 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QTxMhUqZpR0/VVmdNsKqOyI/AAAAAAAC4n8/WdFMXePpnI0/s72-c/unnamed.jpg)
Benki ya Exim yachangia fedha Chuo Kikuu cha UDOM
![](http://2.bp.blogspot.com/-QTxMhUqZpR0/VVmdNsKqOyI/AAAAAAAC4n8/WdFMXePpnI0/s640/unnamed.jpg)
BENKI ya Exim Tanzania imechangia fedha kiasi cha shilingi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-er_KYZ2ljNs/VZoi5hN2h6I/AAAAAAAHnNU/rt6BKAPZoCg/s72-c/MBLE2-296x330.jpg)
MAJADILIANO KATI YA MANDELA PALLANGYO NA PROFESA JOSEPH MBELE WA CHUO KIKUU CHA OLAF CHA MAREKANI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-er_KYZ2ljNs/VZoi5hN2h6I/AAAAAAAHnNU/rt6BKAPZoCg/s400/MBLE2-296x330.jpg)
PROF: JOSEPH MBELE
Mimi ni mwalimu na ninauona uandishi kama sehemu ya ufundishaji au aina ya ufundishaji. Ndio maana uandishi wangu unaelekea zaidi katika mambo yanayoelimisha. Kazi pekee niliyoitamani hata kabla sijaanza shule ilikuwa ni ualimu. Kwa hivyo, ninapenda kuandika kama ninavyopenda kufundisha darasani.
Uliwahi kukutana na maneno mabaya kama kukatishwa tamaa au kukashifiwa wakati...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ONX7daM5GMw/VQWthvCpHNI/AAAAAAADcs4/NMM2xvG0YU8/s72-c/0L7C3863.jpg)
Chakula cha usiku kuchangia fedha za ujenzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini
![](http://3.bp.blogspot.com/-ONX7daM5GMw/VQWthvCpHNI/AAAAAAADcs4/NMM2xvG0YU8/s1600/0L7C3863.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QoahvC0Oiv8/U4sAL90JAFI/AAAAAAAFm5c/ZLod_XE9CWI/s72-c/unnamed+(3).jpg)
TAARIFA YA MSIBA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-QoahvC0Oiv8/U4sAL90JAFI/AAAAAAAFm5c/ZLod_XE9CWI/s1600/unnamed+(3).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/26rh2i2B5MblVFMJKkmKMcmSyeGBNryDrtHQQ9Rq7PZTO5pihwLl5g4CVlagW3qQa9ph5Kt*BkAvvIhEfVL-gnxqeIFSNnMy/IMG20140923WA0003.jpg)
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA USHIRIKA NA BIASHARA MOSHI (MUCCOBS) CHAWA CHUO KIKUU KAMILI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8xxESOC5VHw/VHCqTHijbHI/AAAAAAAGy8s/tALqK3IrqnI/s72-c/Untitled1.png)
TAARIFA YA MSIBA KATIKA CHUO KIKUU CHA KUMBUKUMBU YA HUBERT KAIRUKI (HKMU)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8xxESOC5VHw/VHCqTHijbHI/AAAAAAAGy8s/tALqK3IrqnI/s1600/Untitled1.png)
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki, anasikitika kutangaza kifo cha Dk. Kitindi Hemedi Kumpuni (Mhadhiri Idara ya Magonjwa ya akina Mama), kilichotokea tarehe 21 Novemba 2014, saa 8:30 mchana, katika Hospitali ya Kairuki, baada ya kuugua kwa muda mfupi. Msiba uko nyumbani kwa marehemu Oysterbay, barabara ya Bongoyo.
Marehemu atazikwa siku ya Jumapili tarehe 23.11.2014, Saa 10 jioni katika makaburi ya Kisutu DSM.
Kwa taarifa zaidi piga simu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cqokYXO_vLE/Xs1rZmTOTiI/AAAAAAALrqM/atZZyU81f4UMUNUImzzEaGVm2lKIDC9SwCLcBGAsYHQ/s72-c/51896bd8-3bcb-4cef-beb5-e71dea6d870f.jpg)