TAARIFA YA MSIBA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-QoahvC0Oiv8/U4sAL90JAFI/AAAAAAAFm5c/ZLod_XE9CWI/s72-c/unnamed+(3).jpg)
Familia ya Prof Cuthbert Zebadia Kimambo wa Chuo Kikuu Dar es Salaam inasikitika kutangaza kifo cha Mtoto wao mpendwa Samwel Cuthbert Kimambo (pichani) kilichotokea alfajiri ya leo tarehe 1 June 2014 kwa ajali ya gari.
Habari ziwafikie wana Kimambo wote popote pale walipo, wana Tarimo wote popote pale walipo; ndugu, jamaa na marafiki pamoja na wafanyakazi wote wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Mipango ya Mazishi inafanyika nyumbani kwa Baba wa Marehemu, Mtaa wa Kileleni, Nyumba namba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8xxESOC5VHw/VHCqTHijbHI/AAAAAAAGy8s/tALqK3IrqnI/s72-c/Untitled1.png)
TAARIFA YA MSIBA KATIKA CHUO KIKUU CHA KUMBUKUMBU YA HUBERT KAIRUKI (HKMU)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8xxESOC5VHw/VHCqTHijbHI/AAAAAAAGy8s/tALqK3IrqnI/s1600/Untitled1.png)
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki, anasikitika kutangaza kifo cha Dk. Kitindi Hemedi Kumpuni (Mhadhiri Idara ya Magonjwa ya akina Mama), kilichotokea tarehe 21 Novemba 2014, saa 8:30 mchana, katika Hospitali ya Kairuki, baada ya kuugua kwa muda mfupi. Msiba uko nyumbani kwa marehemu Oysterbay, barabara ya Bongoyo.
Marehemu atazikwa siku ya Jumapili tarehe 23.11.2014, Saa 10 jioni katika makaburi ya Kisutu DSM.
Kwa taarifa zaidi piga simu...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5uF7oHUYKs4/VdsgPhEGgmI/AAAAAAAAYLw/g5nGhl871Qo/s72-c/magodoro1.jpg)
PSPF YATOA MSAADA WA MAGODORO CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-5uF7oHUYKs4/VdsgPhEGgmI/AAAAAAAAYLw/g5nGhl871Qo/s640/magodoro1.jpg)
9 years ago
Mwananchi12 Sep
Habari njema!: Chuo Kikuu cha Dar es Salaam sasa kusimamia sanaa
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-5uF7oHUYKs4/VdsgPhEGgmI/AAAAAAAAYLw/g5nGhl871Qo/s640/magodoro1.jpg)
PSPF YATOA MSAADA WA MAGODORO CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi27 Feb
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_pvAR8FtCOs/Vb5g1aA577I/AAAAAAAHtZE/0iV4bZiUNqs/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
KUTOKA MAKTABA: DKT.JOHN J.P MAGUFULI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM 1985/1986
![](http://1.bp.blogspot.com/-_pvAR8FtCOs/Vb5g1aA577I/AAAAAAAHtZE/0iV4bZiUNqs/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wahamasisha utalii wa ndani kwa vitendo
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) wamefanya ziara ya siku mbili ya kitalii katika hifadhi ya taifa ya Saadani pamoja na sehemu ya kihistoria ya Kaole iliyopo Bagamoyo ikiwa ni sehemu ya kujifunza pamoja na kuhamasisha utalii wa ndani.
Wanafunzi hao kutoka katika “Collage” tofauti tofauti ikiwemo utalii, uchumi na biashara waliofanya ziara hiyo ikiwa chini ya mwamvuli wa University of Dar...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qZvp0nzqvms/VGhkL4N35aI/AAAAAAAGxnY/O1T3PNclnAc/s72-c/20141116_105141.jpg)
Mdau Meshack Ndoje alamba nondozz yake Chuo Kikuu cha Dar es salaam University
![](http://3.bp.blogspot.com/-qZvp0nzqvms/VGhkL4N35aI/AAAAAAAGxnY/O1T3PNclnAc/s1600/20141116_105141.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9jN3NMQXTCI/VGhkM1Wr5eI/AAAAAAAGxnc/Q9KWnabkhAg/s1600/IMG-20141116-WA0017.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VWENsMLUDeY/VGhkM9v-PJI/AAAAAAAGxng/rdBWKjVwd_8/s1600/IMG-20141116-WA0018.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PBGm91fsrpQ/VVxCLBxSqRI/AAAAAAAHYac/adX3w0sbfvM/s72-c/bg.jpg)
BG TANZANIA KUZINDUA UDHAMINI WA SHAHADA YA UZAMILI YA SAYANSI YA MAFUTA NA GESI - CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-PBGm91fsrpQ/VVxCLBxSqRI/AAAAAAAHYac/adX3w0sbfvM/s640/bg.jpg)
Katika hafla ya uzinduzi huu, Mgeni rasimi alikuwa Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Mizengo Kayanza Pinda. Wageni wengine walio...